Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Masele alikuwa Rais wa bunge sijui la Madola, alileta nini sasa? vyeo vingine havina la maana zaidi ya sifa
 
Hongera zake...CCM inatoa fursa kwa kila mtanzania kuitangaza nchi yake...nidhamu kitu cha msingi sana

Mnakumbuka Comred ..marehemu Membe alimkosea heshima magufuli kipindi kile akakataliwa kuthibitishwa kama mtanzania asiye na shaka...alikosa fursa kama hizi kule jumuiya ya madola

0685292038 Mark Baraka.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627

View: https://twitter.com/IPUparliament/status/1717871714451734965?t=FLOROVYofiV1r4_X1iFGGQ&s=19
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Waliomchagua na yeye alieshinda ni wapumbavu ,takataka period
 
Hongera zake...CCM inatoa fursa kwa kila mtanzania kuitangaza nchi yake...nidhamu kitu cha msingi sana

Mnakumbuka Comred ..marehemu Membe alimkosea heshima magufuli kipindi kile akakataliwa kuthibitishwa kama mtanzania asiye na shaka...alikosa fursa kama hizi kule jumuiya ya madola

0685292038 Mark Baraka.
Unaona ni akili sasa hiyo aliyofanya huyo magu kwa hilo?
 
Ukiona majitu ya magharibi aka mabeberu yanakusifu. Jitathmini.

Unaweza ukawa ushauza nchi yote.

NO FREE LUNCH...
 
Hii taarifa imeejaa ushugwadu eti ushindi wa kishindo. Hivi unaujuwa ushindi wa kishindo wewe
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kwa zile rushwa zilizotembezwa sishangai.. Maokoto ya dpw yamesaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Hongera sana kwake
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Hii nchi Ina vijana wapumbavi sana yaani umekurupuka hata hujatawaumza mimavi yako unatuandikia sisi huu ujinga? Wanyonge gani anaowajali? Very stupid [emoji35]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kwa zile rushwa zilizotembezwa sishangai.. Maokoto ya dpw yamesaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatovyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea na yupo kuzungumza, ngoja nimsikilize nakuja kuandika zaidi.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kwa zile rushwa zilizotembezwa sishangai.. Maokoto ya dpw yamesaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom