Dkt. Tulia Ackson ningependa uutendee haki uvaaji wako kama Spika wa Bunge

Kuna maisha mtu unapitia hata uwe raisi wa nchi hukai sawa tena kwa mfano ngosha na huyu dk Tulia maisha ya vijijini unazeeka kwanza halafu ndo unakuwa kijana
 
Kuna maisha mtu unapitia hata uwe raisi wa nchi hukai sawa tena kwa mfano ngosha na huyu dk Tulia maisha ya vijijini unazeeka kwanza halafu ndo unakuwa kijana
Akina Mpoki sio?🀣
 
Hana ubaya mkuu mavazi tu ndio shida
Mzuri hata akivaa overcoat la garage atavutia tuu, lakini huyo mwenye sura kama mbulumbulu hata avae nini atabaki kua mbayaaaaaaaaaaaa tuu
 
Bora hapo kavaa vizuri,kuna sehemu niliona kavaa matiti nje nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…