Igudunde,Mahela anapongezwa na wewe kwa kusimamia vyema uchaguzi,lakini kwa mtazamo wangu umesahau Jecha S.Jecha ambaye alisimamia vizuri zaidi ya Mahela na tume yake yote.Kwani yeye alitumia tume yake mwenyewe 🤔
Naenda kutafakari hoja yako🤔Unaenda wapi?
Ameiacha tume na kumkaribisha mwingine huenda akaleta mabadiliko mapya🤔Ni jambo jema
Kwani Mahera alitenda haki?Huyu Mpya,aratenda haki...???
Unadhani aliyeingia ni mgeni Hapo NEC?Ameachiwa tume na kumkaribisha mwingine huenda akaleta mabadiliko mapya🤔
Amerudi kwa mara nyingine,japo sikumbuki kama nafasi ni ileile au alikuwa mjumbe wa tume🤔Unadhani aliyeingia ni mgeni Hapo NEC?
Naomba mwenye kuwa na ufahamu mzuri atueleze🤔Kwani Mahera alitenda haki?
Jamii itaendelea kumlaani mpaka mwisho wa dunia kwa kumsababishia kifo Magufuri.
[emoji16][emoji16]Napita
alikuwa mpumbavu kama sukuma gang aka nguruwe.
Mzee wa braaaaa braaaa! Anyway yaliyopita yamepita tu!!!
Watu kama nyie mmejaa laana na damu za wasio na hatia mmejipaka mwili mzima. Unathubutu kumtetea Mahera kwa aliyofanya 2020?!