Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Tulia no.
Dr Mpango sawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia no.
Hili la Dr. Mpango nililisikia na kulileta humu Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!Tulia no.
Dr Mpango sawa!
Umri wa mpango ni changamoto ila kwa kweli ana sifa zote za kuwa rahisi.Hili la Dr. Mpango nililisikia na kulileta humu Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
Inaelezwa hali ya afya yake na umri from 2025 utakuwa sii rafiki!, japo anaweza kuwa ikitokea ghafla kama ya naniliu!.
P
She is so good sema tuu wewe humjui! Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? mimi namkubali sana!.Umri wa mpango ni changamoto ila kwa kweli ana sifa zote za kuwa rahisi.
Tulia hata sijuagi anasimamia nini zaidi ya huku na PhD. Yupo yupo tu amelifanya bunge kama wizara ya mhimili wa serikali.
Umerogwa weweHuyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Wewe ni zaidi ya furushiHuyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Tulia alishiriki matendo ya kishirikina hatufaiMimi sio Mbaguzi wa Kijinsia ila wote hawatufai kama wataiba tena Uchaguzi lakini wakishinda KIHALALI tutawasapoti.
Nakuunga mkonoHafai kuwa Rais wa taifa hili, Mama Samia ndo Rais wa mwisho mwanamke katika taifa hili.
Labda Rais wa kwenuTulia anazikuliza walimu
Tukae tupo nchi hii huyu madam atakuwa rais
PumbafuKwa mbali sana.
Mkuu mbona hivi? Rais wa JMT ndio anazungumzwa hapa. Sasa ukisema wa kwetu mimi ni Mtanzania ndani ya JMTLabda Rais wa kwenu
Awe rais wa hilo komwe lako labdaHuyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Atatufaa mwaka 2030 au 2035 .Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Hata hiyo nafasi ya Spika hafai kabisa. Na tena Mungu aepushie mbali binadamu huyu kupewa dhamana ya kuiongoza nchi. Kuna maamuzi mengi ameyasimamia ambayo huko mbeleni yanaweza kulitumbukiza hili taifa kwenye janga kiulinzi na kiusalama. Kama Spika unaoruhusu mazingira rahisi ya adui kupandikiza watu wake basi wewe ni tatizo. Maamuzi ya kutoa kigezo cha jkt kwenye ajira za vyombo vya ulinzi na usalama ni kati ya maamuzi yasiyofaa hata chembe. Yaani watu wapo radhi kuweka rehani usalama wa nchi kisa tu kuwafurahisha wananchi .Tulia anazifahamu changamoto za walimu vizuri
Tukae tupo nchi hii huyu madam atakuwa rais