king's lawyer
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 408
- 358
Mwanzo wa mkataba ni lini,mwisho ni lini,maslahi ya Taifa ni yapi,ya mwekezaji ni yapi?lini tutafanya mapitio kuona hali ya wakati huo kama tunahitaji kubadili baadhi ya mambo?
Wewe na Prof. Shivji, Jaji Warioba nani anafahamu sheria kuliko mwingine na kuwa na uzoefu wa kuzitumia unaompa muda mrefu wa kutafsiri?
Kwanini bandari za Zanzibar hazipo ndani ya huo mkataba wakati bandari ni suala la Muungano?
Wewe na Prof. Shivji, Jaji Warioba nani anafahamu sheria kuliko mwingine na kuwa na uzoefu wa kuzitumia unaompa muda mrefu wa kutafsiri?
Kwanini bandari za Zanzibar hazipo ndani ya huo mkataba wakati bandari ni suala la Muungano?