WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
HakikaRaisi mwanmke Tena kwenye Taifa hili itokee kwabahati Kama aliyoipata mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaRaisi mwanmke Tena kwenye Taifa hili itokee kwabahati Kama aliyoipata mama
unayo hoja ila ni mapema mno...Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Naunga mkono hoja, hivyo kama HII sauti ni sauti ya kweli , then 2025 ni Dr. Tulia!.Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Labda ateuliwe kuwa mgombea mwenza, halafu kisha litokee kama lile lililotokea kwa mkuu aliyepita. Lakini hastahili kabisa kushika nafasi hiyo.Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuTusipoteze tunu adhimu kama hii.
Mi sidhani kama ni uamuzi wa busara kuwapa cheo kikubwa cha Urais hawa wanasheria. Hasa kwa aina ya Katiba tuliyonayo.Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Huyu alikula rushwa kupitisha DPWHuyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.