Dkt. Tulia Ackson anastahili kuwa Rais wa Tanzania

Hututaki kuongozwa na mwanamke tena, huyu aliyepo amerithishwa na ameboronga sana.
 
🤣 Tanzania ndiyo nchi ambayo inapenda watu fake. Yaani hata uchaguzi wake ni fake😂. Bunge limejaa ujinga jinga nchi haina umeme, sheria mbovu , wanapisha vitu vya ajabu. Na cha kusikitisha wana rubuni vijana kama wewe kuwa wajinga jinga na machawa. Hakuna kiongozi yeyote kwenye bunge hili anastahili sifa yeyote
 
Kati ya taasisi inayodharaulika na wananchi ni Bunge, Bunge halina mijadala yeyote inayohusu maisha ya watu, zaidi ni kijiwe kinachotambulisha tu wanafunzi wa chekechea walioenda kujifunza,
Wananchi wako radhi kufuatilia habari za mwenezi kuliko habari za Bunge,
 
Jinsia Ile? Kama hatujakoma basi inawezekana tuna ulemavu wa akili.
 
Naungana na wewe b... Ila naomba unifafanulie kule hapo kwenye haja ya kulima kwa meno tena.
 
Sifa ya nchi hii aliitengeneza Julius Nyerere na si vinginevyo.JPM hayumo kwenye list ya watu waliolitea sifa Taifa hili.Mzee Mwinyi na Mkapa waliijengea sana Tanzania sifa.
 
Umekula au ni njaa ina kusumbua
 
Kwa lipi hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…