Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303

Tunaweka kumbukumbu sahihi. Kuwa Jimbo la Mbeya Mjini tumetoa Rais wa Mbunge yote duniani. Tofaut na Mbunge Mstaafu ambae watu wanadai hajui hata kuandika.
Wengine ni Wakili Mjuvi na Mbobevu Boni Mwabukusi, Mwanasarakasi Nunda Mdude Ngangali, Msanii Taita.......
 
Hakika tunamsubiri hapa Mbeya tumpokee Kwa shangwe
mpokeeni kwa kishindo vifua mbele, bidada anashinda hadi uchagizi wa dunia sembuse kajimbo kadogo tu ka mbeya mjini ....

2025 anashinda tena kama hajawa Makamu wa Rais, Lakini 2030 ndie atakae kua Rais na amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi wa JMT ....
 
Tunaweka kumbukumbu sahihi. Kuwa Jimbo la Mbeya Mjini tumetoa Rais wa Mabunge (Parliaments) yote duniani. Tofaut na Mbunge Mstaafu ambae watu wanadai hajui hata kuandika.
NB: kichwa cha habari kisomeke MABUNGE sio Mbunge.
Utakuwa mnyakyusa wewe, umeandika kwa mbwembwe zile zenyewe.
 
Hicho cheo ni sawa na mtu kuwa class monitor au dada mkuu. Hakina tija yoyote Dunia hii. Labda kwake ni sifa, maana ndio cheo pekee anaweza kushinda bila wizi wa kura.
Wivu na roho mbaya ni vitu vilivyomo ndani ya DNA yako, yaani umerithi kwa wazazi sio kwamba ni tabia umejifunza.
 
Wivu na roho mbaya ni vitu vilivyomo ndani ya DNA yako, yaani umerithi kwa wazazi sio kwamba ni tabia umejifunza.
Nasema hivi, hicho cheo Cha huyo jizi la kura hakina maana yoyote, labda kina maana kwake na family yake tu.
 
Nasema hivi, hicho cheo Cha huyo jizi la kura hakina maana yoyote, labda kina maana kwake na family yake tu.
Wivu utakufa nao mkuu Tindo, unamuonea wivu mpaka Spika kupigiwa kura na maspika wenzake! hilo ni tatizo la kuhitaji kutatuliwa.

Una uhakika upi hao maspika waliompigia kura na wao hawaongozi mabunge ya wezi wa kura?.

CCM inajenga madaraja, zahanati, inasomesha wanafunzi wa vyuo vikuu maelfu kwa maelfu kwa kuwapa pesa za mikopo, ije ifanye wizi wa kura kwa lipi haswa?.
 
Wivu utakufa nao mkuu Tindo, unamuonea wivu mpaka Spika kupigiwa kura na maspika wenzake! hilo ni tatizo la kuhitaji kutatuliwa.

Una uhakika upi hao maspika waliompigia kura na wao hawaongozi mabunge ya wezi wa kura?.

CCM inajenga madaraja, zahanati, inasomesha wanafunzi wa vyuo vikuu maelfu kwa maelfu kwa kuwapa pesa za mikopo, ije ifanye wizi wa kura kwa lipi haswa?.
Wizi wa kura wa ccm sio wa kuhadithiwa tunauona kwa macho yetu na ushahidi upo wazi. Ccm inajenga madaraja na zahanati, ccm inahela gani? Hizo ni kodi za wananchi hata ukiingia utawala wa kijeshi. Kujenga zahanati sio hisani ya chama chochote Cha siasa, Bali ni wajibu wa serekali yoyote inayokusanya Kodi. Hata kikiingia chama kingine kitawajibika kujenga zahanati na Wala sio ombi. Na kujenga madaraja hakukupi uhalali wa kupewa kura.
 
