Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Sio kweli, hizo organizations zimejaa wazungu wengi tu. Hao wawakilishi wa Lithuania, Ukraine na Russia wanawakilisha mataifa hayo makubwa na wamo humo.Hahaha nobody cares na huo ujinga wa nonsense organization's kama hizo, ni nchi maskini tuu ndio wanachukulia serious maana ndio wanapopatia posho, hata Magufuli alishtukia huo ujinga akaacha kupoteza muda kusafiri kuhudhuria hii mikutano ambayo ni useless
Ukiongelea mataifa yaliyoendelea usitaje Russia au Ukraine, ukiona wazungu kwenye hizo organization wengi ni recent graduates waliojitolea na CIA😂😩Sio kweli, hizo organizations zimejaa wazungu wengi tu. Hao wawakilishi wa Lithuania, Ukraine na Russia wanawakilisha mataifa hayo makubwa na wamo humo.
Magufuli alikuwa mwepesi sana kwenye masuala ya kidiplomasia, alitanguliza ujivuni katika mahusiano na mataifa makubwa pengine ikiwa ni kinga ya kutojihusisha nao kwenye masuala mengi, na wakati huo huo tukaendelea kutengwa na mashirika pamoja na taasisi mbalimbali.
90% hata alichosema Tulia hawakumelewa, wakaanza kuangaliana wengine wakaanza kuulizana “ kasema nini?” (What she said?). Wakapata jibu. Waliompigia kura safari hii watafanya googling (google).Yule jamaa alisema hiyo ilikuwa Kingereza kitupu,wewe unafikiri kwanini asingesema ratiba iliingiliana siku ile tulipanga kwenda Ukraine wenyeji wetu walikuwa New York ikabidi tuende Moscow.Fulstop
Russia asingekuwa nchi tajiri viongozi wa kiafrika wasingejikusanya wakaenda kwa Putin kutangaza njaa.Ukiongelea mataifa yaliyoendelea usitaje Russia au Ukraine, ukiona wazungu kwenye hizo organization wengi ni recent graduates waliojitolea na CIA😂😩
Na misaada hataenda kuomba tenaAfrika imezizima Cairo mpaka Cape Town tunabubujikwa na machozi ya furaha kwa kuinuliwa. Sasa dunia inatuheshimu
View: https://www.youtube.com/watch?v=kMc6CYfZzZENikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.
Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzania iliyopotea miaka mingi.
Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!
Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Wazee wansojielewa na wazalendo huko Tabora, wamempogeza Dr Tulia kwa kusapa wazungu vidonge vyao.Haha lazima utafute angle ya kusifia Tu
Sasa pale kajibu kibabe?
Ile tone si hata Dodoma anaitumia au Kwa vile kaongea Kwa kizungu
Katoa maelezo marahisi kabisa
Ukiona mtuanaanza za Pdidy basi ni mmoja wao na mufilisi kiakili.Amewainua wewe na mumeo mimi simo
Yaani unaejitambua uko nyuma ya keyboard na asie jitambua yuko Geneva anapangua hoja za wazungu?Hiyo tulia katudhalilisha sana watanzania tunaojitambua.
Wajinga ndio waliwao!Yaani unaejitambua uko nyuma ya keyboard na asie jitambua yuko Geneva anapangua hoja za wazungu?
Unachokisema ni sawa na mtu anayejitekenya na kucheka mwenyewe. Unakumbuka wimbo unaosema "mazoea eh, yana tabu..." Intelligent/smart/critical thinkers wanachotaka ni reasoning yako and your art of persuasion. Kufoka ni kuonyesha tu kwamba bado kabisa unavutwa na mazoea (mambo uliyozoea kufanya), na ndivyo nilivyoona mimi. Alitakiwa tu ajenge hoja akiwa sober, lakini alionyesha ali'panic' na kuongea kwa ukali as if anawafokea watoto. Katika muktadha huo kumpa credit ni kutojitendea haki mwenyewe na kutomtendea yeye haki pia kwa sababu unamweka mahali ambapo hastahili kuwa.
View: https://www.youtube.com/watch?v=kMc6CYfZzZENikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.
Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzania iliyopotea miaka mingi.
Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!
Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Hahaha! Sawa bwana, jitekenye na kucheka mwenyewe.Wazee wansojielewa na wazalendo huko Tabora, wamempogeza Dr Tulia kwa kusapa wazungu vidonge vyao.
ITV saa mbili.
Wazee wansojielewa na wazalendo huko Tabora, wamempogeza Dr Tulia kwa kusapa wazungu vidonge vyao.
ITV saa mbili.
Hahaha! Sawa bwana, jitekenye na kucheka mwenyewe.
Dunia gani hiyo inayokuheshimu? Ku',panic' nako kunamfanya mtu aheshimiwe kweli au kuonewa huruma?Afrika imezizima Cairo mpaka Cape Town tunabubujikwa na machozi ya furaha kwa kuinuliwa. Sasa dunia inatuheshimu
Mbona una akili finyu, wazee wa Tabora wenye uzalendo mkubwa kwani walikuwepo IPU Geneva?Hahaha! Sawa bwana, jitekenye na kucheka mwenyewe.