Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Kwa maandishi yako naona mna miaka mingi mbeleni ya kulialia humu jukwaani.
 
Ulitakaje labda?
Tuanza kuitazama dunia halisi na sio kila kitu kudai mnaibiwa kura. Serikali inafanya mambo mengine usiku na mchana na yanagusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kudai kuwa serikali haikubaliki kwa wananchi ni kujifariji tu.
 
Sijawahi kusoma hizi "toilet paper" zako mwanzo hadi mwisho zaidi ya kichwa cha habari ambacho niligundua hakiendani na maudhui yanaoandikwa baada.

Pia unavyohitimisha tu inaonyesha kichwani hazimo sawa sawa jina lako tu unaanzia na herufi ndogo ! na uzalendo bandia wa kutuwekea namba za simu humu sijui unataka michango ya chakula?

Hazina tofauti na matoilet paper awamu ya 5 zile Tanzanite na Jamvi la habari
 
 
Tuanza kuitazama dunia halisi na sio kila kitu kudai mnaibiwa kura. Serikali inafanya mambo mengine usiku na mchana na yanagusa moja kwa moja maisha ya wananchi, kudai kuwa serikali haikubaliki kwa wananchi ni kujifariji tu.
Serekali sio ccm, hata likiingia jeshi madarakani litaunda serekali. Tunasema uchaguzi halali ccm haitaweza kuunda serekali na kupitisha chochote watakavyo. Hakuna kizazi Cha kuipa kura zaidi ya 50%. Huo wizi ama uporaji wa mchakato uko wazi Wala sio wa kutafuta, na uchafu wa uchaguzi ushahidi upo.

Sheria inataka matokeo ya uchaguzi yawepo kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi, ingia Uniambie kama utaona matokeo ya uchaguzi uliopita. Kama ulikuwa ni uchaguzi wa haki kwanini wasite kuweka matokeo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…