Dkt. Tulia suala la bandari hata wazee huzeeka na upumbavu wao

Dkt. Tulia suala la bandari hata wazee huzeeka na upumbavu wao

Kiafya inakuwaje mtu aliyekauka kama chuma cha reli?
 
Kabisa,tuliwaita Kula Lala Faulu.



Nimeipenda hii [emoji3][emoji28]

Kula Lala Faulu (KLF) [emoji1787]

Kumbe uchambuzi wa kimahesabu hawezi kujua,

Project Plan ana analysis hawezi kujua,

Alipaswa aunde Kamati ya wataalam walobobea kwenye Projects Plan and analysis and related waupitie na kumshauri inadvance.
 
Nimeipenda hii [emoji3][emoji28]

Kula Lala Faulu (KLF) [emoji1787]

Kumbe uchambuzi wa kimahesabu hawezi kujua,

Project Plan ana analysis hawezi kujua,

Alipaswa aunde Kamati ya wataalam walobobea kwenye Projects Plan and analysis and related waupitie na kumshauri inadvance.
Atajua wapi,kazoea kukariri vifungu vya sheria.
 
"Kama nchi imeuzwa wewe umeuzwa shilingi ngapi? kabla ya bei yangu mimi maana mimi jamani wana mbeya wananithamini sana kwa hiyo mimi ni mtu wa thamani kwa hiyo bei yangu itqkuwa juu kidogo si ndiyo jamani sasa wewe wa kawaida bei yako shingili ngapi jibu huna?"

Source: Haroub TV.
Kuna hoja yoyote ya Nshala, Lissu, Mwabukusi et al iliyojibiwa?
 
Ni sawa tu, hata wapumbavu huzeeka na ujuha wao, ajibu Hoja,huo usalama anaousema upo wapi ndani ya mkataba, sio kuleta mbambamba.
Sawa. Mheshimiwa Spika, alisomea sheria na akafundisha sheria chuo kikuu. Lakini kuna watu kama Prof. Shivji waliomfundisha hiyo sheria. (Hata kama Spika hakukaa kwenye darasa la Shivji, lakini Shivji alikuwa akifundisha hapo chuoni wakati Spika anasoma). Jee, hao walikuwa wapumbavu tu wanaozeeka na upumbavu wao kama anavyodai Mheshimiwa? Na hao wanasheria wengine kama Mwambukusi na Nshala waliosoma sheria kama yeye, Mheshimiwa, wote hao ni 'wapumbavu' tu wasiojua walisemalo?
Nilimsikia pia Mbunge Slaa akisema hayo 'makubaliano' hayana tobo hata moja. Sasa, hata kule Rais Samia kumteua Waziri Mbarawa atie sahihi kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na ya Dubai, nako ni sawa kwa sheria walizosomea? Kutotaja katika 'makubaliano' muda wa kudumu kwa hayo 'makubaliano' nako ni sahihi kwa sheria walizosomea? Kuitaka Serikali ya Tanzania iwajulishe kwanza Dubai maendelezo yo yote inayotaka kufanya hapa nchini, nako ni sawa tu kwa sheria mlizosomea?
Kauli ya kuuzwa kwa bandari imekuwa ikichukuliwa kama ndiyo hoja kubwa ya kuwasema wanaopinga mkataba. Kuuzwa ni msemo tu unaotumika kumaanisha tunaibiwa. Ni sawa na misemo kama 'kuachwa kwenye mataa', 'kuingizwa choo cha kike', n.k. Hakumaanishi hayo maneno menyewe. Ni sawa na wao wanaposema 'Mama anaupiga mwingi'. Sasa tuanze kupoteza muda kuuliza ni unini huo anaoupiga? Nashangaa mtu anayejisifu kusomea sheria anachukulia 'literally' neno hilo 'kuuzwa' na kujikita hapo kama ndiyo hoja yake kubwa. Kama mwanasheria huyo angeitoa hoja hiyo dhaifu mahakamani, sidhani kama angeshinda kesi.
Nikiri waziwazi kwamba kisiasa, mimi ni mwana-CCM. Natofautiana kwa mengi na CHADEMA. Wengi wa waliokosoa mkataba huu, akiwemo Mbowe na Lissu, ni wana-CHADEMA. Lakini, suala la bandari ni la nchi. Inatubidi sote tuungane kufanya lililo jema. Tusizingatie siasa na kuacha uhuru wetu kuingiliwa. Tukumbuke wosia wa Mwalimu "Tujisahihishe". Kwa binadamu kukosea hakumaanishi ndiyo basi kwa mkosaji. Kung'ang'ania hilo kosa, hata baada ya kueleweshwa, ndiyo kubaya. Aidha, Rais kusema nimefumba masikio, sitaki kusikia lo lote, ni dharau kwa wananchi kiasi cha kumfanya ang'atuke. Rais wa nchi yuko hapo kuwatumikia wananchi. Sasa kama amefikia kiasi cha kusema analosema yeye ndiyo mwisho, anatukosea haki na anastahili kuachia ngazi.
Nawasilisha.
 
SPIKA wa Bunge, Tulia Akson amewajia juu watanzania waosema bandari imeuzwa na kubainisha kuwa Mtu mpumbavu anazeeka na upumbavu wake.

"Wako baba zangu, wako mama zangu, jambo la uhakika kama ambavyo vijana wenye busara wanazeeka wakiwa na busara, kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao"

"Kama nchi imeuzwa wewe umeuzwa shilingi ngapi? kabla ya bei yangu mimi maana mimi jamani wana mbeya wananithamini sana kwa hiyo mimi ni mtu wa thamani kwa hiyo bei yangu itqkuwa juu kidogo si ndiyo jamani sasa wewe wa kawaida bei yako shingili ngapi jibu huna?

unasema bandari imeuzwa haya sawa nimekubali swali shilingi ngapi ili nijue Mbeya mjini mgao utakuwa kiasi gani si wewe unaijua bei sasa kama bei hujui wewe sio sehemu ya sheria mimi nimesoma kama kuna vibao vinasema elimu mwisho hapa mimi sikuishia hapo nilieda mbali zaidi mimi sio tu mwanasheria msomi ahh, mimi ni mtafiti nilikuwa nafundisha sheria chuo kikuu cha Dar es Salaam, ule mkataba msiwe na wasiwasi mimi mbunge wenu kama mwakilishi wenu nasema hivi tuko salama, Mbeya mjini tuko salama, tanzania tuko salama, na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan yeye yuko salama usimsikilize mtu.

Mtu mpumbavu wako baba zangu, wako mama zangu, jambo la uhakika kama ambavyo vijana wenye busara wanazeeka wakiwa na busara, kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao.

Source: Haroub TV.
Safi kabisa!!!
 
Namuunga mkono mh.Spika Dr.Tulia[emoji120]

Hakika ameongea yenye mantiki haswa[emoji120]

Msomi haswaaa[emoji120]

Kweli wako WANAOZEEKA NA UPUMBAVU WAO [emoji1787]
Ungekuwa na akili tungekuelewa lazima siku zote nawe nu mtupu kichwa kama unaemteta. Kusoma sio kuelemika!
 
Halafu hawa watu ni wajinga Sana kila anaekuja na hoja ana attack uzee. Uzee hauondoi haki ya mtu kutoa maoni .ni kutoelimika Ku attack mtu kwa kutumia kigezo cha uzee .hii ni some sort of discrimination
 
SPIKA wa Bunge, Tulia Akson amewajia juu watanzania waosema bandari imeuzwa na kubainisha kuwa Mtu mpumbavu anazeeka na upumbavu wake.

"Wako baba zangu, wako mama zangu, jambo la uhakika kama ambavyo vijana wenye busara wanazeeka wakiwa na busara, kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao"

"Kama nchi imeuzwa wewe umeuzwa shilingi ngapi? kabla ya bei yangu mimi maana mimi jamani wana mbeya wananithamini sana kwa hiyo mimi ni mtu wa thamani kwa hiyo bei yangu itqkuwa juu kidogo si ndiyo jamani sasa wewe wa kawaida bei yako shingili ngapi jibu huna?

unasema bandari imeuzwa haya sawa nimekubali swali shilingi ngapi ili nijue Mbeya mjini mgao utakuwa kiasi gani si wewe unaijua bei sasa kama bei hujui wewe sio sehemu ya sheria mimi nimesoma kama kuna vibao vinasema elimu mwisho hapa mimi sikuishia hapo nilieda mbali zaidi mimi sio tu mwanasheria msomi ahh, mimi ni mtafiti nilikuwa nafundisha sheria chuo kikuu cha Dar es Salaam, ule mkataba msiwe na wasiwasi mimi mbunge wenu kama mwakilishi wenu nasema hivi tuko salama, Mbeya mjini tuko salama, tanzania tuko salama, na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan yeye yuko salama usimsikilize mtu.

Mtu mpumbavu wako baba zangu, wako mama zangu, jambo la uhakika kama ambavyo vijana wenye busara wanazeeka wakiwa na busara, kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao.

Source: Haroub TV.
Tulia, tulia!! Inaelekea Tulia ameshindwa ku-tulia!! Ameamua kurusha matusi na kuwaambia wazee wanaopinga mkataba wa bandari ni wapumbavu maana wamezeeka na upumbavu wao!! Tulia asitutishe na PhD yake!! Kwa Tanzania PhD hazina heshima maana wenye nazo wanafanya mambo ya hovyo kuliko wasiokuwa nazo!! Tulia ajibu kifungu kwa kifungu vifungu vile vinavyolalamikiwa!!
 
Yeye ameanza kuzeeka na upuuzi mapema kabisa!
Kwanza hakana adabu!
Hakana hekima!
hakana mvuto wa kuongea!
Kamejaa dharau!
Kwa ufupi elimu yake haina faida kwa Taifa hata kwake binafsi!
 
Ina maana huyu Dada anajiona ana akili sana kuliko Mama Anna Makinda?
 
Back
Top Bottom