Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Kana Charisma fulani..
Dr Tulia ni mpango wa Mungu mwenyewe.Angalia historia yake yakupanda ngazi na vyeo. Ni kiongozi mwenye akili kubwa sana kichwani mwake.Mungu yupo ndani yake kutokana na ucha Mungu wake na Tabia njema yake impendazayo Mungu.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

Kwa miaka 25 sasa urais wa IPU umetawaliwa na wabunge kutoka Misri, Hispania, India, Italia, Namibia, Morocco, Bangaladesh, Mexico na Portugal.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea kwa kishindoo kikuu kilichoitetemesha Dunia kwa kupata kura 172 huku anayemfuatia kwa mbali kama kama kichuguu na mlima akiambulia kura 61.huu ni ushindi kwetu sote watanzania tunapaswa kuendelea kuishangilia kwa furaha zote na kujivunia dada yetu aliyetuheshimisha kama Taifa.

Ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujieleza na kujenga hoja zenye ushawishi na mvuto kwa wapiga kura.kwa hakika Mungu wa Dr Tulia ni mkubwa sana na Anaendelea kuonyesha maajabu na kumtendea makubwa sana Dr Tulia.Mungu anamakusudi maalumu ya kumuumba Dr Tulia,ndio maana mnaona namna ambavyo Anaendelea kupata kibali cha kukubalika,kupendwa,kuungwa mkono na kuchaguliwa kila jina lake linapotua na kuwekwa mezani.

Binafsi nilimuombea sana dada yangu Dr Tulia,usiku na mchana nilifanya kazi ya kumuomba Mungu amsaidie.niliwaomba watanzania wenzangu tuunganishe maombi yetu kwa ajili ya kumuombea speaker wetu ,maana nilijuwa ushindi wa Dr Tulia ni ushindi wetu sote watanzania. Kwa imani nilijuwa ni lazima Dr Tulia Ashinde kwa kishindo na niliandika hata humu jukwaani kuwa Dr Tulia ndiye Rais ajaye wa IPU. Nilisema kwa uwezo wake mkubwa alio nao,Elimu yake,uwezo wa kujenga hoja na kupangua hoja kwa hoja ni vitu na mambo yanayombeba sana Dr Tulia.

Ndugu zangu Watanzania kwa namna Dr Tulia alivyogusa maisha ya wana Mbeya na nyanda za juu kusini nilikuwa naona kabisa ni lazima Mungu awe na Dr Tulia. maandiko kutoka katika biblia yanasema kuwa agusaye na kuwasaida maskini amemkopesha Mungu na kwamba atamlipa kwa mema na mazuri. Dr Tulia amesaidia watu wengi sana waliokuwa katika hali ya umaskini,amesaidia vijana,yatima,wazee ,wajane na watu wegi wenye uhitaji kwa kuwapa misaada ya kila aina na hatimaye kuwafanya kupata matumaini kutoka katika hali ya kukata Tamaa,imeinua matumaini ya wengi na kugusa mioyo ya wengi iliyokuwa imekata Tamaa.

Tabia njema ya Dr Tulia,ucha Mungu wake, kumtumikia na kumtumainia Mungu wake vimeendelea kuwa nguzo na ngao ya mafanikio kwa Dr Tulia. Ambaye amekulia na kutoka familia ya kipato cha chini kabisa huku wazazi wake wakiwa maskini.lakini aliendelea kumuamini Mungu na kupambana mpaka hapo alipofika leo hii kupata heshima ya Dunia.huu ni ushuhuda wa kuwa Mungu anaweza Muinua yeyote na kumketisha juu mahali waketipo wafalme.leo Dr Tulia ameinuliwa kwa mara nyingine tena na kumketisha mahali ambapo mtoto kutoka familia ya kipato cha chini au maskini kabisa cha kutegemea kuuza mchicha na vibama hawezi kuamini kuwa anaweza kufika alipofika Dr Tulia.

Mungu huwainua wanyonge na kuwapa nguvu,huviinua vitu vinyonge na kuvitia nguvu,huwainua wale wadhalauliwao na kuwapa heshima kuu ili watu wajuwe ya kuwa Mungu ni Mungu tu na ndiye awezaye kumfanya yeyote yule kuwa chochote na yeyote na kuweza kushika nafasi yeyote ile. Mungu siyo kama mwanadamu ambaye huwapanga watu katika matabaka,Mungu ni wa wote.

