Dkt. Tulia Ackson akutana na Rais Putin kujadiliana namna bora ya kuimarisha amani duniani

Dkt. Tulia Ackson akutana na Rais Putin kujadiliana namna bora ya kuimarisha amani duniani

Na Samia pale alikuwa anaongea na nani? Rais wa Korea?

Samia atawaumiza sana mioyo, lakini mkubuke tu, kazi ya Allah haina makosa.
Tunaongea ile picha ya Korea kusini mezani wakorea kusini watatu ujumbe wa Tanzania karibu 30

Linganisha na hiyo picha Spika Tulia akiongea na Putin

Tulia Yuko fit Na loaded kichwani na material kichwani hahitaji msaida wa aina yeyote issue relevant yuko tayari kuongea na Puti an bila ki note toka kwa wasaidizi au kunong'onezwa au notes written
 
Tunaongea ile picha ya Korea kusini mezani wakorea kusini watatu ujumbe wa Tanzania karibu 30

Linganisha na hiyo picha Spika Tulia akiongea na Putin

Tulia Yuko fit Na loaded kichwani na material kichwani hahitaji msaida wa aina yeyote issue relevant yuko tayari kuongea na Puti an bila ki note toka kwa wasaidizi au kunong'onezwa au notes written
Naam, useme walikuwa kina nani hao watatu?

Ukilijuwa hilo utapata jibu na utajielewa kuwa u poyoyo.
 
Ikiwa unachosoma hukielewi basi hata kusikiliza huwezi?

Kuna video na kinachozungumzwa siyo siri. Umekurupuka bila kuisikiliza wala kuitazama video.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

And that is how little minds work. Wanasikiliza halafu wanaenda kushiba pilau wakisubiri kutoa ushuzi. Hata kama wanachokisikia hawakijui wala kukielewa. Ndio maana wanaishia kulalama tu maana akili zinawajia baada ya miaka mingi
 

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Urusi, Mhe. Vladimir Putin Jijini St. Petersburg nchini Urusi leo tarehe 12 Julai, 2024 ambapo katika mazungumzo yao wamejadili kuhusu namna bora ya kuimarisha amani Duniani.


Kuhusiana na mgogoro unaoendelea baina ya Urusi na Ukraine, Dkt. Tulia amesema “Kabla ya kuzungumza naye tayari tulishazungumza na Maspika wa nchi zote hizo mbili na sisi kama Umoja wa Mabunge Duniani tumezungumza naye kama Kiongozi wa nchi katika sura ambayo tunaweza kuziweka pamoja nchi zote mbili na tutarajie kwamba IPU itatengeneza fursa ya Mabunge ya pande zote ili kuweza kuzungumzia amani katika maeneo yao ya utawala”.

Vizuri sana mr.president
 
Back
Top Bottom