kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kweli kabisa hata kipindi slaa anasema chadema imemeza ndoana kwenye suala la ufisadi baada ya kusajili kubwa la mafisadi bado wengi hamkumuamini!Hawezi kuwataja. Slaa hawezi kudanganya mambo madogo kama hayo