Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Dkt. Slaa, Wakili Mwabukusi na Mdude wapo nyuma ya nani kutaka kumpindua Rais?

Itakuwa ni zile hoja zake za kutafuta cheap popularity baada ya kufukuzwa Ubalozi
Daaa, ila hii nchi kuna kitu kinaanza taratibu and ni muda tu tutapoteana hata humu jamvini.

Waswahili wanasema hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho.

Na Mungu ni wa ajabu sana yaani, ametupa akili alafu ametupatia usahaurifu, mfano ni Nape yaani hajui kama kuna siku atakuwa nje ya system.
 
Na Mungu ni wa ajabu sana yaani, ametupa akili alafu ametupatia usahaurifu
F3jgOTWXUAAbCBJ.jpeg.jpg

Huyu sio mtu wa kumtetea THE POWER OF KARMA SUTRA.
 
Daaa, ila hii nchi kuna kitu kinaanza taratibu and ni muda tu tutapoteana hata humu jamvini.

Waswahili wanasema hakuna lenye mwanzo lisilokuwa na mwisho.

Na Mungu ni wa ajabu sana yaani, ametupa akili alafu ametupatia usahaurifu, mfano ni Nape yaani hajui kama kuna siku atakuwa nje ya system.
Wapo watu ambao husahau kabisa kwamba ipo siku tutaondoka hapa duniani !!
 
Miongoni mwa wanasiasa wahuni katika nchi yetu Dr. Slaa ni mmojawapo.
 
Mi nasema siku zote.
Chama chochote cha siasa chenye agenda za kusababisha upotevu wa amani Tanzania njia pekee ya kukomesha njama hizo ni KUKIFUNGIA MOJA KWA MOJA.

Hakuna chama chochote kutoka Afrika chenye urafiki na wazungu kikawa na nia njema na wananchi.

Hawa watu wa kaskazina na baadhi ya viongozi wa Ccm wenye njaa wallahi wanaweza kutuletea balaa kubwa sana ktk Nchi yetu maskini.
Mwananchi wa kawaida ambao ndio asimilia 95% hapa Tanzania shida yake sio kuona Magorofa mengi na ndege za wazungu zinapishana angani wala kuona meli zimejaa bandarini.
Mungu kanijaalia kuishi toka wakati nyerere anaapishwa kuwa Rais mpk leo.
Hakuna chochote cha maana nilichokiona ila wakati wa mwinyi na wakati wa Magufuli.
Wengine wote ni Shida zile zile tu.

Acheni kutuletea balaa hapa
Chadema . Tafadhali sana.
 
Anapinga baadhi ya vipengele vya Mkataba lakini Mahkama tayari imeshatoa maamuzi kama hamjaridhika na maamuzi ya Mahkama kateni Rufaa
Baada ya maamuzi ya shauri hilo, Mwabukusi alisema atafanya kitu gani? Mbona vitu viko wazi tu kama vazi la kahaba!!?

Hoja zake hamzijibu, mpo majukwaani nchi nzima kuunadi mkataba huo wa bandari, ina maana wataka niambia kuwa huu ndio mkataba wa kwanza tunaingia Tanzania na wawekezaji wa nje? Hamjistukii tu na upuuzi wenu wa miaka nenda rudi!?
 
Hatuwezi kuongozwa na mtu wa kasikazini kaka.
Karne hii unahubiri ukanda? Mbona hao CCM wanawaua waislam wenzako huko Zanzibar kisa kulinda madaraka Yao! kwani mwenyekiti wa CCM ni mchagga? Shetani Hana kabila Wala ukanda ndio maana Mama Samia Sio mchagga ila serikali imejaa mafisadi Kila idara.
 
