Ww utakuwa Sugu au kamanda wake! ππππDah siyo kwa chuki hizi!Mume wake amekula hasara, kuwa na mke kama huyu ni sawa na kuwa na msukule chumbani.
Na kuna kile kibosi chake kule bungeni, kijamaa kifupi fupi hivi, kimejaa kama "KIPIPA" na tumbo kama sanduku la sadaka.
Atulie tu kama jina lake linavyotakaMgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini kwa Tiketi ya Chama cha Mapinduzi amesema kuwa ana uhakika Chama cha Mapinduzi kitaibuka kidedea katika Jimbo la Mbeya Mjini.
Tulia amesema hayo alipojitokeza kupiga kura, ambapo amesema kuwa amezunguka katika vituo takribani 40 na hali katika vituo hivyo ni shwari na wananchi wameitika wito.
Aidha amebainisha Changamoto ambazo zimejitokeza kuwa ni baadhi ya wapiga kura wamekata tamaa ya kushiriki zoezi hilo baada ya kutafuta Majina yao na kuyakosa katika vituo ambavyo walitarajia kupigia kura.
Ila mwitikio ukiwa upande wa Chadema, nikigezo cha kushinda,π
umelogwa kibwege sana !Iringa tayr ccm wamechukua jimbo
Mpumbavu katika upumbavu wake.Anayechagua CCM asilaumu umaskini, awe tayari kuvumilia miaka mitano nyingine ya huyu dikteta, na mark my words mkimpa mitano ikiisha katiba inabadilishwa atataka mitano mingine, hakuna mtu wa kumreplace CCM nzima.
umelogwa kibwege sana !
Tutaona unenecho na nisemacho mimi nani yuko sahihi?Watanzania wasioelewa Mambo tu na wenye maslai ndo wanachagua CCM mtu anayejitambua hawezi chagua CCM kwa sasa
Nani atakuoa ww na wanawake woote hawa ? Acha kujishtukia mkuu kama huna hizo tabia.Bora kuwa maskini tukiwa na amani kuliko utajiri wa mashaka na kuoana midume
Mara nyingi CCM huwa hawatumii mitandao kuonyesha nini wamefanya maana walitunzwa na wakatinzika.Namshukuru mungu nimetoka tayari kumuondoa magufuli.viva LISU Rais wa awamu ya sitaView attachment 1614627
Queen Sindiga mwangalieni vizuri,; huyu ni kiongozi ajaye.Ingawa sijampigia kura,lakini dhamiri yangu inaniambia angeligombea chama kikubwa,angetoa ushindani mkubwa.Muda mfupi uliopita amesema amejiandaa kupokea majibu yoyote kwa sababu anatakiwa Rais mmoja tu.Tulia anasemaje????
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Tutaona unenecho na nisemacho mimi nani yuko sahihi?
Ni pale utakapoyakataa matokeo wakati yanatangazwa maana umejiaminisha kitu kisichowezekana.
Acha tusubiri na tuone ndugu ila ukweli utabaki pale pale wengi wa wapiga kura niwa CC
Mkuu elewa namaanisha wazee wengi hasa maana wengne muda huu wote wanajua kuchagua ni CCM tu bila kujua kwa sababu zipi wamechagua hao ndo wanaongeza kura CCM lakin mtu angalau amepata elimu na kupambanua mambo ndo anaweza kupima wagombea na kumchagua yupiMara nyingi CCM huwa hawatumii mitandao kuonyesha nini wamefanya maana walitunzwa na wakatinzika.
Subirini muda wa majumuosho mjionee ila jitahidini tu kuwa wavumilivu.
huyu labda kushinda njaa lakini sio kushinda uchaguziTulia upige kura hapa hapawezi amua mshindi.