masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Hilo linaelezeka.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ila niseme tu, Mheshimiwa Magufuli (r.i.p) nahisi alikuwa na kitu flani spesho sana....kama huku kwetu tungesema alimeza nyongo ya simba ambayo hufanya mtu aogopwe kupita kiasi. aisee aliogopwa yule mheshimiwa bwana tuache utani; hakuna hata aliyejaribu kufanya fyoko zaidi ya kushangilia tu kwa kila alilofanya au kusema!
kama si hivyo na kuogopwa kule kulisababishwa tu na uraisi wake, basi niseme uraisi tanzania una nguvu ya ajabu sana nae alijua vema kuzitumia nguvu hizo!!
Mtu mwenye mikono ya damu ni wa kuogopa.