Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Don't you know madam!Kwa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Don't you know madam!Kwa nini?
DRC jeshi lake halijiwezi bado , na watasumbuliwa sana na jirani zakeKwa nini?
Yaani Waafrika wote tunashoindwa kutatuwa matatizo yetu wenyewe?DRC jeshi lake halijiwezi bado , na watasumbuliwa sana na jirani zake
isiweke Eastern Congo iweke KigomaSafi Sana, ningefurahi endapo Russia ingeweka military base Eastern Congo!,....
Unafiki wa waafrika ndiyo tatizo, mtakaa mtakubaliana atatokea mtu Jamii ya lissu, atawafuata wazungu na kutengeneza jambo lingine!Yaani Waafria wote tunashoindwa kutatuwa matatizo yetu wenyewe?
Mimi nasema ili Kongo pakae sawa, wageni wote waondoke, waachwe wenyewe wauwane mpaka wafikie mwisho wa kuuwana. Wasiingilliwe na yeyote.
Halijiwezi kwasabab ndani ya serikali ya Congo kuna viongozi ambao wana asili ya Rwanda Bhrundi Uganda na pia TanzaniaDRC jeshi lake halijiwezi bado , na watasumbuliwa sana na jirani zake
Wale watusi pale mashariki ambao wacongoman wanataka waondoke, wapo kwao ni watusi wa congo na walijikuta pale baada ya ule mgawanyo wa Berlin, na uhuru wa congo uliwakuta pale. Wakitaka waondoke wawaache waondoke na ardhi Yao..otherwise Ili amani ipatikane wachukuliwe kama wacongoman wengine na serikali ya congo waige mpango wa mwalimu Kambarage wa kufungua military base Kila kanda na kuchanganya makabila..pale waletwe wa magharibi na wao wapelekwe huko magharibi kwenye military bases za Taifa...itasaidia amaniYaani Waafria wote tunashoindwa kutatuwa matatizo yetu wenyewe?
Mimi nasema ili Kongo pakae sawa, wageni wote waondoke, waachwe wenyewe wauwane mpaka wafikie mwisho wa kuuwana. Wasiingilliwe na yeyote.
Sikushangai, ndipo uwezo wako wa uelewa ulipoishia.Upuuzi mtupu.kwamba putini asikilize ushauri wa kihuni wa spika wa bunge kibogoyo?
Huyu tulia moyo unanidunda sana anaweza kuja kuwa rais wa 7.Kiufupi anafaa kuwa Rais wa TZ