Dkt. Tulia atakuwa mbunge wa kwanza Tanzania nzima kutangazwa mshindi wa kiti cha Ubunge 2025

Dkt. Tulia atakuwa mbunge wa kwanza Tanzania nzima kutangazwa mshindi wa kiti cha Ubunge 2025

Mimi naongea ukweli na huo ndio ukweli wenyewe.Dr Tulia atapata kura za ndio kwa kishindo na kuwa mbunge wa kwanza kutangazwa mshindi Tanzania nzima.
We mwenyewe hujiamini ndo maana umekuja kutest humu lakini ikitokea tunakubaliana nayo hivyo usiwe na majibu kama kura unapiga pekeyako vp au mmesha andaa kura nn
 
Mlivyo Wapumbavu eti Jimbo ni "Mali halali" wewe ni mpumbavu Lucas
Wana Mbeya ambao ndio wamiliki na wenye jimbo lao waneamua kumpatia na kumkabidhi Dr Tulia jimbo lao,ili aendeleze kazi nzuri aliyoianza na iliyoleta matunda kwa wanambeya.
 
Kwanini sugu alishindwa kufanikisha hayo anayoyafanya leo Dr Tulia? Hujuwi ni ushawishi wa Dr Tulia na kukubalika kwake na kuwa karibu na viongozi pamoja na serikali yake? Kwani wewe unafikiri kazi za mbunge ni zipi? Majukumu ya mbunge katika kuchochea maendeleo jimboni kwake ni yapi?
Ni mbinu za serikali kutotoa mazingira wezeshi hasa kwa wabunge toka upinzani ili kusudi kuwakwamisha kuleta maendeleo majimboni, mbona iko wazi.
 
Ni mbinu za serikali kutotoa mazingira wezeshi hasa kwa wabunge toka upinzani ili kusudi kuwakwamisha kuleta maendeleo majimboni, mbona iko wazi.
Siyo kweli ndugu yangu. Sugu hata uwezo tu wa kuishawishi serikali au kuwa na uwezo wa kushirikiana na serikali alikuwa hana na bado hana uwezo huo wa kiuongozi hana mpaka sana.alikuwa hajuwi afanye nini ili jiji la Mbeya lipokee mabilioni ya fedha kwa ajili miradi mbalimbali pamoja na miundombinu ya barabara.sugu alikuwa anawaza maslahi yake binafsi tu.
 
Kama ni kutangazwa sawa lakini siyo kuchaguliwa maana hata sasa na wenzake wengi mule walitangazwa hawakuchaguliwa
 
Hapo ni Sugu na Mwabukusi.
Hao uliowataja hakuna hata mwenye muda nao. Angalia mfano huyo Mwabukusi majuzi tu hapa aliitisha maandamano kwa kushirikiana na mvuta Bangi Mdude Nyagali,hakuna alijitokeza wala kuwaunga mkono zaidi ya wao wenyewe kukimbilia vichakani kwenda kujificha.
 
Kama ni kutangazwa sawa lakini siyo kuchaguliwa maana hata sasa na wenzake wengi mule walitangazwa hawakuchaguliwa
Dr Tulia alishinda kwa kura halali na hata sasa atashinda na kupita kwa kura halali za kishindo.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa namna dkt Tulia anavyokubalika,kupendwa, kuaminika na kuungwa mkono na wana Mbeya. kwa hakika uchaguzi ujao Dr Tulia atakuwa mbunge wa kwanza kushinda na kutangazwa mshindi mapema sana na kuacha wananchi wakifunga barabara na jiji zima kwa shangwe, nderemo na vifijo kushangilia ushindi wake.

Maana kila mtu anasubiri kwa hamu na kwa kiu kubwa sana siku na wakati ufike ili ampigie kura ya ndio Dr Tulia. kila mtu anataka kujiwekea historia ya kumpigia kura Rais wa IPU. kila mtu anataka kuitangazia Dunia kuwa hawakukosea kumchagua kuwa Rais wao wa IPU ,kwa kuwa hata wao wana Mbeya bado wanaendelea kumpenda na kumhitaji kuendelea kuwa mbunge wao.

Kwa sasa kila mwana Mbeya anataka kuja kupiga kura kama sehemu ya kutoa shukurani na asante kwa Dr Tulia kwa kazi kubwa aliyoifanya na kugusa maisha ya wana Mbeya wengi. Dr Tulia kwa sasa hahitaji kutumia nguvu katika kampeni maana wana Mbeya wanaendelea kumpigia kampeni kila siku, wanaendelea kuonyesha na kutaja mambo aliyoyafanya katika uongozi wake ambayo yalikuwa hayajawahi kufanywa na mbunge aliyemtangulia.

Kikubwa tuendelee kumuombea afya njema na nguvu za kuendelea kuwatumikia wana Mbeya .tumuombe Mungu aendelee kumpigania, kumtetea na kumlinda wakati wote. Mungu aendelee kuwa upande wake na kumuongoza katika kila hatua apigayo .lakini pia Dr Tulia naye aendelee kumtumainia na kumtegemea Mungu katika kila jambo kama ambavyo amekuwa akifanya siku zote .

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Kama ni kweli itakua jambo jema! Ni vizuri wasitishe ugawaji wa hilo jimbo ili kupunguza gharama kwa serikali.

Wapinzani wanasema serikali inataka kuligawa jimbo ili kumlinda Dk Tulia.
 
Viongozi wa CCM mkoa wa Mbeya , mchangieni pesa kidogo mdogo wenu Lucas mwashambwa apunguze njaa. Hana uwezo kielimu wa vyeo vya kuteuliwa lakini kwa uwezo wake mdogo anajitahidi kuwapigia debe japo hakuna anayemsikiliza
 
Siyo kweli ndugu yangu. Sugu hata uwezo tu wa kuishawishi serikali au kuwa na uwezo wa kushirikiana na serikali alikuwa hana na bado hana uwezo huo wa kiuongozi hana mpaka sana.alikuwa hajuwi afanye nini ili jiji la Mbeya lipokee mabilioni ya fedha kwa ajili miradi mbalimbali pamoja na miundombinu ya barabara.sugu alikuwa anawaza maslahi yake binafsi tu.
Serikali ndio CCM yenyewe.
 
Back
Top Bottom