Dkt. Tulia Ackson ndiyo tishio la Katiba Mpya, awe makini!

Dkt. Tulia Ackson ndiyo tishio la Katiba Mpya, awe makini!

Are u sure unanijibu mm?

Anyway, kuhusu utamaduni wa kimagharibi kupenya ktk shule zetu ni suala la KIKATIBA, mifumo yetu ya Elimu haisimamii vizuri kulinda Tamaduni zetu waafrika,

Tukijitegemea na kupunguza kutembeza bakuli kutamsaidia kuondoa Hali hii,

USHOGA na mambo kama hayo ndo unaleta Matetemeko na majanga mengi duniani.

Turudi msalabani,

Tuombe TOBA na REHEMA Ili Mungu aliponye Taifa letu.

Amen
Mimi nasema hata mfumo wa vyama vingi ni muendelezo wa kutembeza mabakuli, CCM, Chadema, CUF, ACT wote waungane kiwe chama kimoja wakosoane humo weee mpaka wapate suluhu na maisha ya mtanzania wa chini yainuke juu, hizi nyingine ni tamaa ya ruzuku, njaa za madaraka and so on… mbona mimi sina tamaa kabisa na madaraka na nimewainua watu kadhaa kwenye mtaa kwa private program bila hata msaada wa serikali wa moja kwa moja na bado maisha yanaendelea! Fake ID, no need for recognitionnn ni of any kind…
 
Mimi nasema hata mfumo wa vyama vingi ni muendelezo wa kutembeza mabakuli, CCM, Chadema, CUF, ACT wote waungane kiwe chama kimoja wakosoane humo weee mpaka wapate suluhu na maisha ya mtanzania wa chini yainuke juu, hizi nyingine ni tamaa ya ruzuku, njaa za madaraka and so on… mbona mimi sina tamaa kabisa na madaraka na nimewainua watu kadhaa kwenye mtaa kwa private program bila hata msaada wa serikali wa moja kwa moja na bado maisha yanaendelea! Fake ID, no need for recognitionnn ni of any kind…
Unajua kuwa vyama vingi vya upinzani vimeanzishwa na CCM na vinalipwa Ili kuhujumu WAPINZANI halisi?

Nia njema ni kuvifuta, tuwe na vyama viwili au vitatu pekee vya upinzani.

Vilete changamoto Kwa Serikali.
 
Dkt. Tulia Ackson ambaye ni spika wetu ndiyo kwa sasa tishio kubwa sana kwa katiba mpya na mwenendo wa sheria na maendeleo kwa nchi yetu.

Huyu spika ambaye aliingizwa baada ya kutetea sana Uraisi wa kifalme kwenye vikao vya katiba kiasi kwamba akapewa ubunge na Rais wetu ambaye alitaka kugeuza nchi yetu kuwa ya ki dikteta kama Urusi.

Kwasasa amekuwa anatafuta wale wana CCM ambao wanajua hawataweza kushinda kihalali na yeye akiwa mojawapo. Amekuwa akionyesha makucha yake kwa kujaribu kutafuta wabunge bila mafanikio ambao nao ni kama yeye ambao wanatamaa ya madaraka lakini hawapedwi na sio wanasiasa wenye mvuto kwa wananchi.

Amekuwa anajiaminisha kama vile ana nguvu bila kujua kwamba nguvu yake ni ndogo kuliko anavyo fikiria. Lakini yeye na katibu wa zamani Bushiru pamoja na Covid-19 hawatatosha kubeba haya matakwa yake.

Akiendelee hivi atatolewa kwasababu Rais kasha fanya maamuzi ya kwamba yeye anataka kuwa historia kwa vizazi na sio tu kuwabeba wabunge. Rais kachukuwa uamuzi sahihi wa kuweka historia baada ya kuona Magufuli walivyo mbadilikia kwa muda mfupi. Huyu spika awe makini sana kama mmegundua hata waongeaji wa Chama wamekaa mbali na matamko yake.

Huyu ndiye wale madikteta uchwara ambaye inabidi achague upande mapema

Niongee Chadema wanamsubiri Lema kwa kazi moja kubwa. Lema anajulikana sana na uwezo mkubwa wa kupata itelegensia ya ndani ya CCM na kuanzia mwezi wa nne tutaanza kusikia madudu ya Tulia. File lake linamsubiri Lema arudi. Ndiyo maana Chadema wamenyamaza kwanza

Lazima tujue hii katiba mpya Rais Samia ndiye atapata sifa zote na sio Chadema. Hivyo kupigana na katiba nzuri na mpya Rais Samia hatakubali na uzuri Chadema wanajua hilo. Hivyo tutaanza kusikia katiba ya Mama Samia baada tu ya makubaliano ya vifungu muhimu. Hivyo kupinga katiba itakuwa kumpinga Mama
Nani kakuambia Dr. Tulia hapendwi?
 