Usikate Tamaa ewe Mtanzania mwenzangu upitiaye magumu, kudhalilishwa,kudharauliwa na wenye mali,kunyanyasika na kubezwa.mtumainie na kumwamini Mungu tu kuwa ipo siku anaweza kukuinua na kukuweka juu.pia katika kuinuliwa kwako usiache kusaidia wenye shida,uhitaji.mpende kila mtu na mheshimu kila mtu maana huwezi kujuwa baraka zako zimebebwa na nani na zitapita kwa nani maana Mungu hutenda miujiza kupitia watu.hivyo usimdharau mtu kwa kuwa hujuwi kesho yake itakuwaje kulingana na Agano lake na Mungu wake tangia akiwa Tumboni mwa mama yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
.
JamiiForums-565905357.jpg
 
Niwaambia sana humu jukwaani kuwa Dr Tulia ndiye Rais ajaye wa IPU,niliwambia kuwa Dr Tulia anaungwa mkono kutoka katika kila kona ya Dunia.uwezo wa Dr Tulia ni mkubwa sana na wa maajabu.ni nyota Ing'aayo na kuangaza kila mahali.

Nilikuunga mkono kwenye ule uzi. Mitanganyika inadhani kila mtu hana uwezo kama wao. Tulia ni best spika toka kwenye hii nchi EVER. Kama kuna mtu hakuona huu ushindi kabla huyo mtu ni zwazwa grade A1. Waseme na huko kaiba kura 😅
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

Kwa miaka 25 sasa urais wa IPU umetawaliwa na wabunge kutoka Misri, Hispania, India, Italia, Namibia, Morocco, Bangaladesh, Mexico na Portugal.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea kwa kishindoo kikuu kilichoitetemesha Dunia kwa kupata kura 172 huku anayemfuatia kwa mbali kama kama kichuguu na mlima akiambulia kura 61.huu ni ushindi kwetu sote watanzania tunapaswa kuendelea kuishangilia kwa furaha zote na kujivunia dada yetu aliyetuheshimisha kama Taifa.

Ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujieleza na kujenga hoja zenye ushawishi na mvuto kwa wapiga kura.kwa hakika Mungu wa Dr Tulia ni mkubwa sana na Anaendelea kuonyesha maajabu na kumtendea makubwa sana Dr Tulia.Mungu anamakusudi maalumu ya kumuumba Dr Tulia,ndio maana mnaona namna ambavyo Anaendelea kupata kibali cha kukubalika,kupendwa,kuungwa mkono na kuchaguliwa kila jina lake linapotua na kuwekwa mezani.

Binafsi nilimuombea sana dada yangu Dr Tulia,usiku na mchana nilifanya kazi ya kumuomba Mungu amsaidie.niliwaomba watanzania wenzangu tuunganishe maombi yetu kwa ajili ya kumuombea speaker wetu ,maana nilijuwa ushindi wa Dr Tulia ni ushindi wetu sote watanzania. Kwa imani nilijuwa ni lazima Dr Tulia Ashinde kwa kishindo na niliandika hata humu jukwaani kuwa Dr Tulia ndiye Rais ajaye wa IPU. Nilisema kwa uwezo wake mkubwa alio nao,Elimu yake,uwezo wa kujenga hoja na kupangua hoja kwa hoja ni vitu na mambo yanayombeba sana Dr Tulia.

Ndugu zangu Watanzania kwa namna Dr Tulia alivyogusa maisha ya wana Mbeya na nyanda za juu kusini nilikuwa naona kabisa ni lazima Mungu awe na Dr Tulia. maandiko kutoka katika biblia yanasema kuwa agusaye na kuwasaida maskini amemkopesha Mungu na kwamba atamlipa kwa mema na mazuri. Dr Tulia amesaidia watu wengi sana waliokuwa katika hali ya umaskini,amesaidia vijana,yatima,wazee ,wajane na watu wegi wenye uhitaji kwa kuwapa misaada ya kila aina na hatimaye kuwafanya kupata matumaini kutoka katika hali ya kukata Tamaa,imeinua matumaini ya wengi na kugusa mioyo ya wengi iliyokuwa imekata Tamaa.

