Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Aliyekuwa Naibu Spika Wa Bunge Dkt Tulia Ackson Mwansasu amepitishwa na Kamati Kuu ya CCM Chini ya Mwenyekiti wa CCM Taifa ,Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

-----

Dr. Msomi Tulia Ackson ameteuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge.

Kinachosubiriwa na kupigiwa kura tu na wabunge wa CCM.

Ukubali ama ukatae Tulia ndie spika mpya wa JMT.

Kazi Iendelee.

1FF30AD9-9B93-40BE-9CDB-C12798303C16.jpeg
 
Seems she was well prepared [emoji6], "haitokei hivi hivi, hivi vitu vinapangwa mnajiangaisha bure" in JPM voice ... Dr Tulia anaweza kuwa bora kuliko Ndugai lakini hataweza kutupa bunge bora (Pascal Mayala, 2022).
 
Seems she was well prepared [emoji6], "haitokei hivi hivi, hivi vitu vinapangwa mnajiangaisha bure" in JPM voice ... Dr Tulia anaweza kuwa bora kuliko Ndugai lakini hataweza kutupa bunge bora (Pascal Mayala, 2022).
tuachieni bunge letu boraaa nyie katengenezeni lakwenu mnalotaka tulia anafaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom