Dkt. Wilbroad Slaa: Viongozi wakubwa serikalini na CCM wapatao 38 wamenipigia kuniunga mkono katika kupinga uuzwaji wa bandari za Tanganyika

Dkt. Wilbroad Slaa: Viongozi wakubwa serikalini na CCM wapatao 38 wamenipigia kuniunga mkono katika kupinga uuzwaji wa bandari za Tanganyika

Hilo ni kweli ila kwa unafiki tulionao akiwataja tu watamruka futi mia moja!
 
Kwanza this is too good to be true!, and if it's true, then it's not good at all!, and in fact, k, it's very dangerous!, huyu padri anataka kuwaponza tuu watu wa sehemu bure!, kukesha bure usiku na mchana kwenye tracking and tapping simu Padri Silaha, kuwatafuta hao
Viongozi 38, wa serikali wasiojua how the government works, wasio jua kuwa simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza kwa kuipinga serikali yao?..

Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia! Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

P
Na wewe umepotea kimtazamo. Naamini maneno hayo yanaongeza morali ya ufuatiliaji Kwa wapinga mkataba wengine wakiamini hawako peke Yao. Naamini Slaa katumia mbinu Bora kabisa ktk kuwapa moyo wananchi na hii inaleta picha kwamba hata huko serikalini mkataba huu si wote wanao ufahamu na pia hawakupewa fursa ya kujadili kinyume na matakwa ya walio u asisi.
 
Ameyasema hayo katika Club House.

Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.

Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.

Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try


Dr amerudi kwenye ubora wake
 
Kwanza this is too good to be true!, and if it's true, then it's not good at all!, and in fact, k, it's very dangerous!, huyu padri anataka kuwaponza tuu watu wa sehemu bure!, kukesha bure usiku na mchana kwenye tracking and tapping simu Padri Silaha, kuwatafuta hao
Viongozi 38, wa serikali wasiojua how the government works, wasio jua kuwa simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza kwa kuipinga serikali yao?..

Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia! Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

P
Kwani kawataja majina?
 
Naona Mzee Butiku ndiyo katoa ushauri muhimu zaidi.Kwa kweli Mhe.Samia anawajibika kuuzingatia ushauri huo.
Pia nahisi kuanzia sasa hata sisi wana CCM tuliokuwa tunapinga mkataba kimya kimya tutaanza kupaza sauti kama hautafutwa mapema.
 
Hilo ni kweli ila kwa unafiki tulionao akiwataja tu watamruka futi mia moja!

Kama anayosema ni kweli atakuwa lazima anao ushahidi , Si aseme tu , ? lakini inaelekea ni jitu linatafuta umaarufu na nafasi ya kurudi Chadema kupata mlo
 
Kama anayosema ni kweli atakuwa lazima anao ushahidi , Si aseme tu , ? lakini inaelekea ni jitu linatafuta umaarufu na nafasi ya kurudi Chadema kupata mlo
Dr Slaa hawezi kufanya kitu bila ushahidi. Nakubali alikengeuka wakati wa Magufuli, but he is still up to his senses
 
Dr Slaa hawezi kufanya kitu bila ushahidi. Nakubali alikengeuka wakati wa Magufuli, but he is still up to his senses
of course wakati huu kaukosa ubalozi , ,atahaha kutafuta mlo hata wewe pengine ungalikuwa hivyo
 
Kwanza this is too good to be true!, and if it's true, then it's not good at all!, and in fact, k, it's very dangerous!, huyu padri anataka kuwaponza tuu watu wa sehemu bure!, kukesha bure usiku na mchana kwenye tracking and tapping simu Padri Silaha, kuwatafuta hao
Viongozi 38, wa serikali wasiojua how the government works, wasio jua kuwa simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza kwa kuipinga serikali yao?..

Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia! Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

P
Kwa hili, hakika umepotoka. Hutaki watu watetee maslahi yao kadri wanavyoona inawafaa.
 
Kwanza this is too good to be true!, and if it's true, then it's not good at all!, and in fact, k, it's very dangerous!, huyu padri anataka kuwaponza tuu watu wa sehemu bure!, kukesha bure usiku na mchana kwenye tracking and tapping simu Padri Silaha, kuwatafuta hao
Viongozi 38, wa serikali wasiojua how the government works, wasio jua kuwa simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza kwa kuipinga serikali yao?..

Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia! Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

P
Pascal wewe unatafuta uteuzi.
 
Yote yanawezekana sababu kuna wengi tu hata CCM wamenufaika sana na bandari na wana maslahi makubwa hili wala sio siri wako wanajulikana na wako nyuma ya pazia wanafaika mkubwa na bandari. Hapo ni lazima wapiganie ugali maana ni wazi wanajuwa akija mtu mpya itakuwa shida kutoboa kama walivyozoea. Kumbuka wavunja sheria wakubwa wako kwenye mfumo maana ukiwa kwenye ring ndio unapata madeal lakini sio kwamba wanapigania nchi kama wanavyotaka tuamini sijui mali za wajukuuu. Ni waongo wanapigania chakula chao.
 
Back
Top Bottom