Tabia njema ya Dr Tulia,ucha Mungu wake, kumtumikia na kumtumainia Mungu wake vimeendelea kuwa nguzo na ngao ya mafanikio kwa Dr Tulia. Ambaye amekulia na kutoka familia ya kipato cha chini kabisa huku wazazi wake wakiwa maskini.lakini aliendelea kumuamini Mungu na kupambana mpaka hapo alipofika leo hii kupata heshima ya Dunia.huu ni ushuhuda wa kuwa Mungu anaweza Muinua yeyote na kumketisha juu mahali waketipo wafalme.leo Dr Tulia ameinuliwa kwa mara nyingine tena na kumketisha mahali ambapo mtoto kutoka familia ya kipato cha chini au maskini kabisa cha kutegemea kuuza mchicha na vibama hawezi kuamini kuwa anaweza kufika alipofika Dr Tulia.

Mungu huwainua wanyonge na kuwapa nguvu,huviinua vitu vinyonge na kuvitia nguvu,huwainua wale wadhalauliwao na kuwapa heshima kuu ili watu wajuwe ya kuwa Mungu ni Mungu tu na ndiye awezaye kumfanya yeyote yule kuwa chochote na yeyote na kuweza kushika nafasi yeyote ile. Mungu siyo kama mwanadamu ambaye huwapanga watu katika matabaka,Mungu ni wa wote.

Usikate Tamaa ewe Mtanzania mwenzangu upitiaye magumu, kudhalilishwa,kudharauliwa na wenye mali,kunyanyasika na kubezwa.mtumainie na kumwamini Mungu tu kuwa ipo siku anaweza kukuinua na kukuweka juu.pia katika kuinuliwa kwako usiache kusaidia wenye shida,uhitaji.mpende kila mtu na mheshimu kila mtu maana huwezi kujuwa baraka zako zimebebwa na nani na zitapita kwa nani maana Mungu hutenda miujiza kupitia watu.hivyo usimdharau mtu kwa kuwa hujuwi kesho yake itakuwaje kulingana na Agano lake na Mungu wake tangia akiwa Tumboni mwa mama yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
WATU ROHO ZINAWAUMA EEE??
 
WATU ROHO ZINAWAUMA EEE??
Watu wanaumia mpaka wanakosa amani hasa baada ya kuona namna mh Dr Tulia alivyoshangiliwa muda wote,watu kung'ang'ania kupiga naye picha pamoja na kumpa kura nyingi za Kishindoo.
 
Urais wa IPU….Watanzania mnashoboka na vitu vya kipumbavu sana!

TF is IPU anyway? Some third world banana republic talking shop?
 
Erythrocyte. Bejamini Netanyau .SAGAI GALGANO leo lazima mfungwe kamba haraka sana ili msije mkajinyonga kwa maumivu na wivu wa kuona ushindi huu wa kishindo wa Dr Tulia Acksoni mwansasu.
 
Urais wa IPU….Watanzania mnashoboka na vitu vya kipumbavu sana!

TF is IPU anyway? Some third world banana republic talking shop?
Wewe endelea na kazi yako huko Marekani maana naona wivu umekujaa mpaka aibu.kama una hasira na Umeumia basi kunywa hata sumu ya panya kutuliza maumivu yako.
 
Dr Tulia ni moto wa kuotea mbali,ni mpango wa Mungu mwenyewe,ni mtu aliye na kibali cha Mwenyezi Mungu mkononi mwake ndio maana unaona namna ambavyo amekuwa akipata ushindi kila jina lake liwekwapo mezani.
Bwashee mbona unarudiarudia kuniquote au unataka kukimbiza page? 😂😂😂
 
Tundu Lisu wa chama cha watoa taarifa anasemaje?
Nimepata taarifa kuwa yupo kufakamia mipombe mikali kwa hasira za kuona Dr Tulia Acksoni ameshinda kwa kishindo huku ukumbi mzima ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa umoja wa mabunge duniani(IPU) leo Octoba 27, 2023. Kura 303 zilipigwa huku mshindi akihitaji angalau nusu ya kura hizo(kura 152)

Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo
Ms. Adji Diarra Mergane Kanouté(Senegal) kura 52
Ms. Catherine Gotani Hara(Malawi) kura 61
Ms. Marwa Abdibashir Hagi(Somalia) kura 11
Ms. Tulia Ackson(United Republic of Tanzania) kura 172

Dkt. Tulia Ackson anachukua nafasi Duarte Pacheco kutoka Portugal aliyechaguliwa mwaka 2020 baada ya kufanyika uchaguzi wa kwanza kupitia mtandao kutokana na janga la COVID-19 lililokuwa linaikabili dunia.

