Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Dkt. Tulia: Kama wasingeenda Mahakamani ningetangaza nafasi kuwa wazi

Tunachouliza watanzania, hivi hilo Bunge lina double standards, Katika maamuzi yake?

Iweje wabunge wa CUF walipovuliwa uanachama wao, papo hapo, wakafukuzwa na ubunge wao, kwa kuwa Bunge lilieleza wazi kuwa haliwezi kuendelea na wabunge wasiotokana na chama chochote cha siasa!

Hivi inakuwaje sasa kwa Hawa wabunge wa Chadema, Spika aendelee kuwakumbatia Hadi pale mhimili wa Mahakama utapotoa hukumu??
Una uhakika si wewe tu
 
Afrika ndio maana hakuna Nabii Wala Mtume aliyepewa kitabu. Tunatumia vitabu vya manabii na wakombozi wa mataifa mengine. Mungu alijua waafrika ni wabinafsi sana na wanajali maisha yao TU.

Kama Yesu angekua na mawazo kama haya angeendelea TU kula Bata Mbinguni sio kuja kuwakomboa wanadamu .

Nchi za Wenzetu zimefukia zilipo Kwa sababu Kuna watu walisimama na kupigania Misingi IMARA na ya Haki Kwa watu wao bila kujali uhai wao au maslahi yao. Afrika tumekosa watu wa aina hiyo. Mungu anasimama na watu Jasiri na wasio na woga.

Hata akina Mdee wakishinda Bado Watakua sio wanachama wa Chadema na kule bungeni watakaa kinyume na Katiba ya nchi Iko siku nchi hii watatokea watawala wazalendo Sio genge la wapigaji na wasaka madaraka watawakamata na kuwatia ndani wahuni waliofilisi nchi hii yenye rasilimali nyingi.
Kuna kiwango Cha dhulma kikifikia Mungu anaweka mtu wa kulipa kisasa ndivyo asili ilivyo Wala Haina ubishi.
Na kama unabisha jaribu kufuatilia utaona kama Kuna sehemu akatokea mfano mtu ameshika Bunduki au panga halafu akapiga watu risasi hadharani na kuua watu wasio na hatia hovyohovyo ,ghafla watu wanabadilika na kuingiwa na ujasiri wanamkabili bila kujali kuwa watakufa au la na wanamfuata muuaji mpaka wanamkamata na Bunduki yake hata kama imeisha risasi na kupiga Kwa kiwango Cha juu sana na hata kumuua. Asili inatabia ya kulipa kisasi kwenye mambo ya dhulma. Ndio maana watanzania tunatakiwa kubadilika na kuwasomea albadiri na Dua mbaya viongozi wanaoiba Mali za umma na sio kuwaombea. Tukiwaombea Mungu anawasamehe na wanaendelea kuiba na kuona wizi ni ufahari na jwanauhalalisha na kuwa na kiburi.

Acha uongo, chama kisipopeleka wabunge kinapoteza hiyo haki. Hakuna Cha kuvunja sheria. Ndio maana serikali iliamua kuingia na kuwasupport kina Halima maana ilijua chadema haitwapeleka Bungeni.

Sasa makelele ya nn?
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
ishu sio kama chadema waligoma , ila nani aliwapeleka??nani alisaini barua zao??serikali inaenda kuwa uchi maana lzm waileze mahakama barua ilitoka wapi??
 
Tulia ukilala unasali kwa roho na kweli? Hujajifunza tu ya Job? Cheo ni dhamana na WAKATI SI MILELE!
Yuko wapi Job leo hii
Yuko wapi Sabaya
Yuko wapi Bashite....
Yako wapi mafirauni yote yaliyotamba kwa nyakati zao?
job analipwa na kulindwa mpaka kifo.
sabaya anatoka jela na mahela bado anayo.
bashite bado yuko mtaani na ana hela

endeleeni kukomaa na katiba mpya ili watu kama hawa wasiwe na bahati baada ya kumaliza dhamana zao za uongozi.
 
kuna watu hili swala linawauma kuliko hata ugumu wa maisha yao.halafu ni wanaume sasa.

hii nchi mambo mengi tu yanakwenda kihuni huni,ije kuwa wabunge wa 19 waliokuwanwa chadema!!!si tuliwaambia nyinyi hao wako kazini mkawa mnakaza mavisogo,haaya sasa si ndugai,tulia,samia au mahakama ambayo inaeleweka kwenye swala lao.

pambaneni.
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Kuna utaratibu wa kuwapata hao wabunge wa viti maalum unaofanyika katika chama husika. Je walifuata utaratibu wa chama chao kupata hizo nafasi? Mambo hayaendi kiholela kama unavyofikiri.
 
