Kwa nini hujifunzi kuandika kwa kanuni zake?JF ni jukwaa kuuubwaaa juu ya jukwaa.Unataka utafsirikaje?Usiandike tu kama upo chumbani "unachana" nywele.Badilika.Siyo ombi.haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Nyie ndio mna sababisha jf kuonekana sio kwa sasahaiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Hizi degree za kununua unaweza kuta hii taka nayo ina mastersKwa nini hujifunzi kuandika kwa kanuni zake?JF ni jukwaa kuuubwaaa juu ya jukwaa.Unataka utafsirikaje?Usiandike tu kama upo chumbani "unachana" nywele.Badilika.Siyo ombi.
Hapo ameandika akiwa kaunta na konyagi jibapa amenunuliwa na kapewa bando la afu 3 anaona dunia ipo upande wakeNyie ndio mna sababisha jf kuonekana sio kwa sasa
Kwenye Heading malizia kabisa na Dr Makonda itapendeza zaidihaiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Uvaaji miwani umemoatia udokta bila kipingamizi.Kwenye Heading malizia kabisa na Dr Makonda itapendeza zaidi
Mwigulu toa.haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Mheshimiwa, uko wapi.....haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Unamaanishaa nini,akili mbumbumbu umeniacha aliyeelewa anisaidie.haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
mafisadi wakubwa na Matapeli wataifa haohaiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Hapo mwanasiasa hazina ni Dr Tulia peke yake, hao wengine ni machawa na wapenda sifa tu.haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania
Sio PHD?Hizi degree za kununua unaweza kuta hii taka nayo ina masters
Toa makonda katika list yako. Yule hamna kitu zaidi ya kick na mbwembwe tu. Hakuna anachoanzisha akakimaliza huwa kinaishia njianihaiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu π
Mungu Ibariki Tanzania