Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha roho mbaya, mwache mama wa watu apumzikekamekauka kauuu, kabayaaa
Ana ubaya gani??!!kamekauka kauuu, kabayaaa
Hahaha Don Moen ojii ninamkubali sana mwana[emoji28]
Uvaaji wake hauna tatizo lolote lakini uendeshaji wake wa bunge ni wa hovyo kabisa.
Akina Mpoki sio?🤣Kuna maisha mtu unapitia hata uwe raisi wa nchi hukai sawa tena kwa mfano ngosha na huyu dk Tulia maisha ya vijijini unazeeka kwanza halafu ndo unakuwa kijana
Sura haifai kuhukumiwa ni nje ya uwezo wetuAcha roho mbaya, mwache mama wa watu apumzike
Ni mzuri kwa kweliAna ubaya gani??!!
Kuna watu huwa mnajikuta wazuuri.
Hana ubaya mkuu mavazi tu ndio shidaKabayaaaaaaaaaaaaa alafu Unavyo zungumzia sasa utadhani ni pisi moja kali ya kwenda,🤔🤔🤔🤔🤔
Mzuri hata akivaa overcoat la garage atavutia tuu, lakini huyo mwenye sura kama mbulumbulu hata avae nini atabaki kua mbayaaaaaaaaaaaa tuuHana ubaya mkuu mavazi tu ndio shida
Bora hapo kavaa vizuri,kuna sehemu niliona kavaa matiti nje njeWewe ni kiongozi wa muhimili wa Bunge.
Wewe ni mbunge wa Mbeya mjini na mama wa familia, binafsi ninakuheshimu na nina amini⁷
kadhalika na Watanzania wote.
Mungu amekujaalia umbo zuri ambalo wanawake wengi wanalitamani kwani wamegundua unene ni mateso.
Natamani upate tu mtaalam wa mavazi aukushauri na kukuvika mavazi sawa na umbo na hadhi yako aaah ungependeza sana.
Barikiwa sana na kazi njema huko uliko.
View attachment 2382474View attachment 2382475