Ufupi wa akili yako ni kwamba, unafikiria leo tu! Hujui kwamba mwisho wa ubaya ni aibu! Kwamba hatimaye haki itashinda, hawa watakosa uanachama, hata wakiendelea na ubunge kwa hii miaka michache, wataishia kuwa kama Lijuhalikali!
Hujui kwamba ccm na Tulia wanaweka reference ya kutozingatia haki consistently na chadema wanaweka reference ya kupambana na ufisadi! Pia hujui kwamba chadema haitafuti kuwashinda kina Mdee Leo tu, bali kupata ushindi mkubwa Juu ya mfumo kandamizi wa ccm siyo Leo tu, Hata huko mbeleni!
Akili yako Ni fupi kwa sababu unajua sprint tu, hujui marathon! Pia kwamba chadema ilipaswa kutii wapeleke wabunge wa viti maalumu, Ni upumbavu, Lakini hatupaswi kukulaumu wewe, elimu yetu na ccm wanapaswa kubeba zigo la lawama kwa kuzalisha akili chakavu Kama hizi!