Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

Shameful....

Pascal Mayalla
 
Hapa inatakiwa mashirika ya kutetea kinamama yaingilie kati kumsaidia binti, hata ikibidi wale mawakili waliomtoa jela yule aliemdhihaki Mh Rais nao wamsaidie binti maana hii sasa ni ligi kati ya Yanga na Faru Dume, jamaa atavunja benki kuhakikisha anashinda japo the damage is already done!!
 
Uzee umekuingia aisee, Kila kitu unarahisisha tu.
 
4 hapo, kama sio lazima wakute shahawa za mtuhumiwa wanaweza kuthibitisha vp kwamba Alie lawiti ni ni yeye

6 Hapo . Kwanini tumwamini victim vp kama ametumika ua amejituma kwa visasi vyake binafsi
 
Ndio, ni ushahidi mzito sana kama jaji ataona hakuna mtu yeyote nyuma ya huyo binti na wala hakushitaki hiyo kesi kujipatia pesa kwa udanganyifu.
Nionavyo mimi kujiuliza tu maswali si ushahidi. Ushahidi, kwa msingi wa kesi hii, ni ule unaoonyesha kuwa huyo mkuu kamlawiti huyo binti hiyo siku, muda na mahali anapodai hicho kitendo kilitendeka.
 
Kipengele cha kumpa pesa pekee sio sufficient kwani huko nyuma kabla ya hilo tukio ikithibitika alikuwa anampa binti hela na pia alikuwa ana tabia ya kumpa mamaye binti huoni hapo hoja ya kupewa hela ili kuzima tukio itakuwa haina mashiko kwa sababu ni kawaida wapenzi kupeana pesa.
 
KAMA ATAHUKUMIWA KIFUNGO NA RUFAA ZOTE ZIKATUPWA , YAANI AKAHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISGA AKAKATA RUFA, NA RUFAA AKASHINDWA NJOONI NIWAPE MIL 1
 
Huko nyuma pia alikuwa anawatafuta marafiki wa mpenzi wake ili aweze kumfikia na kumpa mamilioni ya pesa mpenzi wake??
 
Huko nyuma pia alikuwa anawatafuta marafiki wa mpenzi wake ili aweze kumfikia na kumpa mamilioni ya pesa mpenzi wake??
Subiri hukumu ila msije kulialia kuwa mahakama haijatenda haki.
 
 
We mzee tunakuheshimu sana unajua ,alafu unaanza kumtetea jamaa kwa blah blah yani iteleze mpaka imwage kinyesi? Iteleze mpaka amwagie manii humo humo? Labda tafsiri raisi ya kuteleza ni kutoa pale pale na kurudisha sehemu safi na salama


Yani jitu mpaka linamkojolea binti ambaye kwa umri wako ni sawa na vijana wako kabisaa leo hii kirahisi tu ,

Unasema kesi rahisi Anko Pasco umekosea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…