Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Hivi umesikia hotel walizokwenda kulala samia na kikosi chake huko MAREKANI ?Halafu anakuja huku kusema maisha magumu?@Tindo nchi imeuzwa Kwa waarabu wa dubai
Wewe mbona hukununua kakipande kadogo kama chato ili uzikwe na Jiwe lako?
 
Aibu kweli baada ya Mwl Nyerere ndani ya ccm KUTUONGOZA akiwa ndani ya mfumo wa chama kimoja,tupo ndani ya vyama vingi TUKITAWALIWA na waroho wa madaraka!
 
Pesa za watanzania zinaendelea kutafunwa tu
 
MIMI KAZI YANGU NI MOJA TU - SPIKA TULIA AKSON

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Tulia Ackson Tulia Ackson amezungumza na wanaHabari kuhusu uamuzi wa kuwafukuza Bungeni Wabunge 19 wa CHADEMA Halima Mdee na wenzake. Amesema yeye anasubiri Maamuzi ya Mahakama.

View attachment 2227166
Duuuuh hii nchi haiishi vituko, kwahiyo wanahudhuria vikao vya bunge kwa tiketi ya chama gani?? Tuanzie hapo, sababu kwa kauelewa kangu kadogo nadhani Spika alitakiwa kuwasimamisha hadi swala lao liishe huko mahakamani ndio warudi. Unakuwa uhuni kuchezea kodi zetu, nani atarudisha izo fedha endapo wakishindwa iyo kesi mahakamani???
Yeye spika atatoa pesa zake mfukoni????
Hell no..!! wawekwe pembeni kwanza ili kututhibitishia hakuna mchezo wa Ku"buy time" ili uchaguzi ufike wakiwa kwenye ivyo viti isivyo halali.
Watz tumezidi ukondoo, katiba ya nchi iheshimiwe.
 
Wawekewe condition moja tu. Ikiwa watabainika kuwa walikuwa si wabunge halali basi warejeshe hela zote walizopokea kutoka siku ya mwanzo waliyoingia bungeni!
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
"Walivuliwa uanachama kwa kutii sheria ya viti maalum"??
Nafasi hizo ni za chama,jimbo lao Hawa ni chama,Chadema,Chadema haikupeleka majina,wao wamefikaje bungeni?wengine walikuwa jera walisaini karatasi wakati gani? Forgery tupu.
 
"Walivuliwa uanachama kwa kutii sheria ya viti maalum"??
Nafasi hizo ni za chama,jimbo lao Hawa ni chama,Chadema,Chadema haikupeleka majina,wao wamefikaje bungeni?wengine walikuwa jera walisaini karatasi wakati gani? Forgery tupu.

Nyie nafasi hamzitaki, acheni roho mbaya sasa mlitaka zikae wazi Tu mpaka lini?

Nafasi hamzitaki na wakina mdee mmewafukuza sasa mnalialia nn?
 
Nyie nafasi hamzitaki, acheni roho mbaya sasa mlitaka zikae wazi Tu mpaka lini?

Nafasi hamzitaki na wakina mdee mmewafukuza sasa mnalialia nn?
Upinzani wa nchi hii ni majanga matupu.

Kama hamuutambui uchaguzi basi msitambue hadi mwisho wa muhula wa uchaguzi.

Lakini sivyo, leo hawautambui uchaguzi, kesho wameutambua keshokutwa hawautambui basi ni vurugu tupu.

Upinzani lazima kuwa na msimamo mmoja tena ikibidi vyama vyote vya upinzani.

Lazima vyama vya upinzani vikutane viongee kupanga mikakati ya kurekebisha kasoro kama Tume ya Uchaguzi, Katiba nk.
Kwa pamoja wote.
Leo Chadema na ICT Wazalando wanataka Tume huru vyama vilivyobaki haviungi mkono Tume Huru wao kwa wao wanapingana. Nguvu inapungua.

Kama kususa uchaguzi basi vyama vyote visuse hasa vile vinavyotoa wabunge wengi.