Wizi wa kura wa ccm sio wa kuhadithiwa tunauona kwa macho yetu na ushahidi upo wazi. Ccm inajenga madaraja na zahanati, ccm inahela gani? Hizo ni kodi za wananchi hata ukiingia utawala wa kijeshi. Kujenga zahanati sio hisani ya chama chochote Cha siasa, Bali ni wajibu wa serekali yoyote inayokusanya Kodi. Hata kikiingia chama kingine kitawajibika kujenga zahanati na Wala sio ombi. Na kujenga madaraja hakukupi uhalali wa kupewa kura.
Hizo hizo pesa za wananchi zinatumiwa vizuri, kuna serikali nyingi tu zinashindwa kuzitumia vyema hizo pesa za wananchi.

Kodi hizo hizo zinatumiwa vyema na wanaopata huduma hawaoni sababu ya kuiingiza CCM kwa njia haramu, usikariri wimbo huo huo kila siku kwamba CCM inaiba kura, wimbo huo unachuja kwani unakosa mashiko.

Wewe unataka upewe kura kwa kupiga makelele humu Jukwaani kila siku!?, Mkuu TIndo punguza lawama na malalamiko.
 
Hizo hizo pesa za wananchi zinatumiwa vizuri, kuna serikali nyingi tu zinashindwa kuzitumia vyema hizo pesa za wananchi.

Kodi hizo hizo zinatumiwa vyema na wanaopata huduma hawaoni sababu ya kuiingiza CCM kwa njia haramu, usikariri wimbo huo huo kila siku kwamba CCM inaiba kura, wimbo huo unachuja kwani unakosa mashiko.

Wewe unataka upewe kura kwa kupiga makelele humu Jukwaani kila siku!?, Mkuu TIndo punguza lawama na malalamiko.
Kwa taarifa yako kwa uchaguzi halali Leo hii ccm isingekuwa madarakani, na kama ingefanikiwa kuwepo isingekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi watakavyo. Na iwapo hizo pesa za wananchi zingetumika vizuri, Leo hii tusingekuwa na huu mgao ww umeme wa kipuuzi.

Ccm kukaa madarakani kwa shuruti sio jambo la Siri tena, liko wazi mno. Na hakuna chama chochote kitakachoshindwa kufanya wafanyacho ccm. Hiki sio kizazi Cha ccm, ndio maana inalazimisha kubaki madarakani kwa kisingizio Cha kujenga madaraja, sijui shule nk, kana kwamba kufanya hivyo ni jambo lisilowezekana na wengine.

Hiyo njia ya kura ni kama imeshapoteza uhalali kwa ule uhayawani tunaouona wakati wa uchaguzi, na ni mtu asiyejitambua tu anaweza kuendelea kwenda kupanga mstari kwenye kituo Cha kura eti anachagua kiongozi. Fuatilia chaguzi za marudio na zijazo zotakavyokuwa na wapiga kura wachache, na sababu hasa ni ccm kudharaulisha box la kura wakati kizazi hiki hakiitaki.
 
Kwa taarifa yako kwa uchaguzi halali Leo hii ccm isingekuwa madarakani, na kama ingefanikiwa kuwepo isingekuwa na uwezo wa kufanya maamuzi watakavyo. Na iwapo hizo pesa za wananchi zingetumika vizuri, Leo hii tusingekuwa na huu mgao ww umeme wa kipuuzi.

Ccm kukaa madarakani kwa shuruti sio jambo la Siri tena, liko wazi mno. Na hakuna chama chochote kitakachoshindwa kufanya wafanyacho ccm. Hiki sio kizazi Cha ccm, ndio maana inalazimisha kubaki madarakani kwa kisingizio Cha kujenga madaraja, sijui shule nk, kana kwamba kufanya hivyo ni jambo lisilowezekana na wengine.

Hiyo njia ya kura ni kama imeshapoteza uhalali kwa ule uhayawani tunaouona wakati wa uchaguzi, na ni mtu asiyejitambua tu anaweza kuendelea kwenda kupanga mstari kwenye kituo Cha kura eti anachagua kiongozi. Fuatilia chaguzi za marudio na zijazo zotakavyokuwa na wapiga kura wachache, na sababu hasa ni ccm kudharaulisha box la kura wakati kizazi hiki hakiitaki.
Bado unawakilisha kundi moja kubwa la watu wenye umahiri wa kutoa kasoro na kulalamika.

