Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake

Dkt. Wilbert Kleruu - Utata wa kifo chake, historia na maisha yake

Siasa ya Kijamaa ya Mwalimu Nyerere ilichukia sana Matajiri bila ya kujali Kama chanzo cha Utajiri cha Mtu husika ni halali au Laa!

Watu waliamini Umaskini ndio Alama ya Uadilifu na Viongozi wakaanza kujifaharisha kwa Umaskini!

Utawala wa Awamu ya Tano kwny kipengele hicho unafanana na utawala wa awamu ya kwanza!

Mwamwindi alikuwa ni Mfanyabiashara Mkubwa sana Tangu Miaka ya 50 Familia Yao iliwekeza sana kwny Kilimo kiasi cha kuweza kuwa na Tractors, Planters na zana zingine katika Miaka ya 1950 lakin baada tu ya uhuru Serikal Mpya ikaanza kuhujumu na kusumbua sana Watu wa aina hii Mara Wakabidhi Mashamba yao yawe ya Kijiji Mara sijui wakalime kwny Mashamba ya kijiji Mara wahame wakaishi kwny Vijijini vya Ujamaa na upuuzi Mwingine wa aina hiyo!
 
Hiyo ni mwanae mkulima mwamwindi anaitwa "Aman Mwamwindi" alikuwa meya ya manispaa ya Iringa na mwenyekiti Wa bodi ya shule maarifu pale Iringa inaitwa Lugalo secondary school.
Nyumbani kwake ni mlandege /kwa kilosa. Ni.Mzee mmoja mpole sana na ana hekima sana. Kwa ufupi ni hivyo.

Huyu ndiye Kijana wa marehemu Mwamwindi, anaitwa Amani Mwamwindi (Hilo jina lake la Amani lina maana kubwa sana katika maisha yake).
IMG_9407.JPG
DSC_0635.JPG
mad2.jpg

 
Utata: Kuna Mzee Wa Iringa Nilikuwa Nafanyanae Kazi Alinisimulia Kuwa Mzee Mwamwindi Alimkuta Rc Kleruu Nyumbani Kwa Mke Wake (ALIMFUMANIA) Kwa Hasira Kali Akamtwanga Risasi Kisha Akaupeleka Mwili Wa Rc Kleruu Polisi
 
Hiyo ni mwanae mkulima mwamwindi anaitwa "Aman Mwamwindi" alikuwa meya ya manispaa ya Iringa na mwenyekiti Wa bodi ya shule maarifu pale Iringa inaitwa Lugalo secondary school.
Nyumbani kwake ni mlandege /kwa kilosa. Ni.Mzee mmoja mpole sana na ana hekima sana. Kwa ufupi ni hivyo.
swadakta
 
kuna ule mnara flan hivi njia ya kwenda dom ndio naambiwaga Dr Rc Aliuwawa hapo.

itabidi utupe stori asee, halaf pia kuna Meya flan pale Iringa alikuwa anaitwa mwamwindi hvo hivo naye tuunganishie dots kama ndio wajukuu wa muuwaji
Yulee n mtt wake kabsa had sku ananyongwa alikwenda kumuaga dom kisanga
 
Utata: Kuna Mzee Wa Iringa Nilikuwa Nafanyanae Kazi Alinisimulia Kuwa Mzee Mwamwindi Alimkuta Rc Kleruu Nyumbani Kwa Mke Wake (ALIMFUMANIA) Kwa Hasira Kali Akamtwanga Risasi Kisha Akaupeleka Mwili Wa Rc Kleruu Polisi

Zile zilikuwa Propaganda za Serikali kuficha Ukweli wa Watu kukataa Sera za Nyerere za Ujamaa!

RTD ilikuwa ikimwita Mpinga Maendeleo, Mara Kibaraka wa Makabaila!
 
Huyo Dr. Kleruu alikuwa mnaa tu. Wewe Mkuu wa Mkoa Krismasi nzima Jumapili unataka watu waende kulima shamba la kijiji cha Ujamaa?

Ndiyo maana Ujamaa umekufa.

Maggid amefanya kazi nzuri kuchukua historia kutoka kwa watu waliokuwepo siku hiyo, lakini nina shaka kwa sababu ni watu wa serikali kuna sehemu watakuwa hawasemi vizuri.
Ameahidi kuendelea na hadithi, atamhoji mtoto wa marehemu mwamwindi pia
 
Bwana presenter, Natamani ungeweza kuondoa vipengele vyenye distrations kwenye hii maelezo. Amezidisha deviations. It is as if nterview yake haikuwa na maandalizi, au labda haikuwa rasmi, au hao watu alikuwa anawasaili hakuwa ameongea nao mapema au ni tatizo la uongozaji usaili.

Mada safi sana. Initiative nzuri sana lakini ningefurahi kama ungetusaidi kuedit unapopost kupunguza vipengele vya nje ya mada hata kama vilikuwepo. Vinakuwa vingi, vinajirudia rudia na vinachosha.

Ninatamani ujikite zaidi kwenye hoja. Ya pembeni yanazidi kuwa mengi na mengi hayana uzito.
Anàjaribu kunogesha habari kwa kuweka mbwembwe,
 
Back
Top Bottom