Nani kakuambia Dr. Tulia hapendwi?

Anapedwa na nani zaidi ya wezi. Ubunge kila mtu anajua hajashinda na hawezi kushinda kihalali. Huyu dada wakati wa mchakato wa katiba yaani alipendekeza Raisi apewe nguvu kuliko ilivyo hata sasa alikuwa kwenye kamati na Dr Lwaitana na ndiyo mwanzo wake wa kupendwa na Raisi wetu ambaye alitaka kuwa dikteta. Inawezekana ni msomi mzuri lakini sio mwanasiasa anayependwa na wananchi huo ndiyo ukweli hana mvuto wala swagger la kisiasa.
 
Anapedwa na nani zaidi ya wezi. Ubunge kila mtu anajua hajashinda na hawezi kushinda kihalali. Huyu dada wakati wa mchakato wa katiba yaani alipendekeza Raisi apewe nguvu kuliko ilivyo hata sasa alikuwa kwenye kamati na Dr Lwaitana na ndiyo mwanzo wake wa kupendwa na Raisi wetu ambaye alitaka kuwa dikteta. Inawezekana ni msomi mzuri lakini sio mwanasiasa anayependwa na wananchi huo ndiyo ukweli hana mvuto wala swagger la kisiasa.
Huo mvuto wa kisiasa unapimwa na kizio gani maana jimboni kwake anakubalika kwa kazi alizofanya sasa mvuto upi unaouzungumzia.

Usichokifahamu ni kuwa wananchi wa sasa ni waelewa kuliko wale wa miaka ya 70,80 na 90 watu hawavutiwi na porojo na propaganda watu wanavutiwa na kazi.
 
Huo mvuto wa kisiasa unapimwa na kizio gani maana jimboni kwake anakubalika kwa kazi alizofanya sasa mvuto upi unaouzungumzia.

Usichokifahamu ni kuwa wananchi wa sasa ni waelewa kuliko wale wa miaka ya 70,80 na 90 watu hawavutiwi na porojo na propaganda watu wanavutiwa na kazi.

Anakubalika vipi wakati uchaguzi wake wa kwanza ni huo uchafuzi wa 2020! yaani kweli unaweza kuwa na akili sawa ukasema uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa haki!. Ulikuwa wa ajabu kiasi kwamba uchaguzi wa Raisi haujatoka mpaka leo namba za kura kwa majimbo. Hapendwi zaidi ya wale wanaopenda udikteta na hawezi kuchaguliwa. Unasema kaleta vitu wabunge hawana pesa wenyewe ni waongeaji tu huu utapeli wananchi wanaujua ni wajinga tu hawajui hili
 
Anakubalika vipi wakati uchaguzi wake wa kwanza ni huo uchafuzi wa 2020! yaani kweli unaweza kuwa na akili sawa ukasema uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa haki!. Ulikuwa wa ajabu kiasi kwamba uchaguzi wa Raisi haujatoka mpaka leo namba za kura kwa majimbo. Hapendwi zaidi ya wale wanaopenda udikteta na hawezi kuchaguliwa. Unasema kaleta vitu wabunge hawana pesa wenyewe ni waongeaji tu huu utapeli wananchi wanaujua ni wajinga tu hawajui hili
Hao wajinga ndio wapiga kura wenyewe na ndio waliomchagua na ndio wanao mpenda na ndio watao mchagua tena 2025 kutokana kazi nzuri aliyowafanyia.
 
Hao wajinga ndio wapiga kura wenyewe na ndio waliomchagua na ndio wanao mpenda na ndio watao mchagua tena 2025 kutokana kazi nzuri aliyowafanyia.

Hakuna mbunge hata mmoja kachaguliwa 2020 wote wametangazwa. Hawa ni wabunge wa viti maalumu wameletwa kuziba demokrasia tu na yule mzee mwingine kashatolewa.
 
Wewe ni qumanina,hii katiba Hadi mamako anaihitaji
Hakuna mtu mwenye matusi anayehitaji katiba mpya nikushauri fanya kazi kwa bidii , tafuta hela katiba utaiona safi sana Kuna watu wametafuta hela kihalali wanaishi maisha bora wakiwa Korea kaskazini na kinachobaki ni story za YouTube . Wewe unahitaji hela sio katiba, Nakaribisha panic na matusi na , makasiriko.
 
Hakuna mtu mwenye matusi anayehitaji katiba mpya nikushauri fanya kazi kwa bidii , tafuta hela katiba utaiona safi sana Kuna watu wametafuta hela kihalali wanaishi maisha bora wakiwa Korea kaskazini na kinachobaki ni story za YouTube . Wewe unahitaji hela sio katiba, Nakaribisha panic na matusi na , makasiriko.


