Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Busara pale ilitakiwa ajihuzuru hadi ubunge abaki kula tu pensheni nzito nzito kama inavyoainishwa na katiba ya nchi.Dahh.. Joab atakuwa anajisikiaje deputy wake kuwa boss wake!!
Hao wote ulio wataja wana makando kando.Tatizo ni kwamba mlihalalisha uovu.Akina Mo, Wema Sepetu, wabunge wale wa upinzani kunuliwa, watu wasiojulikana, kesi za kubambika, maduka ya fedha za kigeni pale kariakoo kuchukuliwa fedha zao licha ya kuonyesha document zote halali, watu kufilisiwa, kunyaganywa mashamba akina lowasa alipigwa pini mpaka akarudi mkundenikwe, emu tiririka vizuri mkuu usimungunye maneno
Katika maisha yako ogopa kuwa na msaidizi mwanamke katika kazi
Kabisa, na hakuna sehemu wanapoweza kuhoji kura zao zilikopotelea. CCM majambazi wa mchana kweupe.Waliopiga kura za hapana wamebaki midomo wazi
Hapana ,CCM inazingatia sifa za wagombea, jaribu kulinganisha sifa za Mhe.Dr. Tulia na wapinzania wake kuna tofauti kubwa mno!Ukipitishwa CCM jua umepita kwa kishindo hata kama una sifa zooote wee chukulia Wabunge CCM vyama pinzani ni vivuli vya CCM unategemea nini hapo kama si ndiooooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv huyo ni me au ke?Kwa hiyo?
Vyovyote ilivyo ni ukoo wa shetaniHiv huyo ni me au ke?
Na Majaliwa Je?Jaji mkuu?Ikitokea mama smaia kasafiri na mpango nae kasafiri, Ina maana tulia ndio anakua raisi?
Wameingiaje Bungeni?Siyo kweli, Kuna wabunge wa ACT, CCM, CHADEMA, CUF.
Yaani ila yanafurahi kweli, baadae (miaka ya mbeleni) vizazi navyo vitatushangaa tuliwezaje kuwa na bunge la namna hii (kama sisi tunavyo washangaa wakina mangungo)Bunge la mazuzu
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.
Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.
Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
Kwani kawalazimisha wapiga kura nampigia kura zote?Magufuli uchaguzi wa 2020 alishinda kwa zaidi ya asilimia 90 Leo hii yuko wapi? Kuna Jambo la kujifunza hapo