Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

Vipi yule wa Kilwa na Manyara?
 
Yaani uliyetoa post haujui maana ya credibility na una ufahamu mdogo sana wa kesi za jinai. kwa kukusaidia;

1. credibility ya shahidi huwa haipimwi na previous conducts, wala bad character, inapimwa kwa kuaassess the coherence of the testimony of that witness WAKATI ULE ANAPOONGEA NA SIO KABLA AU BAADA, kwa lugha nyepesi kwa msio wanasheria, mahakama inakuwa inamwangalia usoni ione amenyooka mtiririko wake au anapindapinda and two, when the testimony of that witnesses is considered in relation to the evidence of other witness including that of the accused person.

kwahiyo watapima mtiririko wa ushahidi kuanzia upenzi wake wa zamani naye, walipoachana kwa kuomba sodoma, alipompigia simu ili waombane msamaha waanze ukurasa mpya, alipofika kwenye gari akakimbilia siti za nyuma na akamwingizia nyuma, au hata kama alisema rudi siti ya nyuma nitaingiza mbele halafu akailazimishia nyuma, alipompa pesa na kusema umasikini unautaka mwenyewe awe anatoa tako awe anampa pesa, aliporeport polisi mapema, alipowasiliana na mama, RC kwenda kuomba radhi kwa mama, RC kuhonga mihela kwa binti 10m na mama 3m, kuwapigia misimu marafiki wa binti.

vitu vitakavyounga mkono hapo huu mtiririko ni corroboration ya ushahidi wa mama, cctv footage, printouts za mitanao ya simu kuonyesha mameseji na namna alivyokuwa anapiga simu, ushahidi wa daktari PF3.

kwa taarifa yako, previous bad conduct kwenye ushahidi ni irrelevant. nakupa homework kasome s.56 ya Evidence Act, kwa mshitakiwa hata kama ana bad character huwezi kusema asiaminiwe, sembuse kwa shahidi. kwa mtiririko alioeleza binti, hajawahi kusema uongo. hata ile kesi ya Mpanda alipokuwa chini ya miaka 18 ya kutorokea kwa mwanaume, jamaa alitoka kwa technicalities tu ila ni kweli alimtorosha akaishi naye kinyuma. na kuishi ninyumba au umalaya wake wa kipindi cha nyuma haupunguzi uzito wowote ule wa tuhuma kwamba siku ya tukio alimlawiti.

dogo hii ndio sheria, tumekuwepo humu kwa miaka mingi mno.
 
Haya mambo ndo yanachochea ushoga na kuwaharibu wanawake.
Kumlawiti mwanamke ni aina nyingine ya ugonjwa wa akili, ingawaje kuna watu wengine humu huwa wanashadadia haya mambo ya kumla mwanamke tigo kisa ana chura.....tujitahidi sana kujiepusha na mambo yanayoweza kutuletea aibu kama haya.
 
Sijui ulisikiliza maelezo ya huyo binti.

Alisema kabla ya hapo walikua na ugomvi kuhusiana na swala hilo hilo na liliwafanya watengane kwa muda.

Siku ya tukio akamwita anajua yamekwisha jamaa akaibua hoja upya na kufanya yake.

Binti hakuridhia na ndio kisa cha kwenda polisi.

Hivyo hayo unayoyaleta hapa utakua umeyatoa kichwani kwako.

Usipotoshe.
 
Of course, ni maswali mazuri ya kujiuliza. Lakini je, ndiyo ushahidi kuonyesha kwamba "alilawiti"?
Ndio, ni ushahidi mzito sana kama jaji ataona hakuna mtu yeyote nyuma ya huyo binti na wala hakushitaki hiyo kesi kujipatia pesa kwa udanganyifu.
 
Baadae kesi itafutwa
 
umefikiria vizuri sana.

1. kwanini aliwapa pesa (kuna ushahidi wa printout za voda na bank naamini watazitoa hwezi kwepa hilo, bank huwa haidanganyi, ruge alisema ogopa Mungu na tech).

2. kwanini alimwandikisha binti? binti ashatoa explanation why? imebaki kwake namwanda, aje aeleze mahakamani kama yeye hakuwa na uhusiano na binti ilikuwaje wamchukue na kumpeleka hotelini na kumwandikisha, na kwani amtaje yeye na si wengine, basi atataja na hao anaohofia kuwa wanamtuma binti kama ana ushahidi.

3. kwanini mkuu wa Mko mwanza aliingilia kesi? kwa ninavyoifahamu mahakama, watajiuliza, kama binti angekuwa anadanganya, kweli Mkuu wa Mkoa mwanza au namwanda baada ya kuandikisha barua, kwanini hawakummpeleka mahakamani kwa kusema uongo kwa mtu mkubwa kama yeye? kwanini walimute? wataishia kukiamini kile binti amekieleza.

4. binti alipopimwa ilionekana alilawitiwa, na zaidi ya yote, kwenye kesi kama hizo, cha muhimu huwa uwezekano wa penetration, sio lazima michubuko au shahawa kuonekana kwenye anus au k, penetration however slight inatosha hata bila kuchubua.

5. kinachombana, ni kwanini alianza kuhonga, kupiga simu kwa rafiki zake, kwa mama alienda n.k kama hakuwa na mahusiano naye. adi sasaivi naamini jamhuri wameshajihakikishia kwamba hakuna ubishi kwamba RC alikuwa na mahusiano na binti, na yeye naamini hatakataa manake watauliza iweje binti kama huyu akutaje wew mtu mkubwa namna hii asitaje wengine kama hamkuwa mnajuana naye kabla? na haujachukua hatua yeyote hata baada ya kusemekana amesema anatumika kisiasa kwa barua ambayo polisi waligoma kuitambua.

6. watamwuliza, kama haukutenda kosa, ilikuwaje uhangaike hivyo na usikanushe hata kwa vyombo vya habari tu. kweli RC utuhumiwe na kitoto kama kile halafu unyamaze tu kimya hadi leo kama haukutenda, inawezekanaje? jamaa yetu kimemramba. kwa wanaojua sheria, hapo ameenda.

zaidi sana, nilishawahi kushindwa kesi kwa namna hii hii, jamhuri walikuja na selemani makumba vs republic, kesi inasema ushahidi wa victim ni wa kuaminika zaidi kwasababu yeye ndiye aliexperience tukio hivyo binti akinyooka tu, umeisha. bye bye X-RC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…