Wale wa cuf sababu za kufukuzwa kwao hazikuwa na adhari kwenye utendaji wa Bunge

Chadema iligoma kupeleka wabunge viti maalum, Jambo la viti maalum ni Jambo la kisheria

So wakina mdee walivuliwa uanachama wao Kwa kutiii sheria ya viti maalum


Hapo sasa ndio chadema watafeli hata mahakamani
Hakuna sheria Ruzuku ya UN na EU sijui hawapati mpaka ikidi ya upinzani itimie .Mama kumwita Mbowe kwa meridhiano sio mchezo na kumwomba akubali kuchukua ruzuku mikataba baba inawatoa kwenye mstari
 
Sasa nyie wenye uwezo mrefu WA akili si mnaona mlivyotupwa nje
Ufupi wa akili yako ni kwamba, unafikiria leo tu! Hujui kwamba mwisho wa ubaya ni aibu! Kwamba hatimaye haki itashinda, hawa watakosa uanachama, hata wakiendelea na ubunge kwa hii miaka michache, wataishia kuwa kama Lijuhalikali!
Hujui kwamba ccm na Tulia wanaweka reference ya kutozingatia haki consistently na chadema wanaweka reference ya kupambana na ufisadi! Pia hujui kwamba chadema haitafuti kuwashinda kina Mdee Leo tu, bali kupata ushindi mkubwa Juu ya mfumo kandamizi wa ccm siyo Leo tu, Hata huko mbeleni!
Akili yako Ni fupi kwa sababu unajua sprint tu, hujui marathon! Pia kwamba chadema ilipaswa kutii wapeleke wabunge wa viti maalumu, Ni upumbavu, Lakini hatupaswi kukulaumu wewe, elimu yetu na ccm wanapaswa kubeba zigo la lawama kwa kuzalisha akili chakavu Kama hizi!
 
Ufupi wa akili yako ni kwamba, unafikiria leo tu! Hujui kwamba mwisho wa ubaya ni aibu! Kwamba hatimaye haki itashinda, hawa watakosa uanachama, hata wakiendelea na ubunge kwa hii miaka michache, wataishia kuwa kama Lijuhalikali!
Hujui kwamba ccm na Tulia wanaweka reference ya kutozingatia haki consistently na chadema wanaweka reference ya kupambana na ufisadi! Pia hujui kwamba chadema haitafuti kuwashinda kina Mdee Leo tu, bali kupata ushindi mkubwa Juu ya mfumo kandamizi wa ccm siyo Leo tu, Hata huko mbeleni!
Akili yako Ni fupi kwa sababu unajua sprint tu, hujui marathon! Pia kwamba chadema ilipaswa kutii wapeleke wabunge wa viti maalumu, Ni upumbavu, Lakini hatupaswi kukulaumu wewe, elimu yetu na ccm wanapaswa kubeba zigo la lawama kwa kuzalisha akili chakavu Kama hizi!

Uanachama sio ishu ww, si Bora ale ubunge wake amalize akafanye mambo yake ? Kwani Jambo la kufanya ni siasa Tu?
 
Hakuna sheria Ruzuku ya UN na EU sijui hawapati mpaka ikidi ya upinzani itimie .Mama kumwita Mbowe kwa meridhiano sio mchezo na kumwomba akubali kuchukua ruzuku mikataba baba inawatoa kwenye mstari

Kamwita na lipumba nae kamwita kwasababu hiyo?
 
Sina muda wa siasa za kusujudia mtu, bali nataka siasa za haki na uwajibikaji fullstop.
Unadhalilisha nafsi yako kwa kuongea na huyo sukumagang mjinga, anayejitia moyo kupitia frustration zako Tindo! Una msimamo dhabiti lakini huna subra!
 
Uanachama sio ishu ww, si Bora ale ubunge wake amalize akafanye mambo yake ? Kwani Jambo la kufanya ni siasa Tu?
Hiyo ni sawa kulingana na ufupi wa akili yako, huwezi kuwaza nje ya box hilo!
 