CCM hao hao wanaoonekana wezi wa kura ndio wanaoshughulika na siasa za vitendo huko Mikoani. Wanaposimamisha mgombea wao na wa chama kingine angalau anachokiongea na kukitenda kina mashiko kwa hao wapiga kura.

Sio kwamba CCM imechokwa hivyoo, kama unavyojaribu kuandika humu mtandaoni. Bado wanayo mashiko kwa tabaka la watu wenye uwezo ambao ni matunda ya mfumo huu huu unaopigiwa kelele.

Wameweza kutengeneza tabaka fulani la watu wenye ushawishi na nguvu kuliko hizi kelele za siasa za upinzani. Wapo karibu na wapiga kura siku zote, hata kama wanaonekana kupitwa na wakati bado kwa watu ndio kimbilio lao.
 
Bado unawakilisha kundi moja kubwa la watu wenye umahiri wa kutoa kasoro na kulalamika.

CCM hao hao wanaoonekana wezi wa kura ndio wanaoshughulika na siasa za vitendo huko Mikoani. Wanaposimamisha mgombea wao na wa chama kingine angalau anachokiongea na kukitenda kina mashiko kwa hao wapiga kura.

Sio kwamba CCM imechokwa hivyoo, kama unavyojaribu kuandika humu mtandaoni. Bado wanayo mashiko kwa tabaka la watu wenye uwezo ambao ni matunda ya mfumo huu huu unaopigiwa kelele.

Wameweza kutengeneza tabaka fulani la watu wenye ushawishi na nguvu kuliko hizi kelele za siasa za upinzani. Wapo karibu na wapiga kura siku zote, hata kama wanaonekana kupitwa na wakati bado kwa watu ndio kimbilio lao.
Wangekuwa na sifa hizo unazosema tusingeona chaguzi zenye upuuzi wa kiwango kile ili watangazwe washindi. Unasema wako karibu na wapiga kura, ni wapiga kura gani hao, maana wananchi wanalalamika hawawaoni majimboni. Ndio maana tunasisitiza waheshimu uchaguzi tu kisha uje ulete mrejesho.

Unasema wana ushawishi huku tunaona wanaengua wapinzani Ili wapite bila kupingwa, mara vijana wanateka wagombea wa upinzani tena kwa back up ya vyombo vya Dola. Tunashuhidia kwa macho yetu mabox ya kura bandia yakiletwa vituoni mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na hakuna hatua zozote za maana. Sasa katika mazingira hayo unaweza kujisifia kujenga daraja na zahanati? Au Bado mnadhani watu wako usingizini kiasi hicho? Zama za ccm zilishapita, katiba hii mbovu ndio pumzi Yao pekee.
 
Wangekuwa na sifa hizo unazosema tusingeona chaguzi zenye upuuzi wa kiwango kile ili watangazwe washindi. Unasema wako karibu na wapiga kura, ni wapiga kura gani hao, maana wananchi wanalalamika hawawaoni majimboni. Ndio maana tunasisitiza waheshimu uchaguzi tu kisha uje ulete mrejesho.

Unasema wana ushawishi huku tunaona wanaengua wapinzani Ili wapite bila kupingwa, mara vijana wanateka wagombea wa upinzani tena kwa back up ya vyombo vya Dola. Tunashuhidia kwa macho yetu mabox ya kura bandia yakiletwa vituoni mbele ya msimamizi wa uchaguzi, na hakuna hatua zozote za maana. Sasa katika mazingira hayo unaweza kujisifia kujenga daraja na zahanati? Au Bado mnadhani watu wako usingizini kiasi hicho? Zama za ccm zilishapita, katiba hii mbovu ndio pumzi Yao pekee.
Kushuhudia kwako wizi katika kituo kimoja cha kupiga kura haina maana kwamba vituo vyote mchezo ni huo huo, usikariri kama sala hayo maneno yako kwamba CCM ni wezi wa kura.

Yapo mengi sana yanafanyika huko walipo wananchi na yanagusa moja kwa moja maisha ya mtu wa kawaida na hayo yanatosha kuwa tiketi ya ushindi wa CCM.
 
