Dkt. Slaa yuko korokoroni kwa kumtetea Lissu, halafu Lissu anasema aliyemleta Lowassa na kuiua Chadema siyo Mbowe ni Dkt. Slaa. Lissu ni next Level

Dkt. Slaa yuko korokoroni kwa kumtetea Lissu, halafu Lissu anasema aliyemleta Lowassa na kuiua Chadema siyo Mbowe ni Dkt. Slaa. Lissu ni next Level

Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu

Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili

1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk

Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM

Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu

Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu

Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄
Simple TAL is a pure and true Judas 😆😅😂🤣😁
 
Slaa huyuhuyu aliyehama chama kwasababu ya Lowasa kwa hasira na kashfa za kutosha, ndiye aliyekuwa mgombea uraisi akanyang'anywa tonge Leo hii isemwe kuwa ni yeye ndiye alimkaribisha Lowasa ..acheni kutufanya mamburula jamani....naukumbuka sana ule wakati kuliko wakati mwingine wowote
 
Slaa huyuhuyu aliyehama chama kwasababu ya Lowasa kwa hasira na kashfa za kutosha, ndiye aliyekuwa mgombea uraisi akanyang'anywa tonge Leo hii isemwe kuwa ni yeye ndiye alimkaribisha Lowasa ..acheni kutufanya mamburula jamani....naukumbuka sana ule wakati kuliko wakati mwingine wowote
Ulikuwa miongoni mwao?Wenyewe waliokuwamo ndiyo wanakuhabarisha.
 
Hujawaambia watu kama Lissu aliulizwa hilo swali na ilikuwa lazima ajibu, kama huo ndio ukweli angesemaje? Na nyinyi mlitaka kujua ukweli. Angejiumauma mngekuja tena humu. Tatizo hamjui hata mnataka nini
Yaani sisi CCM hatujui tunachotaka?

Wewe kweli ni book keeper 😂
 
Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu

Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili

1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk

Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM

Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu

Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu

Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄
Lissu amegundua kampeni ya kumchafua Mbowe ina buma na anataka kujionyesha kuwa ana uwezo wa kutibu vidonda alivyosababisha mwenyewe. Ndio maana akasema pia kuwa atalinda heshima ya Mbowe!

Amandla...
 
TAL kwa hulka yake ni mkweli, si mnafiki na hana muhali. Sasa utamaduni wa kusema ukweli Watanzania wengi hatuna kwa kisingizio cha kulinda heshma, uoga au hata unafiki.
 
Slaa huyuhuyu aliyehama chama kwasababu ya Lowasa kwa hasira na kashfa za kutosha, ndiye aliyekuwa mgombea uraisi akanyang'anywa tonge Leo hii isemwe kuwa ni yeye ndiye alimkaribisha Lowasa ..acheni kutufanya mamburula jamani....naukumbuka sana ule wakati kuliko wakati mwingine wowote
Kati ya wewe na Lissu nani aliyekua kamati kuu chadema na kushirik mazungumzo? Tukuamini wewe au tunuamini Lissu?
 
Back
Top Bottom