Kwa miaka 25 sasa urais wa IPU umetawaliwa na wabunge kutoka Misri, Hispania, India, Italia, Namibia, Morocco, Bangaladesh, Mexico na Portugal.

Dr. Tulia Ackson anakuwa Rais wa 31 wa IPU na amechaguliwa kwenye bunge la 147 la IPU lililofanyika mjini Luanda, Angola kutoka Oktoba 23 mpaka Oktoba 27.

Rais wa IPU ni kiongozi wa kisiasa wa taasisi hiyo, anaongoza vikao vyote vya taasisi hiyo na anaiwakilisha kwenye matukio ya kimataifa. Rais wa IPU anaongoza muhula wa miaka mitatu. Rais lazima awe mbunge kipindi chake chote cha miaka mitatu ya Urais.

IPU ilianzishwa mwaka 1889 kama kundi dogo la mabunge na kukua kwa kasi kama taasisi ya kimataifa ikijishughulisha na kukuza demokrasia, usawa, haki za kibinadamu, maendeleo na amani.

IPU ina wanachama 180 kati ya nchi 193 zilizopo duniani. Mabunge yote yaliyoanzishwa kisheria na nchi zao au mataifa yanayotambulika na umoja wa mataifa yanarusiwa kuwa mwanachama wa IPU.

========


Ndugu zangu Watanzania,

Mungu ni mwema, asanteeee sana kwa maombi yenu watanzania wenzangu kwa dada yetu na speaker wetu Dkt. Tulia Ackson.

Habari njema ni kuwa tayari ameibuka kidedea kwa kishindoo kikuu kilichoitetemesha Dunia kwa kupata kura 172 huku anayemfuatia kwa mbali kama kama kichuguu na mlima akiambulia kura 61.huu ni ushindi kwetu sote watanzania tunapaswa kuendelea kuishangilia kwa furaha zote na kujivunia dada yetu aliyetuheshimisha kama Taifa.

Ameonyesha uwezo mkubwa sana wa kujieleza na kujenga hoja zenye ushawishi na mvuto kwa wapiga kura.kwa hakika Mungu wa Dr Tulia ni mkubwa sana na Anaendelea kuonyesha maajabu na kumtendea makubwa sana Dr Tulia.Mungu anamakusudi maalumu ya kumuumba Dr Tulia,ndio maana mnaona namna ambavyo Anaendelea kupata kibali cha kukubalika,kupendwa,kuungwa mkono na kuchaguliwa kila jina lake linapotua na kuwekwa mezani.

Binafsi nilimuombea sana dada yangu Dr Tulia,usiku na mchana nilifanya kazi ya kumuomba Mungu amsaidie.niliwaomba watanzania wenzangu tuunganishe maombi yetu kwa ajili ya kumuombea speaker wetu ,maana nilijuwa ushindi wa Dr Tulia ni ushindi wetu sote watanzania. Kwa imani nilijuwa ni lazima Dr Tulia Ashinde kwa kishindo na niliandika hata humu jukwaani kuwa Dr Tulia ndiye Rais ajaye wa IPU. Nilisema kwa uwezo wake mkubwa alio nao,Elimu yake,uwezo wa kujenga hoja na kupangua hoja kwa hoja ni vitu na mambo yanayombeba sana Dr Tulia.

Ndugu zangu Watanzania kwa namna Dr Tulia alivyogusa maisha ya wana Mbeya na nyanda za juu kusini nilikuwa naona kabisa ni lazima Mungu awe na Dr Tulia. maandiko kutoka katika biblia yanasema kuwa agusaye na kuwasaida maskini amemkopesha Mungu na kwamba atamlipa kwa mema na mazuri. Dr Tulia amesaidia watu wengi sana waliokuwa katika hali ya umaskini,amesaidia vijana,yatima,wazee ,wajane na watu wegi wenye uhitaji kwa kuwapa misaada ya kila aina na hatimaye kuwafanya kupata matumaini kutoka katika hali ya kukata Tamaa,imeinua matumaini ya wengi na kugusa mioyo ya wengi iliyokuwa imekata Tamaa.