Kushuhudia kwako wizi katika kituo kimoja cha kupiga kura haina maana kwamba vituo vyote mchezo ni huo huo, usikariri kama sala hayo maneno yako kwamba CCM ni wezi wa kura.

Yapo mengi sana yanafanyika huko walipo wananchi na yanagusa moja kwa moja maisha ya mtu wa kawaida na hayo yanatosha kuwa tiketi ya ushindi wa CCM.
Huo wizi ulifanyika nchi nzima na ushahidi upo. Hayo mengi hata wakoloni waliyafanya. Kama hayo yanayofanyika kwa wananchi ni utetezi wa ccm kukaa madarakani kwa shuruti, kwanini Nyerere na viongozi wengine hasa wa kiafrika walikuwa wanataka makaburu wa Africa kusini waondoke madarakani. Hawakujua kuwa makaburu wanajenga nchi?
 
Huo wizi ulifanyika nchi nzima na ushahidi upo. Hayo mengi hata wakoloni waliyafanya. Kama hayo yanayofanyika kwa wananchi ni utetezi wa ccm kukaa madarakani kwa shuruti, kwanini Nyerere na viongozi wengine hasa wa kiafrika walikuwa wanataka makaburu wa Africa kusini waondoke madarakani. Hawakujua kuwa makaburu wanajenga nchi?
Makaburu walinyanyasa na kuua raia weusi, kina Nyerere kuwapinga walikuwa na sababu zenye kueleweka.

Unataka viongozi wa siasa wa miaka hii wa afrika na wao waanze kuua mamia ya raia wanaowaongoza?.

Sio kweli kwamba wizi wa kura ulifanyika nchi nzima, yapo majimbo mengi sana ambapo wananchi waliwachagua kwa ridhaa yao hao CCM.

Tatizo la siasa za kipinzani ni kutokuja na mawazo mbadala na kuishia kulalamika na kukosoa!. Huwa kiburi chenu kinawaondolea kabisa uwezo wa kuja na siasa mpya zenye kueleweka kwa mpiga kura.
 
Makaburu walinyanyasa na kuua raia weusi, kina Nyerere kuwapinga walikuwa na sababu zenye kueleweka.

Unataka viongozi wa siasa wa miaka hii wa afrika na wao waanze kuua mamia ya raia wanaowaongoza?.

Sio kweli kwamba wizi wa kura ulifanyika nchi nzima, yapo majimbo mengi sana ambapo wananchi waliwachagua kwa ridhaa yao hao CCM.

Tatizo la siasa za kipinzani ni kutokuja na mawazo mbadala na kuishia kulalamika na kukosoa!. Huwa kiburi chenu kinawaondolea kabisa uwezo wa kuja na siasa mpya zenye kueleweka kwa mpiga kura.

Sasa hivi hapa nchini demokrasia ikichezewa tunaambiwa ni ili nchi ijengwe. Sasa huko Africa kusini nchi haikuwa inajengwa na hao makaburu?

Narudia tena, tena sio wizi, Bali mchakato wa uchaguzi uliporwa kabisa, na ushahidi upo. Kwa kukusaidia ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi kama matokeo ya uchaguzi ule yapo. Sikatai kuwa hakuna sehemu ccm ilishinda kihalali, lakini asilimia kubwa ulikuwa ni uchafu wa dhahiri.

Wapinzani hawajaja na mawazo mbadala kwa mtazamo wa kiccm. Wananchi ndio wanaoamua kipi wanataka, na sio utashi wa ccm. Ndio maana tunataka uchaguzi wa halali ili matakwa halisi ya wananchi yafahamike, na sio matokeo yatangazwe kwa utashi wa genge liitwalo ccm. Na uchaguzi ukiwa wa halali hakuna uwezekano wa ccm kufikia 2/3 ya kura za nchi hii, na haitakaa ipate zaidi ya hapo. Na uwezekano ni kutoka madarakani kabisa kutokana na mabadiliko ya kizazi.
 
Back
Top Bottom