KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Mimi nasubiri kujua
1.je zamani watu waliruhusiwa kuwa na bunduki( gobore )? Kwanini
2.risasi aliyopigwa Dr.Kleruu,ilikuwa upande upi wa mwili na sababu kuu ilikuwa nini ?
3.inaonyesha Nyerere alimkubali mzee Mwamwindi,sababu gani?
4.sababu gani ilimfanya Nyerere aliweza kujibu maelekezo ya mzee Mwamwindi( kuwaachia wale wazee waliopelekwa sehemu nyingine za nchi) kwa muda mfupi?
5.je kuna mmoja wa wazee hao aliyekuwepo mwenye kutoa ushuhuda walipewa adhabu gani kwa sababu zipi? Wakati hawausiki.
1.je zamani watu waliruhusiwa kuwa na bunduki( gobore )? Kwanini
2.risasi aliyopigwa Dr.Kleruu,ilikuwa upande upi wa mwili na sababu kuu ilikuwa nini ?
3.inaonyesha Nyerere alimkubali mzee Mwamwindi,sababu gani?
4.sababu gani ilimfanya Nyerere aliweza kujibu maelekezo ya mzee Mwamwindi( kuwaachia wale wazee waliopelekwa sehemu nyingine za nchi) kwa muda mfupi?
5.je kuna mmoja wa wazee hao aliyekuwepo mwenye kutoa ushuhuda walipewa adhabu gani kwa sababu zipi? Wakati hawausiki.