Anaonewa kivipi?
Bunge linaletewa wabunge na NEC. Sio kazi ya Bunge kujua mbunge yoyote amepatikanaje
Hii ina tofauti gani na suala la vyeti vya kughushi serikalini? Serikali si ndio iliyochukua hatua baada ya kutambua kuwa imedanganywa? Kwa nini haikusema haihusiki na kuachia bodi ya mtihani ndio iwachukulie hatua wakati wakiendelea kufanya kazi? At the very least Spika alipaswa kushirikiana na Chadema kujua ukweli ili kama kuna nyaraka zilighushiwa, wahusika wachukuliwe hatua za kisheria ili wengine wasithubutu kufanya hivyo tena.

Atachukuaje hatua ya kuwanyang'anya ubunge kwa sababu Chadema wamewafukuza kwa kosa la kujipeleka bungeni bila ridhaa yao bila kutaka kujua ofisi yake iliwapokeaje? Mpira uko squarely kwa Spika na sio mtu mwingine. Spika alitakiwa achukue hatua kulinda heshima ya institution ya Bunge ambayo watu wachache wanataka kuiharibu. Suala la uhalali wa utaratibu waliofuata Chadema kuwafukuza wakina Halima kweli halimhusu. Lakini la utaratibu wa kuwapokea bungeni ni la Spika na si mwengine. Spika anapaswa kujiuzuru kama alipokea nyaraka alizojua ni za kughushi na kuzitumia kuwaapisha wakina Halima maana inaonyesha hana integrity anayopaswa kuwa nayo. TAKUKURU nao walitakiwa kujiingiza mapema kabisa.

Lakini sishangai. Boniface Jacob alinyang'anywa umeya kwa barua kutoka "Chadema" iliyomvua uanachama hata baada ya Chadema kusema kuwa haijawahi kuandika barua kama hiyo! Kulikuwa na majaribio ya kuwapa fomu wagombea kutoka "Chadema" ambao Chadema ilisema kuwa hakikuwachagua. Hili nalo ni muendelezo wa mambo kama haya. Halafu mnakazania kuwatetea watu ambao ni dhahiri hawakuingia kihalali bungeni. Kushindwa kwa Spika kuweka wazi nyaraka zilizowasilishwa kuwatambulisha kwake ni ushahidi tosha.

Amandla...

Nguruvi3 JokaKuu
 
Bunge linaletewa wabunge na NEC. Sio kazi ya Bunge kujua mbunge yoyote amepatikanaje
Not true. Kazi kubwa ya Spika ni kuhakikisha kuwa wabunge ambao wako ndani ya Bunge ni legitimate. Kazi yake ni kulinda integrity ya Mhimili huu kwa wivu mkubwa. Kama kuna tuhumq kuwa kuna mbunge ameingia humo kwa njia ambayo si halali ni wajibu wake kutafuta ukweli wa tuhuma hizo ili kama ikithibitika kuwa tuhuma hizo ni kweli, amchukulie hatua huyo criminal na kama si kweli amchukulie hatua aliyetaka kuchafua taswira ya Bunge ambalo tunaliita Tukufu.

NEC inapeleka orodha ya majina ya watu waliopendekezwa na vyama vyao kuwa wabunge wa viti maalum pamoja na ushahidi kuwa kweli hivyo vyama viliwapendekeza. Sasa kama hizi nyaraka ziliwasilishwa kwa Spika na sasa kuna tuhuma kuwa zilighushiwa kwa nini Spika hataki kui task NEC ithibitishe uhalisia wa tuhuma hizo? Kukaa kwake kimya ndio kunatufanya wengine kuwa alikuwa complicit in the whole charade. Na ndio maana kuna uwezekano kuwa hamna cha barua wala nini kutoka NEC ikimtaarifu Spika kuhusu uamuzi wa Chadema. Spika kwa ukimya wake ndio anazidi kuchafua sura ya Bunge. Utamlaumuje Chadema kwenye hili?

Amandla...

Nguruvi3 JokaKuu
 
Hivi Paskali, utasemaje kuwa Spika hawajibiki kujua uhalali wa mbunge ambae Chama chake kinasema kuwa hakijawahi kumpendekeza?
Hivi mtu akiuuzia gari, akakupa makaratasi yote yanayohitajika kuwa alilinunua kutoka kwa fulani lakini akatokeza mtu akasema kuwa hilo gari ni lake lakini hajawahi kumuuzia aliyekuuzia. Utasema kamuulize aliyeniuzia na utakataa kumuonyesha makaratasi ambayo yule tapeli alikupa? Mbaya zaidi, utakataa kabisa kuwasiliana na yule tapeli kujua ukweli huku ukisisitiza kuwa gari ni lako? Tutaachaje kuamini kuwa ulikuwa ni mchongo kati yako na yule tapeli ili mumdhulumu jamaa gari lake?

