Dkt. Tulia Ackson ambaye ni spika wetu ndiyo kwa sasa tishio kubwa sana kwa katiba mpya na mwenendo wa sheria na maendeleo kwa nchi yetu.
Huyu spika ambaye aliingizwa baada ya kutetea sana Uraisi wa kifalme kwenye vikao vya katiba kiasi kwamba akapewa ubunge na Rais wetu ambaye alitaka kugeuza nchi yetu kuwa ya ki dikteta kama Urusi.
Kwasasa amekuwa anatafuta wale wana CCM ambao wanajua hawataweza kushinda kihalali na yeye akiwa mojawapo. Amekuwa akionyesha makucha yake kwa kujaribu kutafuta wabunge bila mafanikio ambao nao ni kama yeye ambao wanatamaa ya madaraka lakini hawapedwi na sio wanasiasa wenye mvuto kwa wananchi.
Amekuwa anajiaminisha kama vile ana nguvu bila kujua kwamba nguvu yake ni ndogo kuliko anavyo fikiria. Lakini yeye na katibu wa zamani Bushiru pamoja na Covid-19 hawatatosha kubeba haya matakwa yake.
Akiendelee hivi atatolewa kwasababu Rais kasha fanya maamuzi ya kwamba yeye anataka kuwa historia kwa vizazi na sio tu kuwabeba wabunge. Rais kachukuwa uamuzi sahihi wa kuweka historia baada ya kuona Magufuli walivyo mbadilikia kwa muda mfupi. Huyu spika awe makini sana kama mmegundua hata waongeaji wa Chama wamekaa mbali na matamko yake.
Huyu ndiye wale madikteta uchwara ambaye inabidi achague upande mapema
Niongee Chadema wanamsubiri Lema kwa kazi moja kubwa. Lema anajulikana sana na uwezo mkubwa wa kupata itelegensia ya ndani ya CCM na kuanzia mwezi wa nne tutaanza kusikia madudu ya Tulia. File lake linamsubiri Lema arudi. Ndiyo maana Chadema wamenyamaza kwanza
Lazima tujue hii katiba mpya Rais Samia ndiye atapata sifa zote na sio Chadema. Hivyo kupigana na katiba nzuri na mpya Rais Samia hatakubali na uzuri Chadema wanajua hilo. Hivyo tutaanza kusikia katiba ya Mama Samia baada tu ya makubaliano ya vifungu muhimu. Hivyo kupinga katiba itakuwa kumpinga Mama
Huyu spika ambaye aliingizwa baada ya kutetea sana Uraisi wa kifalme kwenye vikao vya katiba kiasi kwamba akapewa ubunge na Rais wetu ambaye alitaka kugeuza nchi yetu kuwa ya ki dikteta kama Urusi.
Kwasasa amekuwa anatafuta wale wana CCM ambao wanajua hawataweza kushinda kihalali na yeye akiwa mojawapo. Amekuwa akionyesha makucha yake kwa kujaribu kutafuta wabunge bila mafanikio ambao nao ni kama yeye ambao wanatamaa ya madaraka lakini hawapedwi na sio wanasiasa wenye mvuto kwa wananchi.
Amekuwa anajiaminisha kama vile ana nguvu bila kujua kwamba nguvu yake ni ndogo kuliko anavyo fikiria. Lakini yeye na katibu wa zamani Bushiru pamoja na Covid-19 hawatatosha kubeba haya matakwa yake.
Akiendelee hivi atatolewa kwasababu Rais kasha fanya maamuzi ya kwamba yeye anataka kuwa historia kwa vizazi na sio tu kuwabeba wabunge. Rais kachukuwa uamuzi sahihi wa kuweka historia baada ya kuona Magufuli walivyo mbadilikia kwa muda mfupi. Huyu spika awe makini sana kama mmegundua hata waongeaji wa Chama wamekaa mbali na matamko yake.
Huyu ndiye wale madikteta uchwara ambaye inabidi achague upande mapema
Niongee Chadema wanamsubiri Lema kwa kazi moja kubwa. Lema anajulikana sana na uwezo mkubwa wa kupata itelegensia ya ndani ya CCM na kuanzia mwezi wa nne tutaanza kusikia madudu ya Tulia. File lake linamsubiri Lema arudi. Ndiyo maana Chadema wamenyamaza kwanza
Lazima tujue hii katiba mpya Rais Samia ndiye atapata sifa zote na sio Chadema. Hivyo kupigana na katiba nzuri na mpya Rais Samia hatakubali na uzuri Chadema wanajua hilo. Hivyo tutaanza kusikia katiba ya Mama Samia baada tu ya makubaliano ya vifungu muhimu. Hivyo kupinga katiba itakuwa kumpinga Mama