Dkt. Tulia Ackson anastahili kuwa Rais wa Tanzania

VIPI MWIGULU NAPE NA MAKAMBA WATARIDHIA?
 
Hivi watu kama hawa wanakuja kufanya nini JF …. [2#$#$%%^&*] , KICHEFU CHEFU And GOD FORBID……..
 
MPANGO ni sawa Japo ile wave iliyopitaga na jiwe, na Kijazi ilimuacha kwenye situation ambayo ni very vulnerable …..kuna uwezekano mkubwa hata hiyo 2025 Umakamu akachukua BACK SEAT ….. japo katika serikali kwa sasa hata kwenye rada mtu ambaye hutamsikia kwenye mipango ya kukimbizana na DILI ukiambiwa taja mmoja basi ni MPANGO ..mzee anaridhika sana na kipato chase Yule ….very humble n intelligent Japo SIO MWANSIASA …ni mchumi
 
Hututaki kuongozwa na mwanamke tena, huyu aliyepo amerithishwa na ameboronga sana.
Kwanza huyo mwanamke ni kifagio sana Hana tofauti na Yule wa Arusha mjini kitabia sema yeye anafanya kwa kujificha ……. Anatoka na watu Malaya wachafu kama Yule mbunge wa kule singida….”KINGO”..aliomndolewaga udc kwa kuchukua mahindi ya wananchi na kwenda kuyauza na pesa akawa hawapi
 
Mpango is good and very humble.
Sidhani hata kama ana moyo wa kuweza kuiba kura
 
Masihara hayo ujue
 

Attachments

  • 20240221_160419.jpg
    59.7 KB · Views: 1
Mwisho huwa ni Division IV, Hakuna Division O. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ila tunashukuru kwa ujumbe wako.
 
You are very ignorant brother and your name is Bichwa komwe it is real.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…