Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,636
- 3,142
Wewe ni kiongozi wa muhimili wa Bunge.
Wewe ni mbunge wa Mbeya mjini na mama wa familia, binafsi ninakuheshimu na nina amini⁷
kadhalika na Watanzania wote.
Mungu amekujaalia umbo zuri ambalo wanawake wengi wanalitamani kwani wamegundua unene ni mateso.
Natamani upate tu mtaalam wa mavazi aukushauri na kukuvika mavazi sawa na umbo na hadhi yako aaah ungependeza sana.
Barikiwa sana na kazi njema huko uliko.
Wewe ni mbunge wa Mbeya mjini na mama wa familia, binafsi ninakuheshimu na nina amini⁷
kadhalika na Watanzania wote.
Mungu amekujaalia umbo zuri ambalo wanawake wengi wanalitamani kwani wamegundua unene ni mateso.
Natamani upate tu mtaalam wa mavazi aukushauri na kukuvika mavazi sawa na umbo na hadhi yako aaah ungependeza sana.
Barikiwa sana na kazi njema huko uliko.