Dkt. Tulia: Nyanda za Juu tumechoka kuwa washangiliaji na sisi tunataka treni ya umeme kama 'Wenzetu'

Hilo linaelezeka.
Mtu mwenye mikono ya damu ni wa kuogopa.
 
Na sisi wa huku Mafia tunataka kuwa kama Dubai bana!
 
Uzuri hakuchaguliwa na wanambeya hata aongee ujinga hamna shida
 
Katiba yetu ni mbovu sana.

Ndiyo inayompa mamlaka na nguvu kubwa rais wetu ya kuamua na kufanya jambo lolote lile kwa kadri apendavyo na aonavyo inafaa.

Itoshe tu kusema katiba yetu ni mbovu na inapaswa wanasiasa wapenda nchi wapiganie katiba mpya mpaka kieleweke.
 
Kwahiyo katiba mpya ndio suluhisho?

Pale Kenya haijawasaidia chochote wako kwenye BBI mahakamani!
 
Kwahiyo katiba mpya ndio suluhisho?

Pale Kenya haijawasaidia chochote wako kwenye BBI mahakamani!
Katiba mpya sio tu ni suluhisho bali ni zaidi ya suluhisho.

Uwepo wa katiba mbovu inayompa mtu mmoja mamlaka makubwa ya kuamua kila kitu inaweza kupelekea hata wengine kushindwa kutimiza baadhi ya vipengele vya katiba wanavyotakiwa kutimiza.

Mfano,mwendazake amekaliliwa akiwaambia wakurugenzi ole zao wawatangaze wapinzani ushindi hali ya kuwa yeye ndiye anayewateua na kuwalipa mishahara.

Unafikiri kwa mazingira hayo mkurungenzi atakuwa na uthubutu wa takwa la kikatiba la kumtangaza mshindi wa uchaguzi wakati kashapigwa biti?

Tuachane na hii katiba ya mtu mmoja kuwa mungu.

Trump alitaka kuleta ujinga wake US kutokana na katiba bora ya US kila mmoja anajua alichokipata.
 
Kwa kweli tumepata uhuru sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…