Wewe ni bure kweli unafikiri tunaotaka katiba mpya ni kwasababu zetu binafsi! Sisi tunajali nchi na watu wa chini sio binafsi. Nani kakwambia watu hapa wanataka katiba kwasababu binafsi hizo ni akili za kitoto!. Wananchi wamechoka umasikini na unyanyasaji ni lazima tusaidie kizazi kijacho. Wewe kama hutaki tupishe
 
Hakuna mtu mwenye matusi anayehitaji katiba mpya nikushauri fanya kazi kwa bidii , tafuta hela katiba utaiona safi sana Kuna watu wametafuta hela kihalali wanaishi maisha bora wakiwa Korea kaskazini na kinachobaki ni story za YouTube . Wewe unahitaji hela sio katiba, Nakaribisha panic na matusi na , makasiriko.
🤣🤣🤣
 
Wewe ni bure kweli unafikiri tunaotaka katiba mpya ni kwasababu zetu binafsi! Sisi tunajali nchi na watu wa chini sio binafsi. Nani kakwambia watu hapa wanataka katiba kwasababu binafsi hizo ni akili za kitoto!
Fanya kazi kwa bidii utawaona wanasiasa kama madaktari, walimu , wahandisi , kiufupi wapo kazini , wekeza kwenye uzalishaji mali na ndio mtaji wa kumtoa masikini kwenye umasikini , hakuna katiba iliyowahi kumtoa mtu kwenye umasikini. Kuna masikini marekani tumewaona, Kuna masikini Sweden nk . Kazi, bidii Nidhamu katiba ni mambo ya wanasiasa, kama kazi Yako siasa tafuta katiba mimi na watoto wangu tutaendelea kutafuta hela tukifurahia vyama vya siasa kama team za mpira wa miguu.
 
Alikuwa mwenyekiti kwenye kamati na mzee Mwaitama ya katiba kabla hajawa mbunge nenda kafuatilie ujue aliingiaje kwenye siasa kabla ya kuropoka.
Aliingiaje fuatilia wewe mwenye maumivu ya nafsi. Uwezo wake haufai kuwa spika wa bunge?, vipi kuhusu elimu yake ya PHD ya sheria, haiendani na mahitaji ya taasisi anayofanyia kazi sasa?.
 
Dkt. Tulia Ackson ambaye ni spika wetu ndiyo kwa sasa tishio kubwa sana kwa katiba mpya na mwenendo wa sheria na maendeleo kwa nchi yetu.

Huyu spika ambaye aliingizwa baada ya kutetea sana Uraisi wa kifalme kwenye vikao vya katiba kiasi kwamba akapewa ubunge na Rais wetu ambaye alitaka kugeuza nchi yetu kuwa ya ki dikteta kama Urusi.

Kwasasa amekuwa anatafuta wale wana CCM ambao wanajua hawataweza kushinda kihalali na yeye akiwa mojawapo. Amekuwa akionyesha makucha yake kwa kujaribu kutafuta wabunge bila mafanikio ambao nao ni kama yeye ambao wanatamaa ya madaraka lakini hawapedwi na sio wanasiasa wenye mvuto kwa wananchi.

Amekuwa anajiaminisha kama vile ana nguvu bila kujua kwamba nguvu yake ni ndogo kuliko anavyo fikiria. Lakini yeye na katibu wa zamani Bushiru pamoja na Covid-19 hawatatosha kubeba haya matakwa yake.

Akiendelee hivi atatolewa kwasababu Rais kasha fanya maamuzi ya kwamba yeye anataka kuwa historia kwa vizazi na sio tu kuwabeba wabunge. Rais kachukuwa uamuzi sahihi wa kuweka historia baada ya kuona Magufuli walivyo mbadilikia kwa muda mfupi. Huyu spika awe makini sana kama mmegundua hata waongeaji wa Chama wamekaa mbali na matamko yake.

Huyu ndiye wale madikteta uchwara ambaye inabidi achague upande mapema

Niongee Chadema wanamsubiri Lema kwa kazi moja kubwa. Lema anajulikana sana na uwezo mkubwa wa kupata itelegensia ya ndani ya CCM na kuanzia mwezi wa nne tutaanza kusikia madudu ya Tulia. File lake linamsubiri Lema arudi. Ndiyo maana Chadema wamenyamaza kwanza

Lazima tujue hii katiba mpya Rais Samia ndiye atapata sifa zote na sio Chadema. Hivyo kupigana na katiba nzuri na mpya Rais Samia hatakubali na uzuri Chadema wanajua hilo. Hivyo tutaanza kusikia katiba ya Mama Samia baada tu ya makubaliano ya vifungu muhimu. Hivyo kupinga katiba itakuwa kumpinga Mama


Alichosema leo kwa mkurugenzi wa uchaguzi leo sasa watu wanaanza kunielewa
 
Back
Top Bottom