Dkt. Tulia Ackson akutana na Rais Putin kujadiliana namna bora ya kuimarisha amani duniani

Na Samia pale alikuwa anaongea na nani? Rais wa Korea?

Samia atawaumiza sana mioyo, lakini mkubuke tu, kazi ya Allah haina makosa.
Tunaongea ile picha ya Korea kusini mezani wakorea kusini watatu ujumbe wa Tanzania karibu 30

Linganisha na hiyo picha Spika Tulia akiongea na Putin

Tulia Yuko fit Na loaded kichwani na material kichwani hahitaji msaida wa aina yeyote issue relevant yuko tayari kuongea na Puti an bila ki note toka kwa wasaidizi au kunong'onezwa au notes written
 
Naam, useme walikuwa kina nani hao watatu?

Ukilijuwa hilo utapata jibu na utajielewa kuwa u poyoyo.
 
Ikiwa unachosoma hukielewi basi hata kusikiliza huwezi?

Kuna video na kinachozungumzwa siyo siri. Umekurupuka bila kuisikiliza wala kuitazama video.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

And that is how little minds work. Wanasikiliza halafu wanaenda kushiba pilau wakisubiri kutoa ushuzi. Hata kama wanachokisikia hawakijui wala kukielewa. Ndio maana wanaishia kulalama tu maana akili zinawajia baada ya miaka mingi
 
Vizuri sana mr.president
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…