Karne hii unahubiri ukanda? Mbona hao CCM wanawaua waislam wenzako huko Zanzibar kisa kulinda madaraka Yao! kwani mwenyekiti wa CCM ni mchagga? Shetani Hana kabila Wala ukanda ndio maana Mama Samia Sio mchagga ila serikali imejaa mafisadi Kila idara.
Ndio nikasema hapo juu kuwa mimi CCM kwangu ni balaa na mtihani tu Mungu aliotupa hapa Tz ila kwa ujumla wake CCM imeweza kufanikiwa kutuliza fujo kwa miaka mingi. Dhulma wanazofanyiwa waislamu na wasiokuwa waislamu hazijaanza leo.
Nyerere kaua watu wengi tu bila kuwapitisha mahakamani.
Nimepambana sana wakati wa uhujumu uchumi chini ya Sokoine wakati huo ni waziri mkuu.
Na hio yote imetokana na CCM. Ila kwa chadema hapo ni kutaka watanzania WAUANE WAZI WAZI.
Hilo hatuwezi kukubali.
Na kwa kutoa mfano huyo Dr Slaaa lazima afukishwe mahakamani pamoja na kundi lake la WAHUNI ili iwe mfano.
 
Kitu kikubwa CCM walichofanikiwa mpk leo ni to put people in check.
For using all means necessary.
Ikiwemo masheikh wa uamsho na wale wa kule Arusha na Mtwara waliopewa kesi za ugaidi? Are you serious? Unafurahia serikali kutumia mabavu kuminya haki? You can put people in check using public relations stunts sio violence.

Unasema Quran ndio katiba Yako unasahau hao hao CCM mara ngapi wamekandamiza waislam nchi hii tokea uhuru? Je hao ndio waku support? Hivi si ndio walisema hawawezi ruhusu Zanzibar ijitoe muungano kisa itakua Taifa la kiislam? Hivi unajua CCM iliua waislam wangapi huko Kibiti na Mtwara?

So sad kuona muislam ku support CCM wakati haijawahi pigania maslahi yenu tokea uhuru. Pia huwezi kuwa muislam safi alafu ukapinga haki? Nchi za kiarabu ni za kiislam 100% ila ndio zinaongoza kwa kupinduana na extremism Ili kupigania haki zao. Cha ajabu muislam aliyepo Tanzania anaona watu kupigania haki zao tena wasio na silaha, eti wapo violent.

Are we serious?
 
Ni siku 100 za kufunga na kuomba mpaka utawala wa samia uanguke,

Wazalendo wa Tanganyika muda huu ni muhimu kwetu tukicheka na nyani tuvuna mabua na huyu mama na ccm yake amedhamiria kutuachia mabua

Wekeni namba ya mpesa au benki account kila mahala tuweze kutoa michango kwa ajili ya kuendesha kesi za mawakili wazalendo zaidi 100 walio jitolea kuwatetea Dr Slaa na wenzake

Walaaniwe wote wanaotaka kuuza bandari zetu wao na familia zao na uzao wao wote ajali,vifo,magonjwa ya kutisha na yawaandame na wasipate furaha hata kidogo kuanzia sasa
 
Shujaa kadata , usiku ,mchana yuko kwenye vyombo vya habari anaongea yeye tu, Ubalozi ulikuwa mtamu , kuukosa ni hasara kubwa kwake . Njaa imemtoa akili
Wewe hata ukipiga uchawa namna gani huwezi kufikia hata 10% ya aliyofanya Dr Slaa
 
Ikiwemo masheikh wa uamsho na wale wa kule Arusha na Mtwara waliopewa kesi za ugaidi? Are you serious? Unafurahia serikali kutumia mabavu kuminya haki? You can put people in check using public relations stunts sio violence.

Unasema Quran ndio katiba Yako unasahau hao hao CCM mara ngapi wamekandamiza waislam nchi hii tokea uhuru? Je hao ndio waku support? Hivi si ndio walisema hawawezi ruhusu Zanzibar ijitoe muungano kisa itakua Taifa la kiislam? Hivi unajua CCM iliua waislam wangapi huko Kibiti na Mtwara?

So sad kuona muislam ku support CCM wakati haijawahi pigania maslahi yenu tokea uhuru. Pia huwezi kuwa muislam safi alafu ukapinga haki? Nchi za kiarabu ni za kiislam 100% ila ndio zinaongoza kwa kupinduana na extremism Ili kupigania haki zao. Cha ajabu muislam aliyepo Tanzania anaona watu kupigania haki zao tena wasio na silaha, eti wapo violent.

