Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,483
- 2,392
VIPI MWIGULU NAPE NA MAKAMBA WATARIDHIA?Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Hivi watu kama hawa wanakuja kufanya nini JF …. [2#$#$%%^&*] , KICHEFU CHEFU And GOD FORBID……..Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
MPANGO ni sawa Japo ile wave iliyopitaga na jiwe, na Kijazi ilimuacha kwenye situation ambayo ni very vulnerable …..kuna uwezekano mkubwa hata hiyo 2025 Umakamu akachukua BACK SEAT ….. japo katika serikali kwa sasa hata kwenye rada mtu ambaye hutamsikia kwenye mipango ya kukimbizana na DILI ukiambiwa taja mmoja basi ni MPANGO ..mzee anaridhika sana na kipato chase Yule ….very humble n intelligent Japo SIO MWANSIASA …ni mchumiHili la Dr. Mpango nililisikia na kulileta humu Kama Sauti Hii ni Sauti ya Kweli, Nimeelezwa Mpango Ndio Mpango Mzima!. Swali ni... Akiwa Mkristo, Kwanini ni Lazima Awe Mkatoliki?!
Inaelezwa hali ya afya yake na umri from 2025 utakuwa sii rafiki!, japo anaweza kuwa ikitokea ghafla kama ya naniliu!.
P
Kwanza huyo mwanamke ni kifagio sana Hana tofauti na Yule wa Arusha mjini kitabia sema yeye anafanya kwa kujificha ……. Anatoka na watu Malaya wachafu kama Yule mbunge wa kule singida….”KINGO”..aliomndolewaga udc kwa kuchukua mahindi ya wananchi na kwenda kuyauza na pesa akawa hawapiHututaki kuongozwa na mwanamke tena, huyu aliyepo amerithishwa na ameboronga sana.
Kuna lipi jipya ambalo kasimamia ambalo linalenga kumlinda mlala hoiShe is so good sema tuu wewe humjui! Hongera Spika Dkt. Tulia Ackson. Kuna haja MaSpika wetu iwe lazima kuwa Wanasheria? mimi namkubali sana!.
1. Kwanza mimi ni miongoni mwa tulioambiwa Tulia ndio atakuwa Spika wetu toka ile 2019 , Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Hivyo ilipotokea fursa Kujiuzulu kwa Ndugai ni mpango wa Mungu kwa Tanzania ili tupate Spika Bora. CCM itateua Spika Bora au Bora Spika kama kawa?
Na alipochaguliwa, Je, Wajua, Naibu Spika, Chini ya "Bora Spika", Anaweza Kuwa "Spika Bora?". Dr. Tulia, "Ukitulia, Una Fursa ya Kuwa Spika Bora Sana!" Hongera Sana!
View: https://youtu.be/ZM_D9HAPi5M?si=87krNp9PcIWGWsdZP
Mpango is good and very humble.MPANGO ni sawa Japo ile wave iliyopitaga na jiwe, na Kijazi ilimuacha kwenye situation ambayo ni very vulnerable …..kuna uwezekano mkubwa hata hiyo 2025 Umakamu akachukua BACK SEAT ….. japo katika serikali kwa sasa hata kwenye rada mtu ambaye hutamsikia kwenye mipango ya kukimbizana na DILI ukiambiwa taja mmoja basi ni MPANGO ..mzee anaridhika sana na kipato chase Yule ….very humble n intelligent Japo SIO MWANSIASA …ni mchumi
Masihara hayo ujueHuyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
Mwisho huwa ni Division IV, Hakuna Division O. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ila tunashukuru kwa ujumbe wako.Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
You are very ignorant brother and your name is Bichwa komwe it is real.Huyu dada ni kichwa haswa, amenyooka kiakili kama rula. Hababaiki wala hababaishi.
Wakili Msomi Dr. Tulia Ackson atatufaa sana mwaka 2025. Samia akae kando atupishe tujipatie chuma hiki cha kisheria.
Sijaona mwanamke mwingine yeyote nchini mwenye uwezo wa kitaaluma na kisiasa unaofua dafu kwa Dr. Tulia Ackson.
Huyu msomi huwezi kumfanisha na akina Jenista Mhagama waliopata madivisheni ziro, au sijui Halima Mdee. Hiki ni chuma kweli kweli.
Hata anavyoliongoza Bunge unaona kabisa huyu ni msomi wa kisawasawa.
2025 twende na hiki chuma. Tusipoteze tunu adhimu kama hii.
HeeeeeeeeeeKwa mbali sana.