Incompetent ndio maana anazungushwa kama PiaSana tuu yan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Incompetent ndio maana anazungushwa kama PiaSana tuu yan
Mkurugenzi wa zamani wa Uchaguzi ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya), Dk. Wilson Mahera (kushoto) akimkabidhi vitendea Kazi Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
View attachment 2552433
Simba wanafanya sub, anatoka mchezaji wao anaingia mchezaji wao.Mkurugenzi wa zamani wa Uchaguzi ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya), Dk. Wilson Mahera (kushoto) akimkabidhi vitendea Kazi Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
View attachment 2552433
Watuwekee matokeo ya kura za urais 2020 kwenye tovuti. Majambazi hayaMkurugenzi wa zamani wa Uchaguzi ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya), Dk. Wilson Mahera (kushoto) akimkabidhi vitendea Kazi Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
View attachment 2552433
Yaani, safari hii wameingiza mnyongaji ambaye akitaka kunyonga anatabasamu ,wakimtoa mnyongaji mnunaji, kuna watu wanadanganywa hapa kuwa aliyeingizwa ni fair,kumbe mbwa mwitu.Hatari sana.Haitakiwi kuwasamehe hwa jamaa hata kidogo wametuhribiya nchi yetu kwa kutuletea bunge la chama kimoja
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Huyu ngiri nina hasira naye sanaMkurugenzi wa zamani wa Uchaguzi ambaye kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya), Dk. Wilson Mahera (kushoto) akimkabidhi vitendea Kazi Mkurugenzi Mpya wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhan Kailima.
View attachment 2552433
Huyu Mpya, aratenda haki?