Utashangaa kila Chama kwa wakati wake kinataka kukutana na Chama tawala ili waongee maswala yao binafsi na sio ya upinzani kwa ujumla wake.
Matokeo yake ndio hayo ya akina Lipumba na Mrema.
Kuanzisha migogoro, kusubiri upendeleo wa ruzuku na teuzi.

Haya mambo yalianza wakati wa NCCR-Mageuzi ya akina Mrema, Marando na Lamwai.

Na bado yanaendelea shauri ya udhaifu wa Wapinzani.

Chama kilisimama wakati ule, wakapenyezewa vimishkaki wakaanza kurushana kwenye madirisha wenyewe kwa wenyewe.

Wapinzani wamekuwa wepesi mno kurubuniwa, shauri ya kundekeza Njaa.

Hivi kweli hamjitathimini kabisa ?
Leo Chama kikubwa cha Upinzani hakina hata Ofisi ya Makao makuu ya Chama.
Leo mna Wabunge wawili wa Upinzani wa kuchaguliwa na wananchi.

Upinzani hamko serious hata kidogo mnawazia viruzuku tu.

Nchi hii CCM itatawala milele kama vyama vya upinzani vitaendelea na mwendo huu.

Waacheni akina Halima wajiwakilishe, hili limetokana na uzembe wenu na kuto jipanga kimkakati muda mrefu.
 
Leo Chedema wametangaza Baada ya nia ya kuwavua Ubunge akina Mdee sasa wanawageukia Madiwani waliochaguliwa kwa tiketi ya Chadema na wananchi ili nao wawavue Udiwani.

Pia inasemekana wana Mbunge mmoja wa kuchaguliwa na wananchi naye wanataka kumvua Ubunge pia.

Hiki ni chama cha ushindani au ni kikundi cha Siasa za Kimabavu ?

Hiki ndicho Chama kinachotushawishi tukiweke madarakani kichukue Dola.

Ni fukuza fukuza Wabunge, Madiwani na wenyeviti wa Mtaa nk.
Na ndio Chama Kikuu cha upinzani.

Leo kinakubali uchaguzi kesho kinaukanusha.

Ha...ha....ha.
Subiri kwanza Ncheke.
 
Spika anajua kuwa maamuzi yake ni ya hila wala si ya haki! Ila pia ni maamuzi hayo bila shaka si ya kwake bali ya kushnikizwa! Akumbuke tu kuwa Mungu ni Mungu wa haki!!
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani

Kiazi!!
 
Yes coz chama kilivunja sheria ya kutotiii kupeleka wabunge wa viti maalum, Kwa sababu zao binafsi

Empty skull!! Kwa hiyo unachosema ni kuwa aliyepeleka wabunge wa viti maalumu Chadema sio Chadema!! Na kwa kuwa Chadema hakupeleka, nani alipeleka. Je aliyepeleka ndiye anayepaswa kupeleke majina kwa mujibu wa sheria za nchi hii??

Vijana wa siku hizo mnakwama wapi?? Kichwa kimebaki ya kunyolea kiduku na panki tu???
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Hujielewi kabisa Bora ukae kimya tuu itakusaidia kuwaza mengine
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Hujielewi
 
Kaka wala no need ya hasira

Haya yote chanzo ni chadema wenyewe, yote mnayoongea yanaweza kuwa Sawa Ila mnasahau kuwa tuko Africa, hapa sio ulaya au marekani

Kesi itaendeshwa na wakina mdee watashinda

Mbowe angekuwa smart angewasamehe Tu nakuwambia wapige michango Yao kama zaman wachukue ruzuku zao then wajipange upya
Wakati mwingine ni bora kuficha upeo wako mdogo wa kuchanganua mambo, unabaki kujidharirisha na hujui hata unaloliongelea. Ni wajibu wa chama husika kupeleka majina ya wabunge wa viti maalum bungeni. Kinyume cha hapo hao si wabunge halali kwani hawana chama wanachokiwakilisha, si kazi ya serikali wala chama tofauti kufanya kazi hiyo kwa niaba ya chama husika
 
Back
Top Bottom