Are we serious?
Nadhani toka nimeanza kujadili na wewe bado hujanielewa.
Narudia tena kwa mara ya mwisho. CCM ni maadui wa haki miaka yote Tanzania na sijawahi kusapoti CCM hata siku moja. Ila! Siwezi kukubali mtu yyt anaetaka kuleta ushawishi wa kuleta MAUWAJI TANZANIA. Dr Slaa na kundi lake la majambazi wanatakiwa kufungwa haraka sana na huyo DR slaa kwa sababu amefanya kosa la UHAINI anatakiwa KUNYONGWA haraka sana.


Huwezi kunipa Darsa kuhusu Dhulma ya CCM juu ya waislamu. Kuna dhulma hata wewe huzijui lkn juu ya hivyo kwa kuipendelea mema nchi yangu SIWEZI KUSAPOTI CHADEMA hata siku moja.
CHADEMA sio Chama. Bali ni kundi la watu wachache wenye tamaa. Wasiojali damu kumwagika kwa wingi sana.
Unataka kuleta mabadiliko ya serikali endelea kupambana kwenye majukwaa mbali mbali kama alivyokuwa Mandela.


Kushawishi wananchi waandame wakafe kwa risasi ili ati Mbowe awe Rais hilo napinga mpk kesho kiyama.

Let me make it simple.
Kama CCM ni nyoka au aina ya kobra basi CHADEMA ni black mamba.
Akianza kugonga anamaliza kijiji kizima kwa siku moja.
Kobra ataua wachache sana.
Tunamuomba Mungu amtie nguvu mama Samia Aweze kuwadhibiti maadui wa haki ndani ya serikali yake.


Hilo ndio la kuomba.
Sio kutaka CHADEMA is hike nchi.
Tutakufa km kuku wakipata maradhi ya mafua ya kuku.

Na hio balaa itakukuta hata wewe.
Between 2 enemies always choose the one you know better.
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Hivi ni kweli huyu Padri alitamka maneno haya!
Kama siamini....
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipunseriousdua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"
Serious fabrication. Sasa tumewajua adui wa nchi hii. Basi mtuachie Bandari zetu kuliko kutuchoma macho kwa vidole namna hii.
 
Kutoipenda serekali iliyoko madarakani na wapambe wake sio kosa , , kuipindua serekali pia kama haiwajibiki kikamilifu sio kosa.
 
WANAUKUMBI.
Hii ni kauli ya Dr Slaa.
Kwani serikali zinapopinduliwa kwanini huwa zinapunduliwa? Huwezi kuniambia hamna cha kufanya. The Extreme ni kupindua serikali na tutafanya hivyo" - Dkt. Wilbroad Peter Slaa akieleza uwezekano wa kufanya mapinduzi katika nchi

"Najua kuna viongozi wanakaa Dodoma na wengine Dar es salaam, pamoja na kuwa maandamano haya ya kuipundua Serikali yatafanyika mikoa yote, mimi nitakuwepo Dar es salaam au Dodoma kuongoza wananchi wa eneo hilo kwenda kwenye ofisi za umma"

"Sasa hivi bado tunatumia mabomu ya mikono, bado hatujaanza kufungua silaha zenyewe za maangamizi, muda sio mrefu tutawafuata walipo tukiwa tumekamilika"

"Ufanyike mkutano mmoja mkubwa Mbeya, baada ya Mkutano maandamano ya kuipindua Serikali yaanze, Vituo vya Polisi vipigwe moto, ofisi za CCM zipigwe moto, lazima tufanye maandamanobya fujo nchi nzima hii iwake"



 
Kwanza, karibu jamvini baada ya kupotea miaka mingi sana.

Tunatumai u mzima wa afya tele.

Swali lako ni zuri sana na la kina, binafsi ntadonoa kidogo kidogo huku nikitazama hali ya hewa.
Kwan Hali ya hewa, ipoje au manyunyu yameanza kunyunyiza?
 
Back
Top Bottom