Asichomokee kwa kipi? Km afande ramaa kila mtu aliona akiwa anaulilia na kuurudisha ndani ukiwa umechomoka, na alichomoka.ndo sembuse huyo Ex RC? LOLKama vipimo vya maabara vimethibitisha! Sijui kama atachomoka.
Tena afande Rama alikuwa anafinyia kwa ndani kabisa huku akiuguliaAsichomokee kwa kipi? Km afande ramaa kila mtu aliona akiwa anaulilia na kuurudisha ndani ukiwa umechomoka, na alichomoka.ndo sembuse huyo Ex RC? LOL
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani na wewe ni mkuu wa mkoa au una ka cheo cheo? Maana hizi ishu watu wanazifanya sana ila kwa wenye vyeo ndo wakae nayo mbali maana ni mtego, kama huna kitulize tu hamna mwenye muda na wewe
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena afande Rama alikuwa anafinyia kwa ndani kabisa huku akiugulia
Sijui ndio michezo yao?Aibu kwa familia,Phd kulawiti bila kilainishi
Hawana nia ya kuendelea na KesiUjinga wa mahakama za Tanzania utashangaa nakwambia nyie subirini tu
Lakini chumvini ulizama kama kawaidaNamuombea sana mheshimiwa avuke salama huu mtihani,hawa mabinti ni kuwa nao kwa makini sana mi mwenyewe nilinusurika kunaswa na mtego kama huu wa Nawanda
Bwashee Wachagga na mambo ya Ulawiti wapi na wapi? 😂
Mnafirana wenyewe huko CCM mkitatuana marinda lawama kwa Chadema, wacheni hizo.
Kumbe takataka anaishi nazo kwenye boxer yake, alivyomaliza kumlawiti huyo binti kwenye gari lazima boxer ilitapakaa wino.
Kwa makapuku huwa wako serious hivyo hivyo ila ulisikia wapi kigogo akafungwa?Ila sasa hivi Mahakama ziko serious kama ushahidi umenyooka hakuna kuremba, kuna Mwalimu kala miaka 30 kwa kuruhusu kulawitiwa na mwanafunzi uko kusini!!
Hawezi kufungwa ikiwa hana hatia. Mahakamani sio ushabiki na uanaharakati. Shtaka linatakiwa lithibitike ndipo mtu ahukumiweKwa mahakama hizi Rc Nawanda hafungwi mi nimekaa palee mtayakumbuka maneno yangu.
Nyota ipi huyo kil.aza alikua nayo? Yaani waache kumpa kesi Mpina wampe huyo zero brain? We usubiri issue kuwa kwenye uke au njia ya haja kubwa kwamba wakemia hawajui tofauti au ndio unaleta ujuaji tu?Maana kiukweli Nyota yake ilikuwa inan'gaa sana.
Kama ingekuwa nchi kama Marekani ambako kuna makampuni ya uchunguzi yaliyosajiliwa kampuni mojawapo ingepewa kazi na wakili wa mtuhumiwa kuchunguza credibility ya huyo binti yaani matendo yake ya nyuma , kama aliwahi kudanganya kwa masuala ya kisheria, ikithibitika aliwahi kuongopa basi kesi ingetupwa. Rejea kesi ya Rais wa zamani wa banki ya Dunia ilikuwa kama hii. Kuna binti mfanyakazi wa hoteli alimpakazia kuwa amembaka, Huyo binti anatoka Africa Magharibi, basi hiyo kampuni ikafanya uchunguzi ikaonekana huko nyuma huyo binti wakati anaomba visa kuingia Marekani aliwahi kudanganya hivyo sio credible; kwa,msingi huo kesi ya ubakaji dhidi ya Rais huyo wa zamani wa benki ya dunia ikatupwa.Sio kweli.Huyo Binti ana Historia hiyo ya kubambikia watu kesi.
Mfano Dereva bodaboda kwao Sumbawanga,walitaka kumtoa kafara na Mama yake!
Mahakama ikamuondolea kosa la ubakaji,maana Binti kwenye mahojiano Mahakamani alikiri kuwa walikuwa wapenzi.
Kwa case ya Nawanda,nawajua baadhi ya mabinti wa chuo na tamaa zao.Wanaweza kufanya chochote kwa sababu ya pesa.
Ndio maana tumeiachia Mahakama itende Haki.
Kwangu Mimi Binadamu wote ni sawa.Hiaijalishi Cheo,Pesa,Nguvu,Madaraka au Jinsia.
Hiyo kesi ipo,na hukumu yake Kuna Member aliileta humu.@Mama Aron or Mama Amon,sikumbuki vizuri.Kama ingekuwa nchi kama Marekani ambako kuna makampuni ya uchunguzi yaliyosajiliwa kampuni mojawapo ingepewa kazi na wakili wa mtuhumiwa kuchunguza credibility ya huyo binti yaani matendo yake ya nyuma , kama aliwahi kudanganya kwa masuala ya kisheria, ikithibitika aliwahi kuongopa basi kesi ingetupwa. Rejea kesi ya Rais wa zamani wa banki ya Dunia ilikuwa kama hii. Kuna binti mfanyakazi wa hoteli alimpakazia kuwa amembaka, Huyo binti anatoka Africa Magharibi, basi hiyo kampuni ikafanya uchunguzi ikaonekana huko nyuma huyo binti wakati anaomba visa kuingia Marekani aliwahi kudanganya hivyo sio credible; kwa,msingi huo kesi ya ubakaji dhidi ya Rais huyo wa zamani wa benki ya dunia ikatupwa.