Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
What a missed opportunity ?!.Sawa ulipigania saba fisadi na kibaka Andrew Chenge awe spika yote maisha poa tu mtetea wezi na mafisadi akina Chenge
hata wewe unamuwaza ndiyo maana umenijibu ungetulia ningejuwa humuwazi
hahahaaaa wazeee wa kususa chaguzi lakini wamo kuna yule wa kwa kessy na wale 19 wa mnyika na mbowe wanaojifanya hawawajuiChadema hawapo bungeni
Siku za maisha yako hapa Dunia wapiganie wale wote wanaonyimwa HAKI achana na CCM. Nasema watetee kadrid uwezavyo. Ccm ni mashetaniNi mwandishi huru cum bada wa CCM !.
P
Hahahaaa bado muhimili mmoja tu wamama washike kona zote[emoji1787]Naona nchi ishakuwa ya wamama hii
DR TULIA NI SAHIHI KABISA NA ATAPITISHWA NA BUNGE.Inaudhi sana
Sana SanaBado Watanzania tuna safari ndefu!
Tatizo Chenge ni mzee wa dili ni bora huyo mwl wako apiteWhat a missed opportunity ?!.
tulitaka Spika Bora, tumeletewa Bora Spika!.
P
ushaona wapi ccm kuna gaidi? chadema ni mashetani mpaka magaidi wanao sasa nani mbaya kati ya ccm na chadema wenye magaidi?Siku za maisha yako hapa Dunia wapiganie wale wote wanaonyimwa HAKI achana na CCM. Nasema watetee kadrid uwezavyo. Ccm ni mashetani
Bado mahakama mchezo uishe.Nchi ya kina Mama hii..
Kama Viruses Za COVID 19 Yaani Wanataja Wakiwa WamepangaKila kitu kimepangwa, wanachofanya ni kusoma tu script, coups kila mahali, hatuna nchi hapo!
Kwani kina Mdee walitaka nani awe spika?hahahaaaa wazeee wa kususa chaguzi lakini wamo kuna yule wa kwa kessy na wale 19 wa mnyika na mbowe wanaojifanya hawawajui
Mpaka Afie Kwenye Kiti[emoji1][emoji1] atake asitakeeeeeeee
serikali haiendeshwi kwa kugeukana hayo mambo yapo chadema ndiyo maana hawasongi mbele wao kila siku dili tu mara wauze chama kwa lowassa makengeza ni mtu wa dili nakuwageuka wenziesana siyo ka ccmNi kweli kabisa angekuwa Chenge, Kashilila au Masele Serikali ingepelekeshwa sana lakini mambo mengi yangeenda vema sana. Kwa utaratibu wa kumweka Tulia Serikali italipelekesha Bunge na mambo yatakuwa mabaya sana na kuna uwezekano mkubwa sana upinzani ukashamiri Zaidi. Ili isiwe hivyo basi labda Daktari Tulia abadilike sana na amgeuke Samia kwa minajili ya kufuata Imani ya kisomi na pia afikirie kuwa kuna siku naye anaweza kuja kuwa Rais wa nchi hii yetu pendwa!