Amandla...
Pascal Mayalla Nguruvi3 JokaKuu
 
Hivi Paskali, utasemaje kuwa Spika hawajibiki kujua uhalali wa mbunge ambae Chama chake kinasema kuwa hakijawahi kumpendekeza?
Hivi mtu akiuuzia gari, akakupa makaratasi yote yanayohitajika kuwa alilinunua kutoka kwa fulani lakini akatokeza mtu akasema kuwa hilo gari ni lake lakini hajawahi kumuuzia aliyekuuzia. Utasema kamuulize aliyeniuzia na utakataa kumuonyesha makaratasi ambayo yule tapeli alikupa? Mbaya zaidi, utakataa kabisa kuwasiliana na yule tapeli kujua ukweli huku ukisisitiza kuwa gari ni lako? Tutaachaje kuamini kuwa ulikuwa ni mchongo kati yako na yule tapeli ili mumdhulumu jamaa gari lake?

Amandla...
Pascal Mayalla Nguruvi3 JokaKuu

Hivi vitu unavyompa Paskali vyote ni vyenye ncha kali, usidhani hajui ukweli huu unaompa, ila nongwa yake dhidi ya CDM haibebi huu ukweli wako.
 
Hivi kuna Binadamu anayeweza kukataa kupewa Ubunge ale maisha kwa miaka mitano ?
Yuko wapi Nasari ?
Wilbord Slaa ?
Kafulila ?
Hadi marehemu Maalim Seif ilikuwa kila akishindwa uchaguzi anaingia na kukubali uteuzi za CCM.

Nani aliwahi kupewa cheo na CCM akagoma ?

Akina mdee walikosa kazi za kueleweka baada ya kuanguka Ubunge.
Wanateuliwa na Ndugai mnataka wagome mnataka wakale wapi, mgechukua majukumu ya kuhudumia familia zao.

Siasa za Tanzania ni za kutafuta chakula tu. Wala hakuna upinzani wa kikweli kweli.
La Upinzani ungekuwa kwakweli CCM ingusha ondoka madalakani siku nyingi sana.

Wako wapi akina Marando, Lamwai, Mbatia, Lyatonga nk. Wazee wa Mageuzi ?
Wote wanasubiri teuzi toka CCM.

Waacheni akina Halima Mdee wale chakula.
Muda wa teuzi ukiisha watarudi Chadema.

Ndivyo Siasa zetu zinavyo enda.
 
Unadhalilisha nafsi yako kwa kuongea na huyo sukumagang mjinga, anayejitia moyo kupitia frustration zako Tindo! Una msimamo dhabiti lakini huna subra!

Mkuu nashukuru kwa kunifunga speed govenor naheshimu hisia zako, lakini hata ningefanya subira kama unavyoshauri, bado siwezi kubadilisha nilichosema.
 
Hivi kuna Binadamu anayeweza kukataa kupewa Ubunge ale maisha kwa miaka mitano ?
Yuko wapi Nasari ?
Wilbord Slaa ?
Kafulila ?
Hadi marehemu Maalim Seif ilikuwa kila akishindwa uchaguzi anaingia na kukubali uteuzi za CCM.

Nani aliwahi kupewa cheo na CCM akagoma ?

Akina mdee walikosa kazi za kueleweka baada ya kuanguka Ubunge.
Wanateuliwa na Ndugai mnataka wagome mnataka wakale wapi, mgechukua majukumu ya kuhudumia familia zao.

Siasa za Tanzania ni za kutafuta chakula tu. Wala hakuna upinzani wa kikweli kweli.
La Upinzani ungekuwa kwakweli CCM ingusha ondoka madalakani siku nyingi sana.

Wako wapi akina Marando, Lamwai, Mbatia, Lyatonga nk. Wazee wa Mageuzi ?
Wote wanasubiri teuzi toka CCM.

Waacheni akina Halima Mdee wale chakula.
Muda wa teuzi ukiisha watarudi Chadema.

Ndivyo Siasa zetu zinavyo enda.

Uko sahihi, kama unafanya siasa za tumbo ungeenda ccm kabisa, maana huko tumbo ndio mbele. Ww inaonekana ni mzee ndio maana huamini katika mabadiliko, hivyo haya yanayoendelea kwako unaona ni sawa na hutaki yabadilike maana umefikia mwisho kutaka mabadiliko kutokana na umri.
 
Back
Top Bottom