Dkt. Tulia Ackson ningependa uutendee haki uvaaji wako kama Spika wa Bunge

Spika wa Mwanjelwa, Njelii, Docks mnataka avae kama katoka Izumbwe?
 
Ushauri mzuri sana
 
Hana taste kabisa ya uvaaji
Kila mtu ana haki ya kuvaa anavyoona sawa ila ukiwa mtu unaeonekana na uko high profile lazima uvae vizuri na kama role model kwa wadogo

Tusiwe wabishi na kusema kila mmoja anavaa anavyotaka ila jamani hebu angalia hiyo picha nyingine kavaa tracksuit sijui mtumba daa walahi sikumuona mwanzo pamoja na picha kubwa hivyo
Yaani macho yamemuangua huyo mama mwingine yeye nilifikiri dude sorry

Abadilike sasa kwani hana mshauri jamani kulingana na post yake?

Mbona kina Salma wanavaa vizuri kulingana na hadhi zao?

Hata wahalifu wanavaa suti wakienda mahakamani daa
 
Mkuu
Naomba Thread Yako Iingie Kwenye Hansard Za Bunge
Atafute Mtaalam Amvishe Apendeze Kwa Hadhi Na Nafasi
Aache Kuvaa Ronyaronya Kama Anakwenda Ngomani


HILI Mkakae Mkalitazame Vizuri, Avae Vizuri Apendeze Muda Wote
 
Sio fan kabisa wa madame speaker ila sioni tatizo lolote na anachotala kuvaa,ni uchaguzi wake kama mimi ninavyoamua kuvaa,na hata akiamua kuvaa min skirt ni sawa tu maana haina maana kuwa ke akivaa min she's asking for sex,speaker vaa unachopenda ila uendeshaji wako wa bunge nauchukia kama ngoma
 
Uvaaji wake hauna tatizo lolote lakini uendeshaji wake wa bunge ni wa hovyo kabisa.
 
Mbona yuko fresh tu anapendeza alivyo siku zote. Besides kila mtu ana tastes zake za mavazi...iweje umshauri wewe fanya yako yake mwachie mwenyewe
Yule tayar ni icon inatakiwa aelekezwe namna ya kuvaa sio anajivalia tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…