Thubutu aulize swali kama hili enzi za dhalimu!!! Hizi ni dalili tosha kwamba ndani ya maccm mama ana hali ngumu sana.
Hahahaaaa.......!Fvk off. Sukuma Gant into total desperation
Ni wewe tuu na mzimu wa nanii mwendazake"Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea"
Kabla ya kuifanyia barabara upembuzi yakinifu, waifanyie CCM upembuzi yakinifu.Hahahaaaa....... amekariri huyu meku!
Kwani unajua alikotutoa?"Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea"
Hapana BAK, hizi ni dalili za kuwa sasa watu wamepata nafasi ya kuwa binadamu tena!! Mwendazake aliwafanya watu wawe nusu maiti; vichwa vilijaa pumba tu!! Mpaka Gwajima akawaaminisha Watu wajinga kuwa yeye angeweza kufufua maiti mithiri ya nabii Issa bin Mariam!!
Tulia siyo strategist. Alitegemea huruma za Mwendazake ndiyo amsaidie kuweka mafungu kama alivyomsaidia kupata ubunge wa Mbeya Mjini.Mbunge wa Mbeya mjini Dr Tulia Ackson amesema kuna mkanganyiko mkubwa kati ya Ilani ya uchaguzi ya CCM na bajeti ya wizara ya Ujenzi kuhusu Ujenzi wa barabara ya Tanzam.
Ilani inasema upembuzi yakinifu umekamilika lakini waziri katika bajeti yake anasema upembuzi yakinifu utafafanyika mwaka ujao wa fedha, sasa tumwamini nani CCM au Serikali? Anauliza Dr Tulia ambaye pia ni naibu Spika wa bunge.
Chanzo: Bungeni
Yaani Tulia hakuusoma mchezo!Tulia siyo strategist. Alitegemea huruma za Mwendazake ndiyo amsaidie kuweka mafungu kama alivyomsaidia kupata ubunge wa Mbeya Mjini.
Strategist mzuri kwa nafasi yake kama NS angecheza na Budget officers wa Wizara ya ujenzi na fedha ili waiingize hiyo barabara kwenye mpango kazi wa 2020/21. Kipindi cha kufanya hayo ni miezi ya November- Jan 2021. Alidhani Mwendazake hatakufa, tunamsubiri 2025
Afu nimeshangaa kwenye bajeti barabara kuu na za muhimu.kitaifa hazina pesa au zimepewa pesa kiduchu ila kibarabara uchwara cha kwenda Chato sijui nyamirembe port Chato ginery wametenga pesa nyingiWabunge wa Mbeya /Songwe wakomalie hii miundo mbinu ya mikoa hii.
Ukitoka pale Igawa kuelekea Mbeya barabra ni mbaya mbaya mno, unaweza hata kupoteza rim ya gari na kuingia korongo(Igawa-Mbeya ni 100km na Mbeya-Tunduma ni ~100km)
Mkapa hakuwahi kukarabati
Kikwete hakuwahi kukarabati.
Mwendazake alikuwa busy na fly over ya Busisi kwenda kwao.
Ni wakati kudai barabara hii na nyingine Mkoani Mbeya /Songwe zijengwe, tumenyanyapaliwa mno.
Inajengwa kwa awamu wameishia Igawa sasa hv,wanatakiwa kwenda Mbeya then Tunduma borderHiyo barabara si ilishajengwa upya hivi karibuni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],ccm wanapata taarifa kutoka wizaraniCCM au Wizara nani anafanya upembuzi yakinifu?
Ni kweli mkuu kila parameter ya uchumi huikosi Mbeya ila kwenye allocation ya funds haitendewi inavyostahiki,hizi sio akili ccm waelewe hiliWabunge wa Mbeya na Songwe wasipokomaa sasaivi miundombinu ya ule Mkoa ndo inaenda kuwa mfu kabisa. Haiwezekani mikoa inayochangia kwa kiwango kikubwa uchumi wa Taifa hili kutokana na kuwa njia kuu ya mizigo kwenda nchi kama 5 alafu inakuwa na miundombinu mibovu kiasi kile.
Ile sio barabara ya kujengwa kwa awamu,ni moja ya barabara nyeti Sana kwa Nchi,unajenga kwa awamu kwani ni ya kwenda Chato kubeba punda?Inajengwa kwa awamu wameishia Igawa sasa hv,wanatakiwa kwenda Mbeya then Tunduma border
Sasa si hela mwanawane ndio shida nadhani hapo.Unachosema upo sawa kabisaIle sio barabara ya kujengwa kwa awamu,ni moja ya barabara nyeti Sana kwa Nchi,unajenga kwa awamu kwani ni ya kwenda Chato kubeba punda?
Uko sahihi nikiwa na Drive kwenda kwetu Makete kupitia Mbeya(Uyole - Isyonje- Igoma- Kitulo) nikivuka Daraja la Igawa tu napunguza speed mpaka 60km/hr. Barabara ni chakavu sanaWabunge wa Mbeya /Songwe wakomalie hii miundo mbinu ya mikoa hii.
Ukitoka pale Igawa kuelekea Mbeya barabra ni mbaya mbaya mno, unaweza hata kupoteza rim ya gari na kuingia korongo(Igawa-Mbeya ni 100km na Mbeya-Tunduma ni ~100km)
Mkapa hakuwahi kukarabati
Kikwete hakuwahi kukarabati.
Mwendazake alikuwa busy na fly over ya Busisi kwenda kwao.
Ni wakati kudai barabara hii na nyingine Mkoani Mbeya /Songwe zijengwe, tumenyanyapaliwa mno.
Mara ya mwisho umepita lini hio njia..?Wabunge wa Mbeya /Songwe wakomalie hii miundo mbinu ya mikoa hii.
Ukitoka pale Igawa kuelekea Mbeya barabra ni mbaya mbaya mno, unaweza hata kupoteza rim ya gari na kuingia korongo(Igawa-Mbeya ni 100km na Mbeya-Tunduma ni ~100km)
Mkapa hakuwahi kukarabati
Kikwete hakuwahi kukarabati.
Mwendazake alikuwa busy na fly over ya Busisi kwenda kwao.
Ni wakati kudai barabara hii na nyingine Mkoani Mbeya /Songwe zijengwe, tumenyanyapaliwa mno.
Ile barabara ilipuuzwa kwa makisudi na Mwendazake.Uko sahihi nikiwa na Drive kwenda kwetu Makete kupitia Mbeya(Uyole - Isyonje- Igoma- Kitulo) nikivuka Daraja la Igawa tu napunguza speed mpaka 60km/hr. Barabara ni chakavu sana
Mwezi uliopita!Mara ya mwisho umepita lini hio njia..?