Dkt. Tulia Ackson anastahili kuwa Rais wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson anastahili kuwa Rais wa Tanzania

Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Hututaki kuongozwa na mwanamke tena, huyu aliyepo amerithishwa na ameboronga sana.
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
🤣 Tanzania ndiyo nchi ambayo inapenda watu fake. Yaani hata uchaguzi wake ni fake😂. Bunge limejaa ujinga jinga nchi haina umeme, sheria mbovu , wanapisha vitu vya ajabu. Na cha kusikitisha wana rubuni vijana kama wewe kuwa wajinga jinga na machawa. Hakuna kiongozi yeyote kwenye bunge hili anastahili sifa yeyote
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Kati ya taasisi inayodharaulika na wananchi ni Bunge, Bunge halina mijadala yeyote inayohusu maisha ya watu, zaidi ni kijiwe kinachotambulisha tu wanafunzi wa chekechea walioenda kujifunza,
Wananchi wako radhi kufuatilia habari za mwenezi kuliko habari za Bunge,
 
Mi sidhani kama ni uamuzi wa busara kuwapa cheo kikubwa cha Urais hawa wanasheria. Hasa kwa aina ya Katiba tuliyonayo.

Hapo Bungeni nadhani panamtosha, atulie hapo kama jina lake hadi siku atakayoamua kustaafu. Nchi haina haja tena ya 'kulima kwa meno'.

Ova
Naungana na wewe b... Ila naomba unifafanulie kule hapo kwenye haja ya kulima kwa meno tena.
 
Ni kweli ni MSOMI.

Ila Hana Uwezo Wala nguvu Wala mvito wa Kiuongozi.

Kuchaguliwa kwake kua Rais wa Mabunge, haikua Kwa sababu ya Elimu yake, Wala umahiri wake wa kuomba Kura.

Alichaguliwa Kwa sababu ya Jina TANZANIA na Sifa ilopata Nchi hii kupitia JPM.
Sifa ya nchi hii aliitengeneza Julius Nyerere na si vinginevyo.JPM hayumo kwenye list ya watu waliolitea sifa Taifa hili.Mzee Mwinyi na Mkapa waliijengea sana Tanzania sifa.
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Umekula au ni njaa ina kusumbua
 
Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.

Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.

Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.

Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.

Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.

2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Kwa lipi hasa?
 
Back
Top Bottom