haiba, hulka, maono, mipango, mitazamo na utendaji wao una viashiria, sifa, vigezo na uelekeo wa nafasi za juu katika katika uongozi wa nchi. hii ni kwa mujibu wa haki, maoni na mtazamo wangu huru kikatiba..
nachelea kuwasihi wananchi na waTanzania wote kwa ujumla, kutafakari jambo hili muhimu sana kwa mustakabali wa ustawi wa Taifa letu, baada ya Dr. Samia Suluhu Hassan, kipenzi cha waTanzania kukamilisha ngwe yake ya pili uongozini 2025-2030...
nje ya watajwa hao,
ni kupoteza muda, nguvu na rasilimali tu 🐒
Mungu Ibariki Tanzania