Dkt. Wilbroad Slaa: Viongozi wakubwa serikalini na CCM wapatao 38 wamenipigia kuniunga mkono katika kupinga uuzwaji wa bandari za Tanganyika

Dkt. Wilbroad Slaa: Viongozi wakubwa serikalini na CCM wapatao 38 wamenipigia kuniunga mkono katika kupinga uuzwaji wa bandari za Tanganyika

Friji ya Slaa itakuwa haigandishi.......ndio maana kasema.

JokaKuu zitto junior
Nguruvi3 Mag3
Slaa hana lolote kama utakumbuka alipokuwa upinzani alikuwa anaibua hoja nyingi lakini source yake ilipokamatwa tu marehemu Sitta na yeye akapotea kuna watu wanasema alimuuza Sitta ndio sababu ya JPM kumzawadia ubalozi. CCM walivyojuwa tu wakasema wanataka speaker mwanamke zamu yake. Sasa kuna mawili ni kweli alimuuza Sitta au alishtukiwa. Hali hii ni ngumu mtu wa serikali akampigia simu huyu ni hatari hakuna wakuaminika huyu mzee hata siku moja usimuamini aliwauza Chadema watu wake.
 
sasa kama lengo lenu ni kuingia ikulu simnyamaze awape waarabu bandari ili iwe vyepesi kwenu kuingia ikulu
e
Kweli kilaza ni kilaza tu.
Yaani unaingiliwa kinyume na maumbile,unasema ngoja akuingilie na amalize ili upate ushahidi!!????

Uzuzu ni mzigo.
 
We tunajua kiasi cha pesa ulizochukua na tunajua umechukua kwa nani, ukiendelea tutawataja kwa majina yenu halisi. Huyo babu naye ameshalambishwa na kingine kinachomsumbua ni udini
Wewe, saigilomagema unasumbuliwa na kitu gani hasa!
Maana inaonyesha wazi katika mabandiko yako humu kuwa unacho kinachokusumbua kwelikweli.
 
Huyi babau si atulie jamani kwani lazima aongee uongo mda wote mapaka anakufa? Nani serikalini ampigie simu huyu mvimba macho!!
Ameyasema hayo katika Club House.

Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.

Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.

Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try

 
Wewe Mwalimu uliyepo halmashauri ambae unahangaikia uhamisho unajipa ukubwa huu kweli? Jf nzuri sana kila mtu anajipa ukubwa
Anastruggle anagalu apewe Uratibu Elimu Kata, hana lolote huyo
 
Ameyasema hayo katika Club House.

Amesema, wakuu katika serikali na wakuu katika CCM wamesema katika hili hakuna cha itikadi za vyama, dini, ardhi hii haina vyama bali ni ya Watanganyika.

Wamemuhimiza asirudi nyuma katika hili.

Nikiweka clip (link) Mods watafuta thread. Let me try


Slaa atetee bandari aachane na hizo story sijui wanaccm wamempigia simu. Kama hao wanaccm wanaogopa kujitokeza wanamaana gani sasa? Watu wanaoogopa kujitokeza hadharani kutetea kosa anawatajaje kama watu muhimu?
 
Unamuamini kiasi hicho Slaa? Mwenzako ana per day, tena analipwa vizuri sana baada ya kila toleo lake.
Wewe utaambulia nini?
Kama analipwa for the good for the interest of our nation, wacha alipwe almradi afikishe sauti ya watanzania waliowengi ambao wengi wao ni waoga kusema hadharani.
 
Ndio imetoka hiyo kaka. Sisi tunataka kazi na Samia aliahidi kutoa ajira, hatukukubaliana atazitafuta vipi. Ila kwa mtazamo wangu, yeye apige, galagaza lakini sisi tunachoangalia ni ajira. Mtaani kunachosha.
Dr Slaa ni mnafiki, sikumuona kulalamikia mkataba wa Nyerere na waingereza kuhusu uuzwaji wa Almasi. Hivi amewahi kuuona mkataba huo, au ni kwa sababu saint mwenzake? Au huu ndio mkataba wa kwanza.
Crap!
 
Slaa atetee bandari aachane na hizo story sijui wanaccm wamempigia simu. Kama hao wanaccm wanaogopa kujitokeza wanamaana gani sasa? Watu wanaoogopa kujitokeza hadharani kutetea kosa anawatajaje kama watu muhimu?
There is a lot of logic in Dr. Slaa's post! Think deep you will see it
 
Kama analipwa for the good for the interest of our nation, wacha alipwe almradi afikishe sauti ya watanzania waliowengi ambao wengi wao ni waoga kusema hadharani.
....for the interest of our nation -HAPANA. Ila analipwa kwa ajili yake na familia yake.
Tukumbushane historia yake fupi ktk siasa. 1) alikuwa mwanachama wa CCM kabla ya kujiunga na CHADEMA. 2)Alijitoa CCM baada ya kukatwa jina lake ktk kugombea ubunge. 3) Akajiunga na CHADEMA ili apate kugombea ubunge (kama alivyofanya Lowasa-urais). 4) Akajitoa CHADEMA baada ya kujua hata pata nafasi ya kugombea Urais. 5) Karudi CCM baada ya kuahidiwa ubalozi. 6) Kajitoa CCM baada ya kutolewa ktk ubalozi. 7) Anajaribu kujitakasa kwa CHADEMA ili arudi chamani- Nia ni kugombea urais 2025.
Swali- kweli kwa mtiririko huu unaweza sema kuwa anafanya for the interest of our nation.. Hapana!!!!!!
 
There is a lot of logic in Dr. Slaa's post! Think deep you will see it
I saw his logic, but I don't agree with him to mention those liars CCM members, who are afraid to come themselves in public and show their true colors.
 
Kwanza this is too good to be true!, and if it's true, then it's not good at all!, and in fact, k, it's very dangerous!, huyu padri anataka kuwaponza tuu watu wa sehemu bure!, kukesha bure usiku na mchana kwenye tracking and tapping simu Padri Silaha, kuwatafuta hao
Viongozi 38, wa serikali wasiojua how the government works, wasio jua kuwa simu zao ziko tapped, watampigia simu Padri Slaa kumpongeza kwa kuipinga serikali yao?..

Hata kama ni kweli, Slaa anapaswa ajifunze kunyamaza!, sio lazima kusema kila kitu unachosikia! Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?

P

Mkuu wanasiasa hawatumii calls za kawaida kupigiana simu ,wanatumia whatsapp/telegram/signal/imo/skype kuwasiliana , Tangia JPM awasanue kwamba Simu ziko Tapped na LIG wameshastuka ,kwahiyo hata wafatilie vipi hawatawaona kama walipigiana.
 
Back
Top Bottom