Dkt. Tulia suala la bandari hata wazee huzeeka na upumbavu wao

[emoji7][emoji7][emoji7][emoji2956][emoji123]
 
Ni sawa tu, hata wapumbavu huzeeka na ujuha wao, ajibu Hoja,huo usalama anaousema upo wapi ndani ya mkataba, sio kuleta mbambamba.
Upo....

DP WORLD hawatojihusisha na mafuta....

DP WORLD hawatojihusisha na USALAMA babdarini....

DP WORLD hawatafukuza wafanyakazi waliowakuta na hawatoajiri wageni.....
 
Haya sasa, hata saa mbovu wakati mwingine inasema ukweli, so jibu hoja za hao wapumbavu ambayo wewe umewarefer kama wapumbavu
Hana JIBU jibu lake ndio hilo kuwaona km wapumbavu tu in short amewadharau
 
Kiburi cha madaraka tena ya kupewa.
Aibu sana huyu.

Nchi ni ya waTz wote. Waachwe wenye hofu wahoji . Tatizo ni nini
Ni kweli...

Tatizo ni hoja za kipumbavu kutoka kwa wazee tunaowajua na kuwaheshimu kwa werevu wao......[emoji1787]
 
Upo....

DP WORLD hawatojihusisha na mafuta....

DP WORLD hawatojihusisha na USALAMA babdarini....

DP WORLD hawatafukuza wafanyakazi waliowakuta na hawatoajiri wageni.....
Kwa muda gani hawatojihusisha ?
 
Ni kweli...

Tatizo ni hoja za kipumbavu kutoka kwa wazee tunaowajua na kuwaheshimu kwa werevu wao......[emoji1787]
JIBU hoja zao kwanza sasa upumbavu itajulikana baadae wewe na yeye nani Mpumbavu
 
Imegawiwa bure ndo sentence sahihi
 
Nadhani kuna shida hakuna mtu.anapinga Dp World. kuwekeza .Kinachopingwa ni vipengele vibovu vilivyoko kwenye mkataba

Watu waache kuongea sababu wazeeeka? Kwani wazee hawana haki ya kuongea kuwa mtu akizeeka afunge mdomo?
Hakusema kila mzee asihoji....

Hakumaanisha kila mzee ni MPUMBAVU...

Mkataba na DP WORLD unakwenda kuliinua taifa kiuchumi[emoji120]
 
Wananchi ndio tunajua wapi ni wapumbavu na wepi ni machawa.
Mwananchi mmoja ni mimi....nimefahamu kuwa mh.Dr Tulia ni mwerevu sana ambaye anafahamu kuwa kuna baadhi ya wazee ni WAPUMBAVU[emoji120]
 
Kitu ninachoendelea kujifunza hapa nchini ni kuwa, ukipata nafasi yoyote ndani ya serikali ya CCM basi hakikisha akili yako kama hii tunayotumia kuhoji na kuuliza humu, kila siku ukiwa unatoka ndani ya nyumba yako unaiacha mlangoni.

Unaporudi unaichukua na kuingia nayo ndani, vinginevyo ni hatari sana, katiba haina maana kwetu.
 
Sasa hapo wewe SI ndiyo umeonekana kituko kabisa kuliko hao wazee?wazee wanamaswali Yao,toa majibu acha kushambulia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…