Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

basi ndio ivyo tena sugu kazoeleka kuliko hata mpesya, inafikia hatua wananchi wa hapa walimwita raisi wa mbeya, Nakumbuka ule mgomo wa wamachinga ilibidi aitwe yeye autulize maana hata rc alishindwa.

Mbeya mjini jimbo hili naona sugu asimikwe tu awe mbinge wa milele na hakuna tatizo😁😁
 
Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
ni bahati kwamba hilo jicho ulilonalo wengi hatuna kwahiyo hatuoni, achana na mahusiano ya watu.
 
Kumbe kana mme hako ka mama ,ok ila kitendo cha yeye kuwania ubunge ni hatari Sana kwa ndugai nasikia jiwe anataka kawe ka spika,sijui ndugai mzee wa bakora atakubali zengwe Kama alilopigwa mh Sitta
endelea kusikia
 
Kwani sugu deni la crdb si kashalimaliza,kama bado hapo ndio mtihani ulipo.
 
Nitake radhi mkuu. Kumjua mtu sio kosa ninasema hivyo kwa sababu nimewahi kufanya nae kazi na ni rafiki yangu. Mimi sio mwanasiasa na usiingize siasa kwenye komenti yangu
Nakutaka radhi mkuu nisamehe kwa bure[emoji120]
 
Nimekupata mkuu.... kisawa sawaaa anyway October sio mbali nitafutahi kusikia chadema tumetetea dola yetu
 
Huyu akikosa ubunge atadata,manake kaingia gharama nyingi sana kwanza kulipia show ya Rayvanny Mbeya kwenye uwanja wa Sokoine wakaingia bure bado hizo foundation zake mixer marathoni.

Wakimchinja huyu wamtafutie daktari wa saikolojia amweke sawa.
 
Umeambiwa anapelekeshwa wewe unakuja na ngonjera za vigogo sijui Wana hela... Mengi alikuwa na hela Jaki alikuwa akimpelekesha.
 
*Matokeo ya Kura za* *maoni ngazi ya* *ubunge Mbeya* *mjini* .. *idadi* *ya* *Kura* (924)

*1Tulia Ackson* =843
2.Vikita =01.
3.Mwakipesele =11
4.Mwakaloge =2
5.Mwaifani =3
6.Bwiga =1
7.Fugale =1
8.Mabula =16
9.Mwademba= 2
10.Wagombea wengine(23) = 00
 
Hizo kura 843 alizopata Tulia Ackson zote amezilipia kila moja Tsh 100,000 ambazo aligawa Jumapili tarehe 19/ 07 siku ya kuamkia uchaguzi. Yasemekana ametumia jumla ya Tsh 100 Milioni.
 
Hizo kura 843 alizopata Tulia Ackson zote amezilipia kila moja Tsh 100,000 ambazo aligawa Jumapili tarehe 19/ 07 siku ya kuamkia uchaguzi. Yasemekana ametumia jumla ya Tsh 100 Milioni.
Ubunge mtamu sana

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…