Tabia njema ya Dr Tulia,ucha Mungu wake, kumtumikia na kumtumainia Mungu wake vimeendelea kuwa nguzo na ngao ya mafanikio kwa Dr Tulia. Ambaye amekulia na kutoka familia ya kipato cha chini kabisa huku wazazi wake wakiwa maskini.lakini aliendelea kumuamini Mungu na kupambana mpaka hapo alipofika leo hii kupata heshima ya Dunia.huu ni ushuhuda wa kuwa Mungu anaweza Muinua yeyote na kumketisha juu mahali waketipo wafalme.leo Dr Tulia ameinuliwa kwa mara nyingine tena na kumketisha mahali ambapo mtoto kutoka familia ya kipato cha chini au maskini kabisa cha kutegemea kuuza mchicha na vibama hawezi kuamini kuwa anaweza kufika alipofika Dr Tulia.

Mungu huwainua wanyonge na kuwapa nguvu,huviinua vitu vinyonge na kuvitia nguvu,huwainua wale wadhalauliwao na kuwapa heshima kuu ili watu wajuwe ya kuwa Mungu ni Mungu tu na ndiye awezaye kumfanya yeyote yule kuwa chochote na yeyote na kuweza kushika nafasi yeyote ile. Mungu siyo kama mwanadamu ambaye huwapanga watu katika matabaka,Mungu ni wa wote.

Usikate Tamaa ewe Mtanzania mwenzangu upitiaye magumu, kudhalilishwa,kudharauliwa na wenye mali,kunyanyasika na kubezwa.mtumainie na kumwamini Mungu tu kuwa ipo siku anaweza kukuinua na kukuweka juu.pia katika kuinuliwa kwako usiache kusaidia wenye shida,uhitaji.mpende kila mtu na mheshimu kila mtu maana huwezi kujuwa baraka zako zimebebwa na nani na zitapita kwa nani maana Mungu hutenda miujiza kupitia watu.hivyo usimdharau mtu kwa kuwa hujuwi kesho yake itakuwaje kulingana na Agano lake na Mungu wake tangia akiwa Tumboni mwa mama yake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kama bunge lenu takakata hapa nchini imejaa na vichaa hata umejiajirisha kazi yakuwapigila debe kila kucha nakubaki nategemeo yakuteuliwa hako kakundi kakina mama katakusaidia nini wewe kahaba?
 
Kamenimalizia bundle.. ila kako good..
Shida ni Chama chake tu... MASHETANI
Mtamkubali tu mwaka huu kwa ndimi zenu maana Dr Tulia ni mpango wa Mungu mwenyewe.kama Dunia inamkubali na kumuunga mkono kwa kishindo,ninyi ni akina nani mpaka mumpinge?
 
Kama bunge lenu takakata hapa nchini imejaa na vichaa hata umejiajirisha kazi yakuwapigila kila kucha nakubaki nategemeo yakuteuliwa hako kakundi kakina mama katakusaidia nini wewe kahaba?
Leo lazima ufe kwa presha na mihasira, wakati Dunia nzima ikiendelea kushangilia ushindi wa Dr Tulia.
 
Uwe unaandika habari zako kwa ufupi, hakuna mtu yupo interested kusoma hilo gazeti, mi mwenyewe nimesoma kichwa cha habari tu.
 
Kwa zile rushwa zilizotembezwa sishangai.. Maokoto ya dpw yamesaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtasema tuu maana bado hamjasemaa. Si mlisema hawezi kupita? Si umeona namna Dada wa Taifa alivyopita na kushinda kwa kishindo? Umeona namna Dunia ilivyotetemeka? Umeona namna watu wanavyo ng'ang'aniana kutaka kupiga picha na Dr Tulia? Umeona namna alivyo na uwezo mkubwa wa kujieleza na kujenga hoja mpaka kuwateka wajumbe wote kutoka kila kona ya Dunia?

Dr. Tulia ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Huwezi ukashindana naye hata kidogo.
 
Back
Top Bottom