masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hilo linaelezeka.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ila niseme tu, Mheshimiwa Magufuli (r.i.p) nahisi alikuwa na kitu flani spesho sana....kama huku kwetu tungesema alimeza nyongo ya simba ambayo hufanya mtu aogopwe kupita kiasi. aisee aliogopwa yule mheshimiwa bwana tuache utani; hakuna hata aliyejaribu kufanya fyoko zaidi ya kushangilia tu kwa kila alilofanya au kusema!
kama si hivyo na kuogopwa kule kulisababishwa tu na uraisi wake, basi niseme uraisi tanzania una nguvu ya ajabu sana nae alijua vema kuzitumia nguvu hizo!!
Na sisi wa huku Mafia tunataka kuwa kama Dubai bana!
Mbunge wa Mbeya Mjini Dr. Tulia amemtaka Waziri wa Ujenzi kuangalia namna ya kuiwezesha TAZARA kuwa na treni ya umeme.
Dr. Tulia amesema Tanzania ni moja na Wananchi wa pande zote wanahitaji maendeleo hivyo Kanda ya Nyanda za Juu Jusini wamechoka kuwa washangiliaji.
Kadhalika Dr Tulia amelalamikia Jiji la Mbeya kutopewa hadhi na Huduma stahiki kama ilivyo katika majiji mengine na badala yake Mbeya imekuwa kama Halmashauri.
Tulia amesema miundombinu ya Mbeya ni mibovu sana na miaka yote wamekuwa wakipewa bajeti ndogo isiyokidhi chochote.
Dr. Tulia alikuwa akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ujenzi.
Source: Bungeni
Mbunge wenu nani?Na sisi wa huku Mafia tunataka kuwa kama Dubai bana!
Mbeya kuna shida ya maji wapi mkuu?Subiri, na Pemba watataka train ya umeme. Mbeya mtuletee maji.
Mjinga we!Uzuri hakuchaguliwa na wanambeya hata aongee ujinga hamna shida
Tukuyu mabonde,tunachota ya visimani mabomba hayatoi maji.!Mbeya kuna shida ya maji wapi mkuu?
Katiba yetu ni mbovu sana.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ila niseme tu, Mheshimiwa Magufuli (r.i.p) nahisi alikuwa na kitu flani spesho sana....kama huku kwetu tungesema alimeza nyongo ya simba ambayo hufanya mtu aogopwe kupita kiasi. aisee aliogopwa yule mheshimiwa bwana tuache utani; hakuna hata aliyejaribu kufanya fyoko zaidi ya kushangilia tu kwa kila alilofanya au kusema!
kama si hivyo na kuogopwa kule kulisababishwa tu na uraisi wake, basi niseme uraisi tanzania una nguvu ya ajabu sana nae alijua vema kuzitumia nguvu hizo!!
Kwahiyo katiba mpya ndio suluhisho?Katiba yetu ni mbovu sana.
Ndiyo inayompa mamlaka na nguvu kubwa rais wetu ya kuamua na kufanya jambo lolote lile kwa kadri apendavyo na aonavyo inafaa.
Itoshe tu kusema katiba yetu ni mbovu na inapaswa wanasiasa wapenda nchi wapiganie katiba mpya mpaka kieleweke.
Katiba mpya sio tu ni suluhisho bali ni zaidi ya suluhisho.Kwahiyo katiba mpya ndio suluhisho?
Pale Kenya haijawasaidia chochote wako kwenye BBI mahakamani!
Angesema!Angekuwa hai angeyasema haya?
Mbona hakusema?Angesema!
… na jinsia 😁Huyo na Nduguyai ni walewale tofauti ni kimo na wembamba.
Ndio amesema sasa.Mbona hakusema?
Bawacha?Kwa kweli tumepata uhuru sasa!
Acha kabisa. Huyo “mrembo” alikuwa jeuri sana enzi za jiwe. Sasa ajiandae tu jinsi ya kuongea na wana Mbeya ana kwa ana bila nyenzo.Kila zama na kitabu chake!
UWT, kina Tulia,"enzi" zile hangethubutu kusema hayo ya reli...offcourse Bawacha pia wapo huru na kwa kweli taifa zima!Bawacha?