Thubutu aulize swali kama hili enzi za dhalimu!!! Hizi ni dalili tosha kwamba ndani ya maccm mama ana hali ngumu sana.
Hapana BAK, hizi ni dalili za kuwa sasa watu wamepata nafasi ya kuwa binadamu tena!! Mwendazake aliwafanya watu wawe nusu maiti; vichwa vilijaa pumba tu!! Mpaka Gwajima akawaaminisha Watu wajinga kuwa yeye angeweza kufufua maiti mithiri ya nabii Issa bin Mariam!!