Wewe Mwalimu uliyepo halmashauri ambae unahangaikia uhamisho unajipa ukubwa huu kweli? Jf nzuri sana kila mtu anajipa ukubwaWe tunajua kiasi cha pesa ulizochukua na tunajua umechukua kwa nani, ukiendelea tutawataja kwa majina yenu halisi. Huyo babu naye ameshalambishwa na kingine kinachomsumbua ni udini
Endelea kuaminiNaamini kabisa, licha ya Samia kutoa majibu ya sharau kwa watanganyika kuhusu ule mkataba kwamba ameziba masikio, lakini ndani ya nafsi yake, atakuwa anatetemeka sana, hana amani.
Lile jibu lake kwetu lilikuwa kama mbinu ya self defence kisaikolojia, lakini anajua fika, amezungukwa na wasiomuamini wala kumuunga mkono naye anajua hilo.
Ametusaliti watanganyika.
Hilo lipo wazi sana. Viongozi na wanaCCM wengi wa Tanganyika wanalaani sana huu mkataba wa DP, wanakosa tu ujasiri wa kusema wazi. Wengi wameamua kukaa kimya kwa sababu ya woga.Ameyasema hayo katika Club House.
Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.
Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.
Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try
Mwambie hivyo hivyo na Rais Samia ili azidi kupotea.Hiyo ni propaganda hakuna kitu Cha namna hiyo
Dr. Slaa ni mtu msomi na anajua anachokifanya hao watu watakuwa wamemruhu aseme hivyo jumla jumlaThis is not good at all!, and in fact, it's very dangerous, huyu padri anataka kuwaponza watu bure!.
Viongozi gani hao 38, wanaojua simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza?.
Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia!.
P
Binafsi nampenda sana Dk. Slaa tangu akiwa Chadema na alipokuja CCM nilifurahi sana kwasababu ni mtu mwenye msimamo thabiti. Lakini, kwenye suala la DP World simuungi mkono. Ninakibali Bandari yeti (zetu) kubinafsiwa ila tuwe na maslahi chanya kama nchi. Lakini kusema tusibinafsishe eti kwasababu ya blah, blah,blah, HAPANA!!!Ameyasema hayo katika Club House.
Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.
Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.
Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try
Acha dharau za chini chini! Dr Silaa alisha acha upadiri na ana mke sasa! Tafafhari PThis is not good at all!, and in fact, it's very dangerous, huyu padri anataka kuwaponza watu bure!.
Viongozi gani hao 38, wanaojua simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza?.
Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia!.
P
Kama hujui kwamba Rais ni mwajiriwa na bosi wake ni mwananchi nenda kasome katiba na urudie somo la uraia.we unajua maana ya Rais? RAis amtetemekee nani, nyie minyau?
Huyu Slaa anabwabwa tu. Rais ampe ubalozi wa antarctic au maryupol atuondolee kelele.Ameyasema hayo katika Club House.
Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.
Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.
Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try
Ambao wangefanya hivyo wanaripoti kwake. Labda wakusanye siri zaidi wampe amwage hadharani.Huyu inabidi watrepu simu zake, tuwajue hao wasaliti
Mwongo tu huyo.Ameyasema hayo katika Club House.
Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.
Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.
Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try
Mmm usivyoaminika nani ampigie simu mtu asiyeaminika anayenunulika si bora wenyewe waongee tu wajulikaneAmeyasema hayo katika Club House.
Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.
Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.
Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try