Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Tanzania tunaongozwa na wajinga, tusikubali ili kutokea Tena 2025
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo unayemuita ajuza ni daktari wa sheria aliyekuwa mwanasheria mkuu msaidizi wa JMT. Sio saizi yangu na yako.Huyu ajuza anasoma saa ngapi? yeye mwenyewe hajui kapitisha nini mara mkataba mara azimio mara mkataba ulishasainiwa, hakuna Spika hapo ni takataka tupu
Mimi nimesoma Rungwe Alliance Secondary School mwaka 1965-1968. Ni mzee ambaye bila shaka Tulia ataniita "mpumbavu". Nina marafiki wengi sana wa Mkoa wa Mbeya wa zamani. Mimi sitoki mkoa huo. Nilikutana Kisungu, Mwakaleli,Kambasegela na wazee ambao hawana PHD lakini wakizungumza walikuwa na hekima kuliko Tulia. PHD ni njia moja tu ya kuelimika kama hukuwa kasuku au bado hujasahau ulichosoma. Kuna njia nyingi nyingine za mtu kuelimika. Alama ya PHD haikupi elimu, ni cheti cha ufaulu tu wa jambo moja finyu sana. Kwa kifupi kabisa Waingereza huita ugonjwa wa Tulia wa kutotofautisha kiwango cha ufaulu kwenye cheti cha shahada na kiwango cha kuelimika, "the case of a person's schooling interfering with his/her education". Poleni.SPIKA wa Bunge, Tulia Akson amewajia juu watanzania waosema bandari imeuzwa na kubainisha kuwa Mtu mpumbavu anazeeka na upumbavu wake.
"Wako baba zangu, wako mama zangu, jambo la uhakika kama ambavyo vijana wenye busara wanazeeka wakiwa na busara, kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao"
"Kama nchi imeuzwa wewe umeuzwa shilingi ngapi? kabla ya bei yangu mimi maana mimi jamani wana mbeya wananithamini sana kwa hiyo mimi ni mtu wa thamani kwa hiyo bei yangu itqkuwa juu kidogo si ndiyo jamani sasa wewe wa kawaida bei yako shingili ngapi jibu huna?
unasema bandari imeuzwa haya sawa nimekubali swali shilingi ngapi ili nijue Mbeya mjini mgao utakuwa kiasi gani si wewe unaijua bei sasa kama bei hujui wewe sio sehemu ya sheria mimi nimesoma kama kuna vibao vinasema elimu mwisho hapa mimi sikuishia hapo nilieda mbali zaidi mimi sio tu mwanasheria msomi ahh, mimi ni mtafiti nilikuwa nafundisha sheria chuo kikuu cha Dar es Salaam, ule mkataba msiwe na wasiwasi mimi mbunge wenu kama mwakilishi wenu nasema hivi tuko salama, Mbeya mjini tuko salama, tanzania tuko salama, na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan yeye yuko salama usimsikilize mtu.
Mtu mpumbavu wako baba zangu, wako mama zangu, jambo la uhakika kama ambavyo vijana wenye busara wanazeeka wakiwa na busara, kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao.
Source: Haroub TV.
Vidada vilivyosoma KLF bwana.Taabu tu.
Hapo sasa[emoji17]Wananchi hawataweza kwani yeye Tulia Ackson kurudi bungeni hategemei kura za wananchi wapigakura wa Mbeya.
Bandari za Zanzibar hazimo kwa sababu tayari wamepewa makaburu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shule huondoa ujinga kwa walidhamiria tu na si vonginevyo! Unaweza enda shule ukaonekana ni shujaa wa manamba, kumbe ni nguvu ya fedha na rushwa ya ngono n.k, hapa sjasema ni nani aliganya hivyo, ila mambo haya yapo mavyuoni, ma lectures wanajipigia papuchi ili tu kuwapa credit wajinga kichwani
Hapo Dr. Alikuwa akijibu hoja ipi sasa kuhusu bandari na mjadala wake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu tulia ajikabidhi kwa Samia aliposema bunge litafuata ushauri wa serikali, badala ya serikali kufuata maagizo ya bunge, hapo ndipo nikajua bunge linaongozwa na kikaragosi.
Huyo unayemuita ajuza ni daktari wa sheria aliyekuwa mwanasheria mkuu msaidizi wa JMT. Sio saizi yangu na yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Shule huondoa ujinga kwa walidhamiria tu na si vonginevyo! Unaweza enda shule ukaonekana ni shujaa wa manamba, kumbe ni nguvu ya fedha na rushwa ya ngono n.k, hapa sjasema ni nani aliganya hivyo, ila mambo haya yapo mavyuoni, ma lectures wanajipigia papuchi ili tu kuwapa credit wajinga kichwani
Hapo Dr. Alikuwa akijibu hoja ipi sasa kuhusu bandari na mjadala wake?
Yaani Tulia ameamua kutukana wazee wote wale, da, kweli tutawajua tabia za viongozi wetu. Overall, amekosea kuongea sentensi kama hizo
Madaraka yanalevya...Tulia anmtukana Mzee Butiku mchana kweupe.
Anaowaongoza wanamuelewa na kukubali namna anavyotumia nguvu ya hoja kwenye kila utatuzi wa masuala ya kikazi.Ajuza sio tusi.
Halafu Kwani kufikia vyeo hivyo Ndiyo nini? Si inategemea na kujulikana au kuwa na connection kwa mteuzi?
Maana nafasi hazitangazwi.
Halafu historia ni irrelevant,
Mtu atakuhumiwa kwa maamuzi anayofanya sasa na sio hizo hadithi zako za sijui aliwahi kuwa nani na nani !
It has nothing to do with current situation.
Aamue fairly and correctly Kwa niaba ya wananchi na kwa manufaa ya Umma.
Bunge ni chombo cha uwakilishi wa wananchi .
Tutanatajia wawe wanafanya maamuzi kana kwamba ingeamuliwa na wananchi wengi.
We chizi nini? akiwa mwanasheria hawezi kuzeeka? siyo size yako wewe na familia akoHuyo unayemuita ajuza ni daktari wa sheria aliyekuwa mwanasheria mkuu msaidizi wa JMT. Sio saizi yangu na yako.
Kabisa,tuliwaita Kula Lala Faulu.Kumbe amesoma combination hiyo ya lugha duuh [emoji3][emoji28]
Kumbe she is just a linguistic tu?!
Halafu KLF wengi huishia Ualimu na sheria kidogo.
Kipindi anasoma Loleza KLF alikuwa mdada .Mdada yupo wapi hapo?! Bibi huyo lakini mpumbavu
Ndiyo ,Loleza.Amesoma KLF huyu?