Dkt. Tulia Ackson anastahili kuwa Rais wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson anastahili kuwa Rais wa Tanzania

Unaposema yeye ni kichwa kwani mama ni shingo Acha dharau.
2025 tunaenda na mama.
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
unayo hoja ila ni mapema mno...
 
Ni kweli ni MSOMI.

Ila Hana Uwezo Wala nguvu Wala mvito wa Kiuongozi.

Kuchaguliwa kwake kua Rais wa Mabunge, haikua Kwa sababu ya Elimu yake, Wala umahiri wake wa kuomba Kura.

Alichaguliwa Kwa sababu ya Jina TANZANIA na Sifa ilopata Nchi hii kupitia JPM.
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Naunga mkono hoja, hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then 2025 ni Dr. Tulia!.

P
 
Tulia na usomi wote,

Ameshindwa kujua kuwa mbunge akishafukuzwa uanachana na chama chake, anakosa sifa ya kuwa bungeni.

Yeye anawakumbatia COVID 19😀😀😀
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Labda ateuliwe kuwa mgombea mwenza, halafu kisha litokee kama lile lililotokea kwa mkuu aliyepita. Lakini hastahili kabisa kushika nafasi hiyo.
 
Bunge lote lina wa chama tawala haukuna upinzani kila kitu ndioooo halafu unasema anongoza vizuri??
 
Tatizo wasomi hutaka kuongozwa na wasio soma ili waibe kwa kalamu.
Vuta picha ile tril 1.3 ilivyochangamsha nchi na mikopo iliyofuatia baadae,ni kwamba mikopo iliyofuatia haina impact kwenye uchumi.
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuTusipoteze tunu adhimu kama hii.

Mnachukua hela za hao majizi kisha mnakuja kuwapamba humu mkidhani Kila mtu ni mjinga. Yaani kiongozi akiwa msimamia maamuzi ya hila ndio mnamuona bonge la kiongozi kisa anawatoa kimaisha.
 
Naona unaziwinda zile dola za dp world kwa Kasi ya mwanga! Yaani unamnadi msimamizi wa bunge na msomi wa Sheria aliyeupitisha mkataba wa dp uliosainiwa na waziri wa nishati wa bongo sehemu ya mfalme wa Dubai?
Huyu anamfaa mmewe na watoto wake na siyo kuongoza nchi.
 
Hatutaki hao marais wenye jinsia inayojiona dhaifu, wakiambiwa ukweli wanakimbilia sababu ya ujinsia wao kama kisingizio na kujiona wanastahili huruma.

Ni ujinga nchi kuongozwa na mwanamke, basi tu haya mambo ya demokrasia za kuiga yanatuharibia maendeleo.

Nchi kama USA, China, Russia hutoona huu upuuzi wa mwanamke kuendesha nchi eti kisa kuna usawa wa jinsia, kiuhalisia hakuna usawa wa kijinsia, na mwanaume ndie mfalme na mwenye maamuzi ktk jamii, mwanamke ni mtu wa kutii na kupokea amri tu.

Tusirudie huu ujinga wa kuongozwa na hii jinsia inayopenda kuonewa huruma, ona sasa kila kitu kimekuwa cha hovyo sana, mpaka rais mwenye maamuzi nae analaumu as if naye ana mtu wake wa juu zaidi yake wa kumpa maamuzi ya nini cha kufanya, nae analalamikia mambo ambayo alitakiwa kuyashughulikia.

Laana kuongozwa na mtu mwenye udhaifu wa uongozi.

Hawa wanawake wabaki tu kwenye level ya ubunge kidogo wakawe mawaziri wa wizara nyepesi nyepesi huko sio kushika sekta nyeti zinazohitaji maamuzi magumu.
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Mi sidhani kama ni uamuzi wa busara kuwapa cheo kikubwa cha Urais hawa wanasheria. Hasa kwa aina ya Katiba tuliyonayo.

Hapo Bungeni nadhani panamtosha, atulie hapo kama jina lake hadi siku atakayoamua kustaafu. Nchi haina haja tena ya 'kulima kwa meno'.

Ova
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Huyu alikula rushwa kupitisha DPW
